Rais na Taasisi saidizi zirudi Dar es Salaam, Makamu wa Rais abaki Dodoma

Mkuu

Usikute huyu anayetoa maoni haya ndio msaidizi wa karibu wa Rais kwa sasa na ushauri wake kuzingatiwa, mtashuhudia hivi vituko kwa wingi sana.
Siyo vituko, ni jambo linalowezekana ingawa linaweza lisiwe muhimu sana. Kwa maoni yangu ilipaswa kila Wizara iwe na Ofisi ndogo angalau hapa Dar. Lakini pia Taasisi zilipaswa zibaki Dar, kama ambavyo Bandari by Default haiwez kuhama Dar.
 
Umeongea vizuri sana mkuu!
 
Katikati ya nchi ni Singida!
 
Akiitaja, naomba uni tag. Kwa miaka yote, sababu kuu ni Katikati ya nchi na mambo ya Security
 
We nae umejaza virus kichwani mwako..huna jipyaa..umeyumbaa mzee matagaaa...huelewek..mara hili mara lile..nyie ndo mnaicost hii nchi..mijitu isieleweka..
 
Umeongea vizuri sana mkuu!
Mkuu mimi nilifanya kazi prime ministers office Dodoma 1974 hadi 1975 chini ya PM Mzee Rashid Kawawa hapo Dodoma. Lakini ule moto wa kuhamia Dodoma ulizimika ghafla baada ya Mwalimu Nyerere kueleweshwa.
Lakini kwa kuwa wakati huo hakuna kuhoji,mambo yalimalizika kimya kimya.
Kaja mjomba Magufuli kakoleza moto pasipo kujua a b,c,ya kuhamia Dodoma, katutengenezea bomu la nuclear.
 
Tumeshatumia gharama sana kiusalama Dodoma ni salama zaid ukanda wa habari ni pagumu
 
Ushauri wako haufai kufuatwa.. kabla hata Magufuli kuingia madarakani tayari hizo plan za kuhamia Dodoma zilikuwepo,

Nikupe dokezo tu.. adui kufikia ikulu ya Dar Es Salaam ni rahisi kuliko ile ya Dodoma.. watu hawakukurupuka alafu Mbona Dodoma pashakuwa patamu tu.

Dar es salaam klibaki kuwa jiji la kibiashara tu..
 

Hao wananchi unaosema wanapata shida si ndio hao mlisema waliichagua ccm, sasa kwakuwa viongozi wote ni wa ccm wawaulize kwanini wanarudi Dar. Ni hivi kuhamia Dodoma kwa sasa ilikuwa ni utashi wa Magufuli pekee, na ukitaka kuamini kawaulize viongozi waliokuwa wanamuunga Magufuli kuhamia Dodoma wabaki Dodoma, na wale waliokuwa hawakubaliani kuhamia Dodoma warudi Dar. Utashangaa watakaorudi Dar wa kwanza ni wale waliokuwa wanamsifia Magufuli kuhamia Dodoma kwa kiwango cha juu.
 

Adui gani wa maana atashindwa kufika Dodoma lakini aweze kufika Dar tu? Mkuu au unazungumzia adui anayetumia mawe nini?
 
Kuna watu wanaambiwa wapanue mawazo wao wanabanua [emoji527][emoji527] mata.ko kama mwanzisha uzi
 
Nakubaliana na wewe bwashee!
 
Hiii ndio Jf mama amashinda humu kila dakika na ssi wana JF MAMA ANATUSIKILIZA SANA SO TUENDELEEE KUMSHAURI TUMPE MADINI NA SS WANA JF TU WAWAKILISHE WENZETU TZ
 
Maoni yako hayakubaliki, nchi hii tumechezewa sana linapokuja suala la kuhamia Dodoma.
Tunaweza kufuta kwenye katiba icho kilichoandikwa makao makuu ni dodoma sijui mtasemaje
 

Bado hujafafanua vizuri.
 
Dar ishaelemewa, miundombinu mibovu sana. At least hiyo Dom maana iko well planned.
 
Adui gani wa maana atashindwa kufika Dodoma lakini aweze kufika Dar tu? Mkuu au unazungumzia adui anayetumia mawe nini?

Binafsi nina sababu 2.
1. Divesification, kwamba miji mingine ijengeke ili vijana wawe na sehemu kadhaa ya kwenda kujitafutia.
2. Congestion reduction. Wazia nalo bunge lingekuwa Dar. Halafu unakuwa kipindi cha bunge la bajeti kama hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…