Rais Omary al Bashir wa Sudan alipinduliwa kwa ongezeko la bei ya mkate, Watanzania tunachekelea Serikali kuongeza kodi lukuki

Rais Omary al Bashir wa Sudan alipinduliwa kwa ongezeko la bei ya mkate, Watanzania tunachekelea Serikali kuongeza kodi lukuki

Acha kuwashauri watu ujinga wa kuanzisha uasi dhidi ya serikali yao pendwa. Mbona sisi chadema kila mara huwa tunawachangia viongozi wetu hela za kuendesha chama, hela za uchaguzi, na za kuwatoa jela viongozi wote wanaokamatwa licha ya kuaminishwa kuwa mwenyekiti wetu ni tajiri wa kutupwa. lkn hatuandamani, wala kulalamika kuwa michango yetu inaliwa na wajanja wachache ndan ya chama.
Wewe mwenyewe uko hoi unajikaza kisabuni huku unateketea!
 
Tanzania kabla ya kuchagua wanasiasa wananchi wana nguvu na thamani sana ila baada ya kuchagua wanasiasa wana nguvu maradufu ya kupanga hata hatma za wananchi. Huu ni upuuzi ambao wenye akili wasipoukemea kwa busara itafika wakati wasio na akili watatumia ujamaa wao kuangamiza taifa. It is a matter of time!
In fact sisi ni watumwa wa viongozi wetu wa kisiasa!
 
Sisi wenyewe kwa wenyewe tuliuzana utumwani, hili tutalizoea kama tulivyozoea wasiojulikana enzi za mwenda kuzimu.
 
Bora hata jiwe kuliko huyu bi mkubwa, anajaribu kufurukuta lakini ndo anaharibu kabisaa! Unamuweka Mwigulu Nchemba kuwa waziri wa fedha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] what do you expect!

Some weeks ahead everything gonna be worse, mafuta ya kupikia yatapanda from 5,000 per litre to 6000.

Taabu saaana!

Madege ya kubeba abiria 262+ yamegeuzwa taxi za kutoka Dodoma-Dar halafu atakwambia ndege zilileta hasara Huku yeye akiendeleza hasara zaidi.

Huyu mama hafai kuwa rais atokee na CCM Kama nchi imewashinda waseme wazi!
Wewe hutaki??? km hutaki nyamaza wacha ufanyiwe wewe kaaa!
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana sijui ni sababu ya upole na unyenyekevu au uoga! La sivyo wako katika lindi la ujinga!

Mwaka 2019 wananchi wa Sudan waliiondoa serikali ya Rais Omary al Bashir kwa kuongeza bei ya mkate kwa kufanya maandamano nchi nzima. Walifanikiwa na sasa Bashir anatumikia kifungo jela kwa ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.

Watanzania tumeongezewa kodi lukuki zingine zikipewa majina ya ajabu kama kodi za mshikamano sijui kodi za uzalendo nk, tumebaki tunanung'unika kimoyo moyo! Kodi ya miamala imepanda, bei ya mbolea imepanda, nauli za usafiri na usafirishaji zimepanda, bei ya mafuta imepanda lakini tunashindwa kuihoji serikali yetu tumebaki tunapiga makelele kama wehu!

Wakati huo huo serikali inapanga kujenga sanamu ya mabilioni ya fedha, gharama za kuendesha serikali inazidi kupanda kutokana na ukubwa wa serikali, ufujaji wa fedha za umma na ufisadi. Aidha serikali inazidi kukopa fedha kwa matumizi yale yale ambayo serikali inakusudia kutumia fedha za kodi mpya!

Watanzania tumebaki kukodoa macho kama vile hatuoni kinachoendelea na hakituhusu! Nani huyu aliyeturonga na kuzaliwa na udumavu wa akili? Kuna matumizi mabaya sana ya madaraka viongozi wetu wanafanya lakini tunashindwa kuwawajibisha!

Watanzania tuamke vinginevyo twafwa!
Hama nchi bwana mdogo lasivyo fanyakazi kwa bidii sana uweze kulipa kodi na kubaki na faida yako.
 
