Anateua watu na kuwabadilisha ndani ya mwezi huo huoDk. Mwinyi haendeshwi na mtu, au mstaafu yeyote, na alikuwa akimkubali sana The late JPM aka Mwamba.
Dk. Mwinyi hata alivyofanya uteuzi wa baraza lake au Wakuu wa Mikoa hajawahi kuwabadilisha ndani ya masaa 3 baada ya uteuzi, haelekezwi na mtu, anajisimamia mwenyewe na anawajua vizuri watu anaowateua. Hana akili za kushikiwa.
Mgejuta ..jamaa mswahili magu anasubiriAlistahili kumrithi JPM
Ikitokea ivo wazenj watapiga makofi kwa matako maana ili jitu limebambikwa tu kutoka mkuranga hajui ata anafanya nini .2025 bora Dr. Mwinyi aje huku tu na Mama aende kule Zenji.
Acha uzushi wewe kazi kusifia sifia tu .. huyo dr wako ni garasa tu hana anachokijua zaidi ya kiburi .Dk. Mwinyi haendeshwi na mtu, au mstaafu yeyote, na alikuwa akimkubali sana The late JPM aka Mwamba.
Dk. Mwinyi hata alivyofanya uteuzi wa baraza lake au Wakuu wa Mikoa hajawahi kuwabadilisha ndani ya masaa 3 baada ya uteuzi, haelekezwi na mtu, anajisimamia mwenyewe na anawajua vizuri watu anaowateua. Hana akili za kushikiwa.
Mbona unateseka?Wasukuma inabidi muanzishiwe dozi ya presha mapema, lasivyo mtapasua mishipa ya damu kwenye kichwa,
Maana chuki zenu kwa mama zinamaliza afya zenu, na SAMIA ndio Rais hadi #2040___ kufeni kabisa
Vyeti feki mnamchukia JPM hahaha! Majipu nyie, wadokozi. Sasa hakuna cha bure, mirija yenu yote JPM kakatilia mbali. Yaani kafariki ila bado anawatesa. Huyo ndiye JPM mwenyewe sasa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] poleni lakini!!Hivi Katiba yao inasemaje kama Corona ikimfyeka na yeye Makamu wa Kwanza ndiye anachukua kijiti? Huwezi jua mipango ya Mungu kwani huku Tanganyika tulijua kama ukombozi utakuja bila kumwaga damu?
Magufuli alimtaka hyu jamaa awe makamu wake Bora angekuwa Rais wa Tanzania daaaahBaada ya kufanya ziara katika maeneo ya Kichwele na Salem Mkoa wa Kaskazini Unguja, nimeamua kubadili matumizi ya mashamba ya mpira kuyafanya kuwa maeneo ya viwanda kufuatia mashamba hayo kutotumika ipasavyo na kuleta tija kwa Taifa.
Umeandika kama Jiwe mwenyewe, maana siyo kwa akili hizi (chizi).Vyeti feki mnamchukia JPM hahaha! Majipu nyie, wadokozi. Sasa hakuna cha bure, mirija yenu yote JPM kakatilia mbali. Yaani kafariki ila bado anawatesa. Huyo ndiye JPM mwenyewe sasa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] poleni lakini!!
Anajua nini huyo tatizo JF ni bunch of yes man ...ni shidaaa.Anateua watu na kuwabadilisha ndani ya mwezi huo huo
Kwa sababu ni .............mwenzakeThe late JPM would be very proud of him
Hata rais Magufuli alifanya hivyo.Baada ya kufanya ziara katika maeneo ya Kichwele na Salem Mkoa wa Kaskazini Unguja, nimeamua kubadili matumizi ya mashamba ya mpira kuyafanya kuwa maeneo ya viwanda kufuatia mashamba hayo kutotumika ipasavyo na kuleta tija kwa Taifa.