othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Kwa Mara ya kwanza wa afrika wanejitambua rafiki wa kweli ni nani!
Russia ni rafiki wa kweli kwa Africa!
Kawakilisha AUKwani mack Sall katuma na Nani umoja wa. Africa au kaenda kivyake vyake
Utakuwa hata elimu yako ni tatizo, kama sio elimu basi hata taarifa za kidunia hufuatirii, huwezi kuilaumu russia kwa inachokifanya bila kuwasahau NATO ama mataifa ya ulaya& USA, hawa ndio madicteta kwa mgongo wa Democracy uchwara, hawa ndio wauwaji na washenzi kulko hata huyo putin ambaye anafanya hayo kwa maslahi ya ulinzi wa nchi yake.Mimi siiungi hoja.
Simpendi Rais Putin huyu mfalme wa madaraka milele. Wa kuvamia wazungu Ukrain na nchi huru. Wa kutishia kupiga unclear dunia.
Ni hatua ngapi tumetoka na Ulaya wakitusaidia? Yeye Putin kama kiongozi hata Africa hajakanyaga
Wewe ndiye ambaye shule haijakusaidia.mwenzako kaeleza jinsi ambavyo hapendi viongoz wanaoumiza wengine nakung'ang'ania madaraka wewe unakuja na ngonjera zakumchagulia upande kwani amekwambia anaunga hao wazungu kwa wanayoyafanya.Mambo mengine uliyoyaandika ni mtazamo wako ila kama kuna mambo mabaya yanafanywa na kiongozi yoyote yule duniani watu wanapaswa kusema na kukemea.Russia analaumiwa kwasababu kaanzisha vita yakuua watu wasio na hatia bila sababu za msingi.Hoja yake ni nyepesi sana ukilinganisha na hoja zilizowahi kutumiwa na wengine kuzivamia nchi zingine.Japo yote hayo ni makosa kwasababu wanaoumia ni raia wasio na hatia.Hizo nchi ulizotaja bado wana demokrasia kubwa kulingana na katiba zao.Uingereza ni nchi ya kifalme hadi watakapobadilisha hiyo katiba yao.ata china wanaenda kulingana na katiba yao.siku watakayoona kuna haja yakubadilisha muundo wa serikali zao watafanya hivyo.mengine umeleta story za vijiweni.Utakuwa hata elimu yako ni tatizo, kama sio elimu basi hata taarifa za kidunia hufuatirii, huwezi kuilaumu russia kwa inachokifanya bila kuwasahau NATO ama mataifa ya ulaya& USA, hawa ndio madicteta kwa mgongo wa Democracy uchwara, hawa ndio wauwaji na washenzi kulko hata huyo putin ambaye anafanya hayo kwa maslahi ya ulinzi wa nchi yake.
Alafu ni nani aliwadanganya mtu kukaa madarakani milele ni udicteta? Haya ninyi ambao si madicteta mnawazid vip chinese wanaoongozwa na rais wa milele? Hiyo demokrasia yenu inawazid vip russia? Saud arabia je? Haya basi hata huwaoni hao Uingereza ambao cheo cha urais hakipo kipo cheo cha Prime minister ambaye yuko chini kimamlaka na malkia wa uongoz usio wa kidemocras, je huoni hapo kuna uongoz wa rais dicteta aliye kwenye kivuli na kificho cha umalikia?
Haya na huko USA kwenye demokrasia kipindi cha uchaguz kati ya donard trump na clinton unajua wazi aliyeshinda ni huyo mwanamke clinton, je kwanini uongoz apewe ambaye hakushinda ambaye ni trump? je huo si udicteta na kuhujumu haki za wapiga kura?
Kama hamjui mambo yanavyokwenda duniani ni bora muwe mnakaa kimya kuliko kujiaibisha hapa mitandaoniView attachment 2249801
Sasa kama ni lafiki wa afrika si atuletee mafuta ya bei nafuu mambo ya mbolea yatajipa unafuu yenyewe,Rais Sall wa Senegal ambaye ni mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Leo amekutana na Rais Putin nchini Urusi.