Nakumbuka yule mmachinga wa Tunisia muuza matunda ambaye baada ya kujichoma moto, vurugu zilizofuata zilisambaa nchi zote za kiarabu! Syria mpaka leo mambo hayajapoa.
Hamia huko na wewe ukajichome moto. Kama maisha yamekushinda kunywa sumu. Sisi hatutaki maandamano ya kijinga unafikiri serikali itaendeshwa na kodi za Wamarekani? Huoni aibu Wamarekani kuweka mabango kwenye miradi yao yasemayo. "KWA MSAADA WA WANANCHI WA MAREKANI"
 
Kwa hiyo unataka kukinukisha ?
2827341_IMG_20210627_194856.jpg
 
Hama nchi bwana mdogo lasivyo fanyakazi kwa bidii sana uweze kulipa kodi na kubaki na faida yako.
Haya ni mawazo ya watu wanaowategemea dada zao! Muulize dada yako anavyopata tabu ya kuhesabu ceiling boards!
 
Hamia huko na wewe ukajichome moto. Kama maisha yamekushinda kunywa sumu. Sisi hatutaki maandamano ya kijinga unafikiri serikali itaendeshwa na kodi za Wamarekani? Huoni aibu Wamarekani kuweka mabango kwenye miradi yao yasemayo. "KWA MSAADA WA WANANCHI WA MAREKANI"
Wewe huoni uchungu serikali kutumia mabilioni ya fedha kujenga sanamu ya Magufuli wakati hospitali hazina dawa!
 
Moja ya move ya kuyapinga haya ni hili vuguvugu na KUANDIKWA KWA KATIBA MPYA YA WANANCHI...

Mambo yanakuwa hayawezekani kwa sababu sheria mama ya nchi [Katiba] inawapa mamlaka viongozi kujiamulia wamkamueje mwananchi na wewe mwananchi huwezi kuwa na "say" kwa sababu sheria haikuruhusu kunyanyua mdomo kupingana na viongozi kwa mambo yahusuyo fedha iwapo wameshayaamua wenyewe...

Kwa hiyo, mbinyo (pressure) wa katiba Mpya uendelee kwa kasi sana. Hili likifanikiwa kwa kila mmoja kushiriki kwenye vuguvugu hili, itakuwa ni hatua nzuri ya mwanzo kurudisha mamlaka ya nchi mikononi mwa wananchi wenyewe...

Kutokea hapo, huo utakuwa mwanzo wa viongozi kuanza kuenzi na kuwaheshimu wenye nchi ambao ni umma...
Watanzania ni watu wa ajabu sana sijui ni sababu ya upole na unyenyekevu au uoga! La sivyo wako katika lindi la ujinga!

Mwaka 2019 wananchi wa Sudan waliiondoa serikali ya Rais Omary al Bashir kwa kuongeza bei ya mkate kwa kufanya maandamano nchi nzima. Walifanikiwa na sasa Bashir anatumikia kifungo jela kwa ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.

Watanzania tumeongezewa kodi lukuki zingine zikipewa majina ya ajabu kama kodi za mshikamano sijui kodi za uzalendo nk, tumebaki tunanung'unika kimoyo moyo! Kodi ya miamala imepanda, bei ya mbolea imepanda, nauli za usafiri na usafirishaji zimepanda, bei ya mafuta imepanda lakini tunashindwa kuihoji serikali yetu tumebaki tunapiga makelele kama wehu!

Wakati huo huo serikali inapanga kujenga sanamu ya mabilioni ya fedha, gharama za kuendesha serikali inazidi kupanda kutokana na ukubwa wa serikali, ufujaji wa fedha za umma na ufisadi. Aidha serikali inazidi kukopa fedha kwa matumizi yale yale ambayo serikali inakusudia kutumia fedha za kodi mpya!

Watanzania tumebaki kukodoa macho kama vile hatuoni kinachoendelea na hakituhusu! Nani huyu aliyeturonga na kuzaliwa na udumavu wa akili? Kuna matumizi mabaya sana ya madaraka viongozi wetu wanafanya lakini tunashindwa kuwawajibisha!

Watanzania tuamke vinginevyo twafwa!
Hatuwezi kbs kuingiza nchi yetu pendwa kwenye machafuko na maandamano maana tumeona mengi tangu 2009s
 
Back
Top Bottom