Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Inadaiwa ktk taarifa za siri kuwa Wakongoman millions 6 wamepoteza maisha kwa athari za vita anavyopigana Kagame kwa mgongo wa waasi. Wengi kwa njaa, magonjwa na vita vyenyewe.Ni ukatili wa kutisha wamama na watoto wanazikwa wakiwa hai
Huu Umoja wa Africa ulishajifia zamani sana waliopo ni kuvimbisha matumbo tu
Sasa wanamkanaInawezekana huko The Hague ndio kwa waliomtuma afanye huo uhalifu Congo
Jeshi dhaifu la Congo limewashindwaHao proxy wake militia M23 wameshindikana?
Wanataka kumpaisha tuHabari za siri zimeanza kuvuja kuwa Kagame kageukwa na wazungu.
Leo mwendesha mashitaka wa mahakama ya ICC ameanza uchunguzi wa uhalifu wa kivita mashariki mwa Congo.
Inadaiwa mlengwa sio mwingine bali ni Rais wa Rwanda Paul Kagame.
Tusubiri tuone kama watafanikiwa kumnasa Chuma cha Pua.
Si bado vita inaendelea? Wanasubiri iisheHiyo the Hague ni genge la Wendawazimu kabisa.Kwanini wameshindwa kumkamata netanyahu na zelensky?
About time..Habari za siri zimeanza kuvuja kuwa Kagame kageukwa na wazungu.
Leo mwendesha mashitaka wa mahakama ya ICC ameanza uchunguzi wa uhalifu wa kivita mashariki mwa Congo.
Inadaiwa mlengwa sio mwingine bali ni Rais wa Rwanda Paul Kagame.
Tusubiri tuone kama watafanikiwa kumnasa Chuma cha Pua.
Hii habari njema sana. Yaswekwe ndani tu na litoto lake Ian mlinzi uchwara lenye misifa ya kijinga hadharani.Ni ukatili wa kutisha wamama na watoto wanazikwa wakiwa hai
Huu Umoja wa Africa ulishajifia zamani sana waliopo ni kuvimbisha matumbo tu
Malema wa SA aliishaga wahi kusema, "AU? There is no such a thing, is a group of old people who protect each other, is a club, they don't discuss issues, they don't challenge each other, my brother you are wrong here, you were wrong there..." ndio maana Magufuli hadi anafariki dunia, hakuwahi kwenda kijiweni kwao!Ni ukatili wa kutisha wamama na watoto wanazikwa wakiwa hai
Huu Umoja wa Africa ulishajifia zamani sana waliopo ni kuvimbisha matumbo tu
Hivi kazifunga hadi makanisa ya Roma?Na hayo makanisa ya kikatoliki aliyofunga, huenda Vatican inamjibu.
Alipokuwa anawavushia madini ya damu toka DRC hawakumuona kama mhalifu, leo hii kawa mbaya kwao?Habari za siri zimeanza kuvuja kuwa Kagame kageukwa na wazungu.
Leo mwendesha mashitaka wa mahakama ya ICC ameanza uchunguzi wa uhalifu wa kivita mashariki mwa Congo.
Inadaiwa mlengwa sio mwingine bali ni Rais wa Rwanda Paul Kagame.
Tusubiri tuone kama watafanikiwa kumnasa Chuma cha Pua.
Hamna lolote wanaloweza wakamfanya huyo jamaa........upepo umeshabadilika.....,,,mzee katulia zake msumbiji anawatuliza magaidi na EU wanampa support, kwahio kutegemea jamaa atapelekwa huko ICC ni ndotoNa hayo makanisa ya kikatoliki aliyofunga, huenda Vatican inamjibu.
Wakimaliza nayeee wahamiage lile litaifa la kijaaanii.Habari za siri zimeanza kuvuja kuwa Kagame kageukwa na wazungu.
Leo mwendesha mashitaka wa mahakama ya ICC ameanza uchunguzi wa uhalifu wa kivita mashariki mwa Congo.
Inadaiwa mlengwa sio mwingine bali ni Rais wa Rwanda Paul Kagame.
Tusubiri tuone kama watafanikiwa kumnasa Chuma cha Pua.