Rais na Taasisi saidizi zirudi Dar es Salaam, Makamu wa Rais abaki Dodoma

Rais na Taasisi saidizi zirudi Dar es Salaam, Makamu wa Rais abaki Dodoma

J
Ni maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.

Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.

Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.

Mungu wa mbinguni awabariki.

Kazi Iendelee!
Majeshi nayo yako Dodoma itakuwaje?
 
Ni maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.

Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.

Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.

Mungu wa mbinguni awabariki.

Kazi Iendelee!
Naunga mkono hoja:
muasisi wa kuhamia DODOMA JKNyerere kama angefufuka leo na akaulizwa whether kuna haja ya kwenda Dodoma given globalization na information technology iliyopo I bet angesema hapana tusiende Dodoma kwa vile sababu zile zilizopelekea maamuzi haya ZIMEPITWA na wakati.

Nyerere hakuwa king'ang'anizi ndiyo maana akaandika na kitabu cha TUJISAHIHISHE.

Pengine Jiwe angeshirikisha watu kwenye Cabinet yake watoe mawazo kwa uhuru basi Dodoma ingebakia makao ya Bunge, TAMISEMI labda na Waziri Mkuu au Ongeza na Kilimo ambazo tayari zina miundo mbinu yao tayari.

Haya maamuzi yake binafsi ya kutaka sifa na hizo ten percent za ujenzi yana athari kubwa kiuchumi.
 
Ni maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.

Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.

Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.

Mungu wa mbinguni awabariki.

Kazi Iendelee!
Watu Kama wewe wanasikitisha Sana

Serikali sio Kama bembeae unayoweza kuiswing tu utakavyo
 
Hii hoja ya kuwa Dodoma wamehamia haraka nashindwa ielewa. Huu uhamaji wa Taratibu na hadi CDA ikaanzishwa zaidi ya miaka 40 wameshindwa kuhamia. Kwa njia hii inayoitwa ya 'haraka', miaka minne wizara zote zimehama na wanaendelea kuimarisha mji wa serikali na Ikulu imejengwa?.

Kwa akili ya kawaida tu, uhamaji wa taratibu kwa mwanadamu kamwe hauwezekanj, dar watu walishakuwa wamejiestablish huwezi wahamisha taratibu, inahitabu force. It was a matter of 'Do it now or Never'!.
 
Kuhamia Dodoma hakukuwa na tija kipindi hiki. Azma na ulazima wa kuhamia Dodoma ilikuwa kurahisisha accesibility kutoka mikoa na wilaya zingine kuweza kufika makao makuu ya nchi, hii ilikuwa ni lazima sana kipindi cha nyuma wakati mpango huo unaasisisiwa. Kutokana na ukuaji wa teknolojia makao makuu yanaweza kufikiwa sasa kutoka mahali popote kwa muda mfupi sana. kwa sasa kuna mifumo ya emails na vitu kama skype au ulipaji wa control number au mifumo ya kiwizara ambapo mtu akiwa popote anaweza ku access na kupata majibu ndani ya sekunde ulazima wa kuhamia Dodoma ulishaisha. Hakukuwa na sababu ya kutumia bajeti kubwa sana kulazimisha kuhamia Dodoma kwa kipindi ambacho nchi inahitaji sana hiyo bajeti katika sekta zingine.

Hata kama havina tija?
No nazungumzia project zenye tija mkuu, mfano makao makuu kuwa Dodoma wenda kuliwaishwa but bado ni project yenye tija nje ya kwamba panafikika kirahisi TOKA kila mkoa ila bado zipo factor nyingine zinazofanya Dodoma kua makao makuu, so wakati inapitishwa azimio ilo miaka iyo sio kwamba wazaee walikurupuka ,tuwaulize wazee why dodoma na haikua mikoa mingine nje ya kigezo kwamba ni katikati ya nchi, maana hata Singida pangefaa,
Mda Sasa SSH kuhakikisha masalia yote yaliyobaki Dar ya serikali kuamishiwa Dodoma , lazima makao makuu yakamilike
 
Kamwulize ambaye ameanza kusihi kwenye hilo jumba jeupe magogoni amekutana na kitu gani halafu urejee kutetea mawazo mfu. Makao makuu ya nchi ni sharti yabaki DODOMA. Mtwara na Kigoma ni lazima zipewe hadhi ya JIJI kwa kuonesha maendeleo ya akili, watu na vitu

Wabaguzi pekee ndio wanaotetea Ikulu kubaki Dar Es Salaam kwa kuwa ni wavivu na hawako kwa ajili ya kushiriki changamoto za wananchi wa chini.

