Siyo vituko, ni jambo linalowezekana ingawa linaweza lisiwe muhimu sana. Kwa maoni yangu ilipaswa kila Wizara iwe na Ofisi ndogo angalau hapa Dar. Lakini pia Taasisi zilipaswa zibaki Dar, kama ambavyo Bandari by Default haiwez kuhama Dar.Mkuu
Usikute huyu anayetoa maoni haya ndio msaidizi wa karibu wa Rais kwa sasa na ushauri wake kuzingatiwa, mtashuhudia hivi vituko kwa wingi sana.