Rais Omary al Bashir wa Sudan alipinduliwa kwa ongezeko la bei ya mkate, Watanzania tunachekelea Serikali kuongeza kodi lukuki

Yani huwezi elewa hata kidogo, Zambia (a land locked country) ambao mzigo wao unapitia kwetu , bei ya mafuta ipo chini kuliko Tanzania.
Leo nimeshuhudia magari ya Tanzania pale Tunduma yameongozana kwenda Nakonde Zambia kujaza mafuta!

Aibu!
 
Hivi serikali inapowafanyia ujambazi na unyang'anyi wananchi wake, wakimbilie wapi?
 
lolote litakalo tokea wa kulaumiwa ni .
1. Mwigulu
2. Zungu
3. Jerry Muro.
 
Na sisi wakija kwenye ziara zao tuwapige mawe au sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…