Nilitegemea wapinzani kama ninyi mngetilia maanani suala la serikali kuwa DODOMA kiukamilifu badala ya kukimbilia raha za Dar huku wananchi maskini wakiendelea kuwa duni bila tumaini la kupata nafuu.
Unajua sababu za enzi hizo kuhamia DDM? Zitaje... Do these reasons hold water today. Au unabisha kwa vle labda kwenu ni DDM. Nani kaongelea Mtwara na Kigoma? Unachanganya mambo
 
Upo sahii mkuu, kwanza why Rais aludi dar , tumeisha tumia gharama nyingi mpaka Sasa kwa kuimarisha makao makuu unaanzaje ludi nyuma? tukifanya hivi lazima tukapimwe milembe
Kichaa ni wewe. Modern World siku hizi watu hawanga'ng'anii kukaa katika mji mmoja kama kupe. Lazima shughuli nyingine zihamie miji mingine ili kutanua na kuiendeleza miji.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
No nazungumzia project zenye tija mkuu, mfano makao makuu kuwa Dodoma wenda kuliwaishwa but bado ni project yenye tija nje ya kwamba panafikika kirahisi TOKA kila mkoa ila bado zipo factor nyingine zinazofanya Dodoma kua makao makuu, so wakati inapitishwa azimio ilo miaka iyo sio kwamba wazaee walikurupuka ,tuwaulize wazee why dodoma na haikua mikoa mingine nje ya kigezo kwamba ni katikati ya nchi, maana hata Singida pangefaa,
Mda Sasa SSH kuhakikisha masalia yote yaliyobaki Dar ya serikali kuamishiwa Dodoma , lazima makao makuu yakamilike
Sababu kuu ya muda wote ya kuhamisha makao makuu kutoka Dar kwenda Dodoma imekuwa ikitajwa ni uwepesi wa kufikika kutoka pembezoni hasaa ikizingatiwa Dodoma ni katikati ya nchi. Sina kumbukumbu ya sababu nyingine ya kuhamisha makao makuu kutoka Dar to Dom, labda unijuze mkuu
 
Ni maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.

Serikali ganj hii inaendeshwa Rais yuko mkoa mwingine huku VP na PM wake, Mawaziri wako mkoa mwingine? Huu utendaji na utawala unafanyika vipi? Wakati sera inahimizwa iwe One stop centre wewe unazungumzia utawanyikaji wa taaisisi.

Ni kweli baadhi ya shughuli ziko dar, sababu uhamishaji wa serikali sio kama kuhamisha biashara ya genge la nyanya.
 
Kichaa ni wewe. Modern World siku hizi watu hawanga'ng'anii kukaa katika mji mmoja kama kupe. Lazima shughuli nyingine zihamie miji mingine ili kutanua na kuiendeleza miji.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Mkuu

kweli na wewe ubaini kuna uozo mwingi sana utaanza kurejeshwa kisingizio raha
Angesema wakati wa Mwendazake ningemuona wa maana lakini yeye aliunga mkono kila alichokifanya mwendazake
Mkuu,

hayati JPM alikuwa anatisha usipime
 
Ni maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.

Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.

Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.

Mungu wa mbinguni awabariki.

Kazi Iendelee!
Hakuna sababu ya kuhamia Dodoma, hoja ya katikati mwa nchi ni hafifu sana katika Hii dunia ya kidijitali! Dodoma aachiwe sabuufa kule kwao, wamezoea!

Sent from my itel A32F using JamiiForums mobile app
 
Huyu ndugu yako alikuwa mental case kushupalia ujinga wa kuhamia DDM. Sababu zilizopelekea wazo la kuhamia DDM they no longer hold water in the world of modern technology in all walks of life. Ni kichaa tu ndiye atang'ag'ania kuhamia DDM
Kwahiyo ww ulitaka kila kitu kiwe Dar....
mji wa kibiashara Dar Mji wa kiserekali Dar...!!?
kajifunze nchi za watu walivyofanya...
 
Ni maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.

Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.

Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.

Mungu wa mbinguni awabariki.

Kazi Iendelee!
Ila we jamaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huwa nakufananishaga na zitto
 
Siungi mkono hata siku moja , limeshakua limekua huwezi kua unafanya Jambo moja kwenda mbele na kuludi nyuma ,tumekubaliana miradi yote lazima kuisha pia Dodoma ni moja ya project lazima patengamae , no way
Huyu johnthebaptist inabidi ajulikane kwanza ni nani ili wadau wamtambue ana akili timamu au hapana.

Je ni mmoja wa watu ambao walitarajia kuteuliwa enzi hizo lakini haikuwezekana mpaka hatimaye zamu hii kapewa sehemu ya kupata kikombe cha chai

Wanajukwaa mchimbueni huyu jamaa atajitokeza hadharani bila kushurutishwa, hakika nawaambieni
 
Jamani hatukomi huko nako ile. Miradi ya kimkakati hatuisikii hivi ujenzi wa bwala la mwl. Sgr vipi
 
Kwahiyo ww ulitaka kila kitu kiwe Dar....
mji wa kibiashara Dar Mji wa kiserekali Dar...!!?
kajifunze nchi za watu walivyofanya...
nchi zipi? nitajie..... nami nikutajie nchi za first world ambazo biashara na makao makuu vipo sehemu moja.
Wanachofanya ni kudiversify viwanda according to location of raw materials and other infrastructure to feed the planned factory/industry
 
Back
Top Bottom