Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Habari za siri zimeanza kuvuja kuwa Kagame kageukwa na wazungu.
Leo mwendesha mashitaka wa mahakama ya ICC ameanza uchunguzi wa uhalifu wa kivita mashariki mwa Congo.
Inadaiwa mlengwa sio mwingine bali ni Rais wa Rwanda Paul Kagame.
Tusubiri tuone kama watafanikiwa kumnasa Chuma cha Pua.
Leo mwendesha mashitaka wa mahakama ya ICC ameanza uchunguzi wa uhalifu wa kivita mashariki mwa Congo.
Inadaiwa mlengwa sio mwingine bali ni Rais wa Rwanda Paul Kagame.
Tusubiri tuone kama watafanikiwa kumnasa Chuma cha Pua.