Ushauri potofu, dunia ya waliostaarabika haiwezi kukaa kimya ikiangalia uonevu wa wazi ukiendelea. Nato na us tayari wako mpakani mwa Ukraine...tusubiri majibu ya vipimoUsikurupuke kuleta uzi kama mambo huyaelewi vizuri. Hivi Russia sijui watu mnamchukuliaje someni historