Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo nimeshuhudia magari ya Tanzania pale Tunduma yameongozana kwenda Nakonde Zambia kujaza mafuta!Yani huwezi elewa hata kidogo, Zambia (a land locked country) ambao mzigo wao unapitia kwetu , bei ya mafuta ipo chini kuliko Tanzania.
Ndiyo umeniquote ukaandika nini?Wewe hutaki??? km hutaki nyamaza wacha ufanyiwe wewe kaaa!
Alikufa au kuna wahuni walimchomolea okisjeni ?Magufuli alikufa kwa kukosa dawa!
lolote litakalo tokea wa kulaumiwa ni .Watanzania ni watu wa ajabu sana sijui ni sababu ya upole na unyenyekevu au uoga! La sivyo wako katika lindi la ujinga!
Mwaka 2019 wananchi wa Sudan waliiondoa serikali ya Rais Omary al Bashir kwa kuongeza bei ya mkate kwa kufanya maandamano nchi nzima. Walifanikiwa na sasa Bashir anatumikia kifungo jela kwa ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.
Watanzania tumeongezewa kodi lukuki zingine zikipewa majina ya ajabu kama kodi za mshikamano sijui kodi za uzalendo nk, tumebaki tunanung'unika kimoyo moyo! Kodi ya miamala imepanda, bei ya mbolea imepanda, nauli za usafiri na usafirishaji zimepanda, bei ya mafuta imepanda lakini tunashindwa kuihoji serikali yetu tumebaki tunapiga makelele kama wehu!
Wakati huo huo serikali inapanga kujenga sanamu ya mabilioni ya fedha, gharama za kuendesha serikali inazidi kupanda kutokana na ukubwa wa serikali, ufujaji wa fedha za umma na ufisadi. Aidha serikali inazidi kukopa fedha kwa matumizi yale yale ambayo serikali inakusudia kutumia fedha za kodi mpya!
Watanzania tumebaki kukodoa macho kama vile hatuoni kinachoendelea na hakituhusu! Nani huyu aliyeturonga na kuzaliwa na udumavu wa akili? Kuna matumizi mabaya sana ya madaraka viongozi wetu wanafanya lakini tunashindwa kuwawajibisha!
Watanzania tuamke vinginevyo twafwa!
Alikuwa anawabaniaDuuh mafisadi wamemdedisha fisadi mwenzao!
Wewe waemaHakuna siri.
Mafisadi wamemdedisha
Hii ndo imemuondoa jiiwe kosa kubwa alilo fanya alikanyaga kanisani, .... hii ilkuwa ni anamdhihaki Mungu, na huyo bana kuba alisha sema kitamboo!! Mungu hadhi hakiwi ebu piga picha maisha yake huko ahera maisha yake yakoje!