Binafsi nina sababu 2.
1. Divesification, kwamba miji mingine ijengeke ili vijana wawe na sehemu kadhaa ya kwenda kujitafutia.
2. Congestion reduction. Wazia nalo bunge lingekuwa Dar. Halafu unakuwa kipindi cha bunge la bajeti kama hili.
Madiwani wa Dar es salaam ni zaidi ya wabunge lakini mbona kuko poa tu hakuna mbwembwe wala hekaheka.Binafsi nina sababu 2.
1. Divesification, kwamba miji mingine ijengeke ili vijana wawe na sehemu kadhaa ya kwenda kujitafutia.
2. Congestion reduction. Wazia nalo bunge lingekuwa Dar. Halafu unakuwa kipindi cha bunge la bajeti kama hili.
Imenenwa vyema!Kamwulize ambaye ameanza kusihi kwenye hilo jumba jeupe magogoni amekutana na kitu gani halafu urejee kutetea mawazo mfu. Makao makuu ya nchi ni sharti yabaki DODOMA. Mtwara na Kigoma ni lazima zipewe hadhi ya JIJI kwa kuonesha maendeleo ya akili, watu na vitu
Wabaguzi pekee ndio wanaotetea Ikulu kubaki Dar Es Salaam kwa kuwa ni wavivu na hawako kwa ajili ya kushiriki changamoto za wananchi wa chini.
Nilitegemea wapinzani kama ninyi mngetilia maanani suala la serikali kuwa DODOMA kiukamilifu badala ya kukimbilia raha za Dar huku wananchi maskini wakiendelea kuwa duni bila tumaini la kupata nafuu.
Labda sababu hizi zinaingia akilini, lakini sio eti adui hawezi kufika Dodoma kirahisi.
Madiwani wa Dar es salaam ni zaidi ya wabunge lakini mbona kuko poa tu hakuna mbwembwe wala hekaheka.
Sasa wabunge 300 wana wingi gani?Wale ni wachache, halafu vikao vyao haviwezi kwenda mfululizo siku tatu.
Sasa wabunge 300 wana wingi gani?
Kitaingia kingineTunaweza kufuta kwenye katiba icho kilichoandikwa makao makuu ni dodoma sijui mtasemaje
Uharibifu tu wa hela za walipa kodi na sijui nani alimdanganya Bwana yule kukurupuka kuhamia DodomaKamwulize ambaye ameanza kusihi kwenye hilo jumba jeupe magogoni amekutana na kitu gani halafu urejee kutetea mawazo mfu. Makao makuu ya nchi ni sharti yabaki DODOMA. Mtwara na Kigoma ni lazima zipewe hadhi ya JIJI kwa kuonesha maendeleo ya akili, watu na vitu
Wabaguzi pekee ndio wanaotetea Ikulu kubaki Dar Es Salaam kwa kuwa ni wavivu na hawako kwa ajili ya kushiriki changamoto za wananchi wa chini.
Nilitegemea wapinzani kama ninyi mngetilia maanani suala la serikali kuwa DODOMA kiukamilifu badala ya kukimbilia raha za Dar huku wananchi maskini wakiendelea kuwa duni bila tumaini la kupata nafuu.
Yaani basi tu, warudi dar es salaam kwani dodoma si Tanzania. Usiwe kama aliyewahi kusema watu wa pwani hawataki ikulu iamie dodoma. Ni kama vile kuna watu wana hati miliki na kama si hati fungati...Ni maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.
Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.
Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Kazi Iendelee!