Rais Putin adai ataendeleza vita huko Ukraine

Rais Putin adai ataendeleza vita huko Ukraine

Putin na Urusi ilishapoteza vita muhimu sana ya geopolitics mwaka 2014 baada ya yale maandamano ya Maidan yaliyomuondoa madarakani kibaraka wa Urusi nchini Ukraine.

Anachokiendeleza hivi sasa ni desperation tu kutokana na matokeo ya ile vita.
Muda utaongea


SMO iendeleee.....
 
Putin na Urusi ilishapoteza vita muhimu sana ya geopolitics mwaka 2014 baada ya yale maandamano ya Maidan yaliyomuondoa madarakani kibaraka wa Urusi nchini Ukraine.

Anachokiendeleza hivi sasa ni desperation tu kutokana na matokeo ya ile vita.
Russia anataka maeneo yake ya zamani kibaya ni kupoteza vyote ila kupata kile cha muhimu ndiyo jambo LA msingi kwa Russia kwa sasa kuacha maeneo ambayo waliyatoa kwa ukrein kama moja ya kudumisha urafiki na ujamaa kwao ni kosa kubwa zaidi
 
Back
Top Bottom