Rais na Taasisi saidizi zirudi Dar es Salaam, Makamu wa Rais abaki Dodoma

Rais na Taasisi saidizi zirudi Dar es Salaam, Makamu wa Rais abaki Dodoma

Kila nchi ina sababu zake kwa nini makao yake makuu yako sehemu fulani.

Mfano, Brazil wakati wa ukoloni Makao makuu yaliwekwa Rio Di Janeiro kwa sababu kulikuwa na migodi ya dhahabu kule. Hivyo taasisi za kibiashara na kiserikali zikawa pale (lengo mkoloni kunyonya nchi, sio kuhudumia wananchi). Baadae mji wa kibiashara ukahamia Sao Paul kufuata mashamba kule, lakini serikali haikuhama. Kwa sababu mbili, moja haikuwa na sababu ya kuufuata mji wa kibiashara, pili urahisi wa ufikaji maeneo ya nchi yao na tatu ni sababu za kiusalama. Sababu hizi na Nigeria walikuwa nazo baadhi.

Sisi sababu za umbali bado zipo ( sababu bado watu ni lazima wasafiri kwenda makao makuu, ingawa inazidi kupotea), pili sababu kuu ambazo bado zipo, ni za kiusalama na kiuchumi.

Dar iliwekwa kuwa makao makuu ya nchi na wakoloni kwa sababu za kiographia. I.e bandari, reli. Hivyo eneo hili limeendelea sana, na mikoa ya jirani yake kama Morogoro na Pwani inaendelezea kwa mchango mkubwa kutokea Dar. Hata mikoa ya nyanda za juu kusini kibiashara bado inaitegemea dar. Hivyo Makao ya serikali yakihamia Dodoma, itaboost uchumi wa Kanda ya kati na maeneo jirani. Mfano sekta ya Hospitality itakuwa sana maana yake wakulima, wavuvi na wafugi kuna faida nyingi zitawakuta. Pili mji wa dar na Dodoma vitafungamanishwa sana kiuchumi. Mikoa kama singida, iringa na maeneo kama Igunga yatapata manufaa ya uwepo wa makao makuu. Kwa picha kubwa unatanua uchumi. Tusisahau diversification is healthy. Kiusalama bado si busara mji wa serikali na kibiashara kuwa sehemu moja. Tusiwaze kama wamarekani wakati sisi ni Watanzania. Bado teknolojia ni ndogo hivyo bado mbinu nyingi za kiusalama na ulinzi ziko mechanical zaidi. Ikimaanisha kujilinda pamoja na uokoaji. Mwaka jana kuna ajali ilitaka kutokea Dar kwenye matank ya Lake Oil, i can tell you ile issue ingekuwa ni disaster. Bado Dodoma kuna manufaa makubwa kuwa makao makuu ya nchi.
Perfect! Umeongea sense LAKINI: Sababu kubwa ya Nyerere kuhamia DDM ilikuwa usalama eti kwa vile adui yuko most likely kutokea baharini, therefore ukienda DDM kukushambulia mji Mkuu itakuwa vigumu. Unajua kuwa USA anaweza akakupiga kutokea NY mpaka DDM bila kuja pwani yetu?
Pili eti mikoa ya kandokando/mpakani mwa Tanzania itakuwa rahisi kupata huduma kwa vile DDM iko katikati... alitolea mfano wa barua na kuja kwa shughuli za kiserikali...hata barua kutoka Bukoba say kuja DDM zitafika haraka. Nadhani muda wa kutuma barua kwa post unakwenda mwisho.
Ninachokubali ni kuwa kama Moshi /Bukoba kuna kilimo cha kahawa, kiwanda cha kubangua/kupack kahawa kijengwe huko,,,. .... etc etc, Lakini ya makao makuu sababu za kuhama kwake zimepitwa na wakati labda ziundwe zingine. Ni zipi mpya?..
 
Mimi ni mstaafu bwashee!
Sasa kama ni mstaafu unafaidika na nini kwa sasa hadi kujikana wewe mwenyewe kile ulichokifanya jana ambacho kimsingi ndio akili sahihi ilitumika?

Mstaafu gani wewe unakashifu kiwiliwili kisicho na pumzi ya kuja kujiteteta kwamba kile ulichokiongea ni uongo au kweli?

Huyo aliyepo sasa atakuamini kwa kutumia kigezo gani wakati unaonesha wewe ni kinyonga, si utambadilikia hata yeye muda sio mrefu?

Kama wewe ni staafu unafahamika kwamba tayari una busara kwanini ulete dhihaka, lengo lako ni lipi?

Kwanini utake makao makuu ya nchi yasiwe DODOMA badala yake yabaki DSM kwa maslahi yapi kama sio kukumbatia raha huku wananchi mkiwatesa kwa kuzitumia kodi zao kwa mambo yenu?
 
Sasa kama serikali ilishahamia dodoma kuna ulazima gani wa kurudi Dar es salaam.? izo huduma zitaifata ikulu Dodoma taratibu
 
KUAMIA DODOMA NADHANI ALIAMUA MTU.MMOJA KAMA ILIVYOFANYIKA KUNUNUA NDEGE KWA CASE TENA KWA HERA ZA WALIPA KODI...HUYU MWEDAZAKE SIJUI ALIKUWA ANAYIPEREKA WAPI? MUNGU MWACHE AITWE MUNGU,.SIO KILA MTU AWAZA KUWA KIONGOZI MKIUU...DAAAAH! WE WERE IN.A KONG DIRECTION ...ONE MAN SHOW ...DAAH!
 
