Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina mkuu!Naunga mkono hoja.
Hata kurudi Dar es salaam ni maamuzi pia bwashee!Huu upuuzi ndo jpm alikuwa hataki.yaan wanaloliona gumu kumbe jepesi tu.
Ukiona mtu anaeogopa kufanya maamuzi jua kichwa maji tu.
Kama sio jpm sidhani kama ikulu ingehamiaga dodoma.
Rip jpm
Ivi BOT na Gavana waliwahi kuhamia Dodoma pia?Ni maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.
Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.
Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Kazi Iendelee!
Ni maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.
Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.
Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Kazi Iendelee!
Majeshi yako nchi nzima!J
Majeshi nayo yako Dodoma itakuwaje?
Ndio maana inarudi Dar es salaam kwa sababu siyo bembea!Watu Kama wewe wanasikitisha Sana
Serikali sio Kama bembeae unayoweza kuiswing tu utakavyo
Siyo lazima kuhamia Dodoma!Hii hoja ya kuwa Dodoma wamehamia haraka nashindwa ielewa. Huu uhamaji wa Taratibu na hadi CDA ikaanzishwa zaidi ya miaka 40 wameshindwa kuhamia. Kwa njia hii inayoitwa ya 'haraka', miaka minne wizara zote zimehama na wanaendelea kuimarisha mji wa serikali na Ikulu imejengwa?. Kwa akili ya kawaida tu, uhamaji wa taratibu kwa mwanadamu kamwe hauwezekanj, dar watu walishakuwa wamejiestablish huwezi wahamisha taratibu, inahitabu force. It was a matter of 'Do it now or Never'!.
Amina bwashee!Nimekusikia bwashee...
Yani kuhamia Dodoma au kubaki Dar kulikuwa kuna impact gani Kwa mwananchi wa Namanyere anayehitaji majiMaoni yako hayakubaliki, nchi hii tumechezewa sana linapokuja suala la kuhamia Dodoma.
Endelea kukariri!
Endelea kukariri!Ni kichaa pekee anayeweza kutaka Rais akae Dar es Salaam. Kwa hali ya Usalama hata Indonesia wanahama Jakarta. Kukaa kwenye majiji yenye watu wengi kama Dar ni hatari sana kwa kiongozi
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Je kuhamia DDM ndio kujali hali ya wanyonge? sioni mantiki ya kauli hii. Kuhamia DDM kumeligharimu Taifa fedha nyingi bila maandalizi ya kutosha. Maraisi waliotangulia isipokua Magu wailiona ni vema kuhamia kidogokidogo bila kuumiza wananchi. Unafrees ajira, promosion zote na kupeleka budget kiduchu isipokuwa Budget ya ujenzi hii sio sawa. Nchi hujengwa kwa kuendeleza watu na sii vitu. Kwa sasa na technolojia hii unadhani kuna haja ya kuwa DDM kwa sasa?Kamwulize ambaye ameanza kusihi kwenye hilo jumba jeupe magogoni amekutana na kitu gani halafu urejee kutetea mawazo mfu. Makao makuu ya nchi ni sharti yabaki DODOMA. Mtwara na Kigoma ni lazima zipewe hadhi ya JIJI kwa kuonesha maendeleo ya akili, watu na vitu
Wabaguzi pekee ndio wanaotetea Ikulu kubaki Dar Es Salaam kwa kuwa ni wavivu na hawako kwa ajili ya kushiriki changamoto za wananchi wa chini.
Nilitegemea wapinzani kama ninyi mngetilia maanani suala la serikali kuwa DODOMA kiukamilifu badala ya kukimbilia raha za Dar huku wananchi maskini wakiendelea kuwa duni bila tumaini la kupata nafuu.
Nimekuelewa sana bwashee!Je kuhamia DDM ndio kujali hali ya wanyonge? sioni mantiki ya kauli hii. Kuhamia DDM kumeligharimu Taifa fedha nyingi bila maandalizi ya kutosha. Maraisi waliotangulia isipokua Magu wailiona ni vema kuhamia kidogokidogo bila kuumiza wananchi. Unafrees ajira, promosion zote na kupeleka budget kiduchu isipokuwa Budget ya ujenzi hii sio sawa. Nchi hujengwa kwa kuendeleza watu na sii vitu. Kwa sasa na technolojia hii unadhani kuna haja ya kuwa DDM kwa sasa?