Rais Putin amesema Afrika ni rafiki wa kweli wa Russia hivyo wasiwe na hofu wataendelea kupata nafaka na mbolea kutoka Russia
Leo ni siku ya 100 tokea vita ya Russia na Ukraine ianze
Source: BBC Dira ya Dunia
Nakuona leo meno yote 18 ya watu wa kibera yapo nje[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] MK254 Tony254Rais Sall wa Senegal ambaye ni mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Leo amekutana na Rais Putin nchini Urusi.
Rais Putin amesema Afrika ni rafiki wa kweli wa Russia hivyo wasiwe na hofu wataendelea kupata nafaka na mbolea kutoka Russia
Leo ni siku ya 100 tokea vita ya Russia na Ukraine ianze
Source: BBC Dira ya Dunia
Jiran zetu wanapaswa kutochukua hiyo misos+mbolea ili kumuonyesha Putin kuwa hakuwa na taarifa sahih wakat anawajibu kuhusu mtazamo wa kenya ktk op inayoendeleaRais Sall wa Senegal ambaye ni mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Leo amekutana na Rais Putin nchini Urusi.
Rais Putin amesema Afrika ni rafiki wa kweli wa Russia hivyo wasiwe na hofu wataendelea kupata nafaka na mbolea kutoka Russia
Leo ni siku ya 100 tokea vita ya Russia na Ukraine ianze
Source: BBC Dira ya Dunia
Kwamba Africa miaka zaidi ya 50 tumeshindwa kujitegemea hata kwa chakula tu!?
Tuna tatizo kubwa kwakweli , tunahitaji mabadiliko makubwa sana
Respect kwako kaka, umeainisha masuala yote muhimu na za msingi, kujikomba ndio jadi ya jamii yetu, bahati mbaya mambo hayakuwa hivyo miaka ya nyuma maana wazee wetu walikuwa radhi kufa kuliko kumsujudia huyo fake messiah (white man).Hapo nadhani wanailump Afrika lakini kama wangekuwa specific wangesema Afrika Kaskazini, Somalia, Ethiopia, Sudani Kusini, na baadhi ya nchi za West Africa ndiko wanahitaji hiyo ngano ya Russia.
Hata hivyo kuna namna fulani hivi ambavyo mwafrika akili yake ni ndogo sana. Udogo wa akili ya mwafrika ni jinsi ambavyo wazungu wanavyoweza kutengeneza tatizo, wakalibrand kuwa ni tatizo kubwa kwa mwafrika, na mwafrika akaibeba mazima mazima hiyo simulizi ya mzungu na kuliona kuwa ni tatizo kwake. Mwisho ni mwafrika kuendelea kuwa tegemezi kwa mzungu milele na milele.
Mfano mdogo ni kuhusu corona. Corona ilivyoanza huko Ulaya na Marekani wakawa wakifa kama kumbikumbi yet simulizi kwenye vyombo vya habari vya wazungu ilikuwa ni jinsi ambavyo Afrika itakuwa "disproportionately hit" na corona. Wakati huo nafikiri Afrika ilikuwa hata haijapata hata mgonjwa mmoja wa corona. Lakini viongozi wa AU save Tanzania walivokuwa busy kujigonga gonga na kulialia kwa mataifa ya Ulaya na Marekani kuhusu chanjo, na jinsi mataifa hayo yanavyokumbatia chanjo utafikiri basi waafrika ndio tunaihitaji chanjo kuzidi wao. Ni akili ndogo tu na utumwa utumwa tu.
Na hata kwenye hii ishu ya Russia na Ukraine na madhara yake kiuchumi. Kama kuna madhara Afrika itayapata kutokana na hii vita hatutakuwa tofauti na watu wa mabara mengine. Huyo Sall kukimbilia Russia kuomba sijui hiki au kile ni utoto utoto tu wa viongozi wa kiafrika.
Ukiwapenda wazazi wako inatosha Acha kiherehere cha kupenda watu wasiokujuaMimi siiungi hoja.
