Rais Omary al Bashir wa Sudan alipinduliwa kwa ongezeko la bei ya mkate, Watanzania tunachekelea Serikali kuongeza kodi lukuki

Rais Omary al Bashir wa Sudan alipinduliwa kwa ongezeko la bei ya mkate, Watanzania tunachekelea Serikali kuongeza kodi lukuki

Yani huwezi elewa hata kidogo, Zambia (a land locked country) ambao mzigo wao unapitia kwetu , bei ya mafuta ipo chini kuliko Tanzania.
 
Nenda Mabanda street wanaishi kama nguruwe pori. Danganya nyumbu wenzako wengine tumeishi huko mkuu.
Sijazungumzia kuhusu hali ya maisha. Hili ndilo tatizo la wahitimu wengi sana wa Tanzania. Wanaweka vitu ambavyo hujavisema halafu wanajifanya kubisha. Nimezungumzia kuhusu mwamko wa wananchi kwenye kupinga maovu.
 
Nawasalimu kwa jina la tozo mpya za simu!
8SAW.jpg
 
Sijazungumzia kuhusu hali ya maisha. Hili ndilo tatizo la wahitimu wengi sana wa Tanzania. Wanaweka vitu ambavyo hujavisema halafu wanajifanya kubisha. Nimezungumzia kuhusu mwamko wa wananchi kwenye kupinga maovu.
Hao wanaoishi mabanda street unafikiri shida zao ni nini? Wamenyang'anywa ardhi zao kwa kifisadi na wanasiasa wa Kenya lakini wapowapo tu.
 
Huna uwezo huo. Rais wa Mashoga anayeishi Ubelgiji aliwaambia muingie mitaani mkamwacha solemba!
Mama yako anapakuliwa samadi kila siku, je yeye ni nani?
 
Watanzania wamelegezwa na wamejazwa uoga tangu nchi hii imepata uhuru. Tangu enzi za Nyerere, waliojaribu kufurukuta au kumpinga walipotezwa. Nyerere alijaza "mashushu" kila kona, ukileta mdomo mchafu na serikali unapotea. Hata mtoto wa simba ukimchukua tangu alivyozaliwa halafu ukamfuga kama paka wa nyumbani, unamlisha, unacheza nae, atakuja kuwa simba mpole na muoga. Tena ukimrudisha huyo simba msituni atakufa njaa au ataliwa na simba wenzake maana siyo mkali na kuwinda hajui.
 
Mimi nafikiri yule mzee wa Ilala anapswa kuliwa kichwa mapema, lakini CCM Kama mmeshindwa kutuongoza basi acheni kabula hajuanza juhudi za kuwaondoa
 
Mama anayea kambi hadi elimu bure imeondolea muda mfupi baada ya jpm kuondoka,kwasasa watz tujue hatuna raisi labda 2025 tupate ,
 
Sisi wenyewe kwa wenyewe tuliuzana utumwani, hili tutalizoea kama tulivyozoea wasiojulikana enzi za mwenda kuzimu.
Naona fisadi papa una furahi sana kuuliwa kwa jiwe, ila ipo siku tutainua jiwe kuu jingine very soon
 
Tanzania kabla ya kuchagua wanasiasa wananchi wana nguvu na thamani sana ila baada ya kuchagua wanasiasa wana nguvu maradufu ya kupanga hata hatma za wananchi. Huu ni upuuzi ambao wenye akili wasipoukemea kwa busara itafika wakati wasio na akili watatumia ujamaa wao kuangamiza taifa. It is a matter of time!
Ndio maana mm niliamua kujipa mda kwanza kumkubali huyu mama,hapa mm namlaumu yeye mwenyewe, wala waziri wa fedha au mtu yeyote hahusiki,huyu mama yeye ndio kiranja mkuu ina maana hizi kodi hazioni?kama hazioni basi hafai kua RAIS,sisi wengine tunalipa kodi moja kwa moja bila kukwepa,halafu tunazidi kuongezewa makodi ya ajabu ajabu,yote kwa yote katiba mpya mhimu.
 
Pole mkuu kumbe Mama yako anapakuliwa samadi kila siku?!!
Si unamuona mama yako anavyotembea kama bata! Fanya kazi asije pasuliwa msamba kwa ajili ya kukulisha!
 
Siku tuku
Watanzania ni watu wa ajabu sana sijui ni sababu ya upole na unyenyekevu au uoga! La sivyo wako katika lindi la ujinga!

Mwaka 2019 wananchi wa Sudan waliiondoa serikali ya Rais Omary al Bashir kwa kuongeza bei ya mkate kwa kufanya maandamano nchi nzima. Walifanikiwa na sasa Bashir anatumikia kifungo jela kwa ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.

Watanzania tumeongezewa kodi lukuki zingine zikipewa majina ya ajabu kama kodi za mshikamano sijui kodi za uzalendo nk, tumebaki tunanung'unika kimoyo moyo! Kodi ya miamala imepanda, bei ya mbolea imepanda, nauli za usafiri na usafirishaji zimepanda, bei ya mafuta imepanda lakini tunashindwa kuihoji serikali yetu tumebaki tunapiga makelele kama wehu!

Wakati huo huo serikali inapanga kujenga sanamu ya mabilioni ya fedha, gharama za kuendesha serikali inazidi kupanda kutokana na ukubwa wa serikali, ufujaji wa fedha za umma na ufisadi. Aidha serikali inazidi kukopa fedha kwa matumizi yale yale ambayo serikali inakusudia kutumia fedha za kodi mpya!

Watanzania tumebaki kukodoa macho kama vile hatuoni kinachoendelea na hakituhusu! Nani huyu aliyeturonga na kuzaliwa na udumavu wa akili? Kuna matumizi mabaya sana ya madaraka viongozi wetu wanafanya lakini tunashindwa kuwawajibisha!

Watanzania tuamke vinginevyo twafwa!
Siku tukifanikiwa kuitoa ccm madarakani ,naimani baada ya miezi kadhaa lazima tuandamani kwa kujilaumu kuwa tulikuwa wapi miaka yote .haiwezekani gharama za maisha zinapanda huku mzee wa shungi akishinda barabara akifanya ziara za dar to dodoma.kupanda kwa gharama za maisha ni kipimo tosha kuwa ccm imeshindwa kuongoza nchi.
 
Back
Top Bottom