Kuhamia Dodoma hakukuwa na tija kipindi hiki. Azma na ulazima wa kuhamia Dodoma ilikuwa kurahisisha accesibility kutoka mikoa na wilaya zingine kuweza kufika makao makuu ya nchi, hii ilikuwa ni lazima sana kipindi cha nyuma wakati mpango huo unaasisisiwa. Kutokana na ukuaji wa teknolojia makao makuu yanaweza kufikiwa sasa kutoka mahali popote kwa muda mfupi sana. kwa sasa kuna mifumo ya emails na vitu kama skype au ulipaji wa control number au mifumo ya kiwizara ambapo mtu akiwa popote anaweza ku access na kupata majibu ndani ya sekunde ulazima wa kuhamia Dodoma ulishaisha. Hakukuwa na sababu ya kutumia bajeti kubwa sana kulazimisha kuhamia Dodoma kwa kipindi ambacho nchi inahitaji sana hiyo bajeti katika sekta zingine.
Bakini dodoma. Eti email inafika kokote haraka kwan umeambiwa technology inafanya kila kitu? Waulize watu wa Musoma, Mwanza, Bukoba, Kigoma juu ya safari ya kutoka huko mpaka Dar

Angalia urahisi wa maofisa wa serikali kutoka dom kwenda mikoa mingine

Dom ndo makao. Imetoka hiyo. Na uzuri mwingine miundombinu inajengeka kirahisi sio kama dar ambayo imekuwa shaghalabaghala
 
Ni maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.

Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.

Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.

Mungu wa mbinguni awabariki.

Kazi Iendelee
Pumbafffff
 
Huyu ndugu yako alikuwa mental case kushupalia ujinga wa kuhamia DDM. Sababu zilizopelekea wazo la kuhamia DDM they no longer hold water in the world of modern technology in all walks of life. Ni kichaa tu ndiye atang'ag'ania kuhamia DDM
Ondoa matapishi yako hapa..
 
Sasa kama ni mstaafu unafaidika na nini kwa sasa hadi kujikana wewe mwenyewe kile ulichokifanya jana ambacho kimsingi ndio akili sahihi ilitumika?

Mstaafu gani wewe unakashifu kiwiliwili kisicho na pumzi ya kuja kujiteteta kwamba kile ulichokiongea ni uongo au kweli?

Huyo aliyepo sasa atakuamini kwa kutumia kigezo gani wakati unaonesha wewe ni kinyonga, si utambadilikia hata yeye muda sio mrefu?

Kama wewe ni staafu unafahamika kwamba tayari una busara kwanini ulete dhihaka, lengo lako ni lipi?

Kwanini utake makao makuu ya nchi yasiwe DODOMA badala yake yabaki DSM kwa maslahi yapi kama sio kukumbatia raha huku wananchi mkiwatesa kwa kuzitumia kodi zao kwa mambo yenu?
Yanayojitokeza baada ya serikali kuhamia Dodoma yamedhihirisha huu siyo wakati muafaka.

Dodoma pametupa majonzi ujue!
 
Kuhamia Dodoma hakukuwa na tija kipindi hiki. Azma na ulazima wa kuhamia Dodoma ilikuwa kurahisisha accesibility kutoka mikoa na wilaya zingine kuweza kufika makao makuu ya nchi, hii ilikuwa ni lazima sana kipindi cha nyuma wakati mpango huo unaasisisiwa. Kutokana na ukuaji wa teknolojia makao makuu yanaweza kufikiwa sasa kutoka mahali popote kwa muda mfupi sana. kwa sasa kuna mifumo ya emails na vitu kama skype au ulipaji wa control number au mifumo ya kiwizara ambapo mtu akiwa popote anaweza ku access na kupata majibu ndani ya sekunde ulazima wa kuhamia Dodoma ulishaisha. Hakukuwa na sababu ya kutumia bajeti kubwa sana kulazimisha kuhamia Dodoma kwa kipindi ambacho nchi inahitaji sana hiyo bajeti katika sekta zingine.
Wewe jinga unatuambia Nini, nchi imehamia Dodoma na nchi imeingia uchumi wa kati miaka mitano kabla ya muda uliopangwa au malengo..tafadhalini wananchi tuacheni msituchokoze kabisaa
 
Kuhamia Dodoma hakukuwa na tija kipindi hiki. Azma na ulazima wa kuhamia Dodoma ilikuwa kurahisisha accesibility kutoka mikoa na wilaya zingine kuweza kufika makao makuu ya nchi, hii ilikuwa ni lazima sana kipindi cha nyuma wakati mpango huo unaasisisiwa. Kutokana na ukuaji wa teknolojia makao makuu yanaweza kufikiwa sasa kutoka mahali popote kwa muda mfupi sana. kwa sasa kuna mifumo ya emails na vitu kama skype au ulipaji wa control number au mifumo ya kiwizara ambapo mtu akiwa popote anaweza ku access na kupata majibu ndani ya sekunde ulazima wa kuhamia Dodoma ulishaisha. Hakukuwa na sababu ya kutumia bajeti kubwa sana kulazimisha kuhamia Dodoma kwa kipindi ambacho nchi inahitaji sana hiyo bajeti katika sekta zingine.
We bado mtoto unajua maana ya kuhamia Dodoma..maliza kwanza shule ndio uje hapa na uharo wako...hizo fikra zako peleka kwa mmeo na WATOTO.ina maana.unataka kutuambia mama Samia na Magufuli walifanya kosa kufanya haya maamuzi..au unadhan hawakuamua kwa pamoja..na Baraza la Mawaziri...usilete ujinga wako hapa
 
Back
Top Bottom