Simpendi Rais Putin huyu mfalme wa madaraka milele. Wa kuvamia wazungu Ukrain na nchi huru. Wa kutishia kupiga unclear dunia.
Ni hatua ngapi tumetoka na Ulaya wakitusaidia? Yeye Putin kama kiongozi hata Africa hajakanyaga
Ukiona mtu haingilii mambo yako ya ndani hata yawe mabaya ujue anakuheshimu na anaheshimu utashi wako na privacy Zako, na huo ndio uungwana! Na ukiona mtu anahangaika na mambo yako haswa ya ndani ujue amekuzoea vibaya na hakuheshimu na anakuona huna akili!Russia ni rafiki wa kweli kwa viongozi wa kiafrika wanaokaa madarakani kwa shuruti. Viongozi wanajua kabisa Russia hana tabia ya kuhoji chaguzi za kihuni, hivyo kwao Russia ni rafiki. Cha ajabu wakiiba pesa wakiwa madarakani, hawaweki kwenye bank za Russia, bali huweka kwa wazungu wa magharibi.
Sema vikwazo vya watu walioshindwaAmalizane na Ukrein mapema,aanze kupambana na vikwazo vya Mmarekani
Ww kiazi mbatata kweli. Putin amekaa/ameishi Africa miaka mitano mfululizoMimi siiungi hoja.
Simpendi Rais Putin huyu mfalme wa madaraka milele. Wa kuvamia wazungu Ukrain na nchi huru. Wa kutishia kupiga unclear dunia.
Ni hatua ngapi tumetoka na Ulaya wakitusaidia? Yeye Putin kama kiongozi hata Africa hajakanyaga
Achana nawo awoo boss wao wanamuona Putin dicteta vp malkia pale uingereza naye si dicteta, vp mfalme pale uhispani, uholanzi, Denmark, watu ni wapumbavu sana wengi wamesoma lkin akili hawana wanakuja na hadithi zao kuwa matajiri WA urusi wanawaibia wananchi na Kula pesa za mafuta yani matajiri WA nchi za wenzao ni wezi Ila mabilionea wao pale Marekani na ulaya wao ni wasafi na hawanashida yoyote wamejilimbilizia mabilioni ya Dola Ila bado wanailaumu matajiri WA nchi za wengine et kisa wako karibu na raisi WA nchi yake useless kabisaUtakuwa hata elimu yako ni tatizo, kama sio elimu basi hata taarifa za kidunia hufuatirii, huwezi kuilaumu russia kwa inachokifanya bila kuwasahau NATO ama mataifa ya ulaya& USA, hawa ndio madicteta kwa mgongo wa Democracy uchwara, hawa ndio wauwaji na washenzi kulko hata huyo putin ambaye anafanya hayo kwa maslahi ya ulinzi wa nchi yake.
Alafu ni nani aliwadanganya mtu kukaa madarakani milele ni udicteta? Haya ninyi ambao si madicteta mnawazid vip chinese wanaoongozwa na rais wa milele? Hiyo demokrasia yenu inawazid vip russia? Saud arabia je? Haya basi hata huwaoni hao Uingereza ambao cheo cha urais hakipo kipo cheo cha Prime minister ambaye yuko chini kimamlaka na malkia wa uongoz usio wa kidemocras, je huoni hapo kuna uongoz wa rais dicteta aliye kwenye kivuli na kificho cha umalikia?
Haya na huko USA kwenye demokrasia kipindi cha uchaguz kati ya donard trump na clinton unajua wazi aliyeshinda ni huyo mwanamke clinton, je kwanini uongoz apewe ambaye hakushinda ambaye ni trump? je huo si udicteta na kuhujumu haki za wapiga kura?
Kama hamjui mambo yanavyokwenda duniani ni bora muwe mnakaa kimya kuliko kujiaibisha hapa mitandaoniView attachment 2249801
Hivi hayo mafuta ya bei rahisi toka Russia ni yapi?Anaweza akavileta na viongozi wa Afrika wakashindwa kupokea, kama mafuta wameshindwa kununua ya Russia ambayo ni bei rahisi hizo mbolea na chakula wataweza kuvichukua?