Rais Nicolas Maduro wa Venezuela Anusurika Kuuawa

Rais Nicolas Maduro wa Venezuela Anusurika Kuuawa

Wanajeshi waliyokua kwenye parade walikua wanakimbilia wapi?

Hiyo kama kapelekwa message... sababu kwa dakika chache zile walinzi walivyokua wanajitafakari nini kimetokea kabla ya kum-cover up the president zingeweza kuleta maafa makubwa sana...


Cc: mahondaw
 
Wameshindwa kupambana naye kwa hoja....! 'Vey coward' hao jamaa.
 
Huyu inawezekana katengeneza movie tu.
Mmeaibika...na njama zenu chafu. Ebu jikumbusheni...kisa cha " bay of pig"! Unaweza kutueleza kuwa Wacuba alijivamia. Aibuuu!
====
Viva Bolivarian National Guard !! Viva Maduro Viva Venezuela.
 
Mmeaibika...na njama zenu chafu. Ebu jikumbusheni...kisa cha " bay of pig"! Unaweza kutueleza kuwa Wacuba alijivamia. Aibuuu!
====
Viva Bolivarian National Guard !! Viva Maduro Viva Venezuela.
Unaposema "mmebakia" unamkusidia mimi na nani?
 
Na maadui wote wa Taifa la Venezuela.
Maadui wa taifa la Venezuela ni hao wasoshalisti uchwara kina Chavez na Maduro waliolifilisi taifa lililo na mafuta mengi sana, mpaka sasa wananchi wake wanakondeana kwa kukosa chakula.

Wa Venezuela wanakimbia nchi yao wanakimbilia misitu ya Brazil sasa hivi, kwa sababu ya uongozi mbovu.

Huyo dereva wa basi Maduro amepewa kuendesha nchi, kashindwa.
 
Hahaha,mkuu hata hivyo wamechelewa,waliposikia mlipuko ambao hawana taarifa nao walitakiwa wawahi.
Tena wawahi haraka sana halafu cover yao ya kioga oga mno kiasi kuna sehemu waliacha upenyo
Wanajeshi waliyokua kwenye parade walikua wanakimbilia wapi?

Hiyo kama kapelekwa message... sababu kwa dakika chache zile walinzi walivyokua wanajitafakari nini kimetokea kabla ya kum-cover up the president zingeweza kuleta maafa makubwa sana...


Cc: mahondaw
Kabisa mkuu ,nashangaa mdau juu kule anafananisha na movie
Tena wamechelewa sana. Na walikuwa wanamfunika kiogaoga, pale wangerusha tu kajimoto kengine walikuwa wanamuacha ajiokoe mwenyewe
Yaani cjui walikua wanahisi mpasuko wa tairi ya gari !
 
Capitalism vs socialism..

Venezuela!!!!!!!!
 
Urais is terrible job
Duuh...hivi kuna rais ambaye anapendwa na almost raia wake wote??? Duuh...maana nikipiga picha karibia mataifa yote kuna mtifuano ya kutaka madaraka....hasa hiyo nafasi!!! Dah...aisee yakini hiyo ni nafasi nzuri.
 
Basi hapo kwa WB ndo wamemshika penyewe na sanctions zao.
Yaani ndiyo upuuzi wa wazungu! Kuanzisha WB ili kuzinyonya nchi nyingine!!! Hasa African countries na nyinginezo ambazo hazina nguvu kubwa kama yao. Ukitaka ujitegemee...usipokee misaada Yao...wanakufanyia upuuzi. Wanataka uendelee kuwapigia magoti. Mbaya sana.
 
Venezuela watu/waasi wanajua kupambana kisasa. Kuna siku walivamia hata kwa helicopter now by drone. Kuna siku watampata tu.
 
Hapo mimi nikiwa kama rais ni kuwasafisha walinzi wote waliokuwepo eneo la tukio kuanzia wajeda mpaka mgambo kwa fagio la chuma..
 
Maduro siku zake zinahesabika ila hii ndo dawa ya madikteta yaani wananchi wako wanakufa njaa halafu wewe unakula Bata tu madaraka kuachia wengine hutaki lazima wakulambe kichwa
 
Venezuela watu/waasi wanajua kupambana kisasa. Kuna siku walivamia hata kwa helicopter now by drone. Kuna siku watampata tu.
Drone nchi nyingi hairuhusiwi kurushwa hovyo ,au Venezuela cjui hawajui madhara ya drone,

Drone hata iwe ya kupiga picha ,Tanzania tu huirushi kirahisi
 
Venezuela inahujumiwa vikali mno na US,ndo maana uchumi unayumba,marekani hatapumzika hadi ampindue hiyo rais
 
Back
Top Bottom