Jenga hoja usilete mambo ya kilevi..Nawaambia msiwachukulie poa Watanzania wa leo..mawazo ya Magufuli na mama yetu Samia wakati ule hamuwez kuyadharau kiasi hicho..shwainnnyEndelea kutukana hadi mbege itakapokuisha kichwani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jenga hoja usilete mambo ya kilevi..Nawaambia msiwachukulie poa Watanzania wa leo..mawazo ya Magufuli na mama yetu Samia wakati ule hamuwez kuyadharau kiasi hicho..shwainnnyEndelea kutukana hadi mbege itakapokuisha kichwani!
MATUSI YA NINI? NAMI NAKUJIBU : MUULIZE MAMA YAKO NATAPIKA WAPIOndoa matapishi yako hapa..
Mkuu nakubaliana nawe. Ilitakiwa hii mihimili yetu mitatu (3) kila mmoja uwe kwenye jiji lake, say Dodoma - Bunge, maana lenyewe lilitangulia Dodoma. Dar Es Salaam- Serikali, maana miundombinu yote ipo Dar. Arusha - Mahakama, maana kwa kiasi kikubwa miundombinu yake ipo Arusha.Kichaa ni wewe. Modern World siku hizi watu hawanga'ng'anii kukaa katika mji mmoja kama kupe. Lazima shughuli nyingine zihamie miji mingine ili kutanua na kuiendeleza miji.
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Kila zama na kitabu chakeJenga hoja usilete mambo ya kilevi..Nawaambia msiwachukulie poa Watanzania wa leo..mawazo ya Magufuli na mama yetu Samia wakati ule hamuwez kuyadharau kiasi hicho..shwainnny
Rais wetu ameshasema yeye na mwendazake ni kitu hiki...KIMOJA..sasa we bwabwaja ndio utajua Watanzania halisi wakoje...au unadhan awamu ya sita haijishughulishi na wananchiKila zama na kitabu chake
Hii ni awamu ya 6!
Tapikia wanao au mmeo jomba..labda huko utapata nafuuMATUSI YA NINI? NAMI NAKUJIBU : MUULIZE MAMA YAKO NATAPIKA WAPI
Muulize mama yako kichwa kinatapikia wapi atakwambiaTapikia wanao au mmeo jomba..labda huko utapata nafuu
Uhistoria wa ikulu unatusaidia niniikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.
Ha ha ha ha iwe wee JamaaNi maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.
Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.
Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Kazi Iendelee!
johnthebaptist dish limecheza tena amesahau kama alikuwaga anashadadia huu uhamiaji Dodoma! Tuko hapa tunampeleka MilembeNi maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.
Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.
Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Kazi Iendelee
Mnajitokeza taratibu wapinga maendeleo. Nchi zimeamua karibuni kuhamisha miji mikuu kama nigeria brazil malawi na kuhama kwenye miaka haizidi kumi sisi tumechukua miaka 50. Yote hayo kwa uzembe na ufisadi wa kujinga.Ni maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.
Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.
Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Kazi Iendelee!
Maendeleo yako Dodoma?Mnajitokeza taratibu wapinga maendeleo. Nchi zimeamua karibuni kuhamisha miji mikuu kama nigeria brazil malawi na kuhama kwenye miaka haizidi kumi sisi tumechukua miaka 50. Yote hayo kwa uzembe na ufisadi wa kujinga.
Hiyo itaongeza misafara na foleni, wabaki huko hukoNi maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.
Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.
Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Kazi Iendelee!
Hahahaaaa......!MATUSI YA NINI? NAMI NAKUJIBU : MUULIZE MAMA YAKO NATAPIKA WAPI
Huko ugambani watu wanaishi kwa kufuata upepojohnthebaptist dish limecheza tena amesahau kama alikuwaga anashadadia huu uhamiaji Dodoma! Tuko hapa tunampeleka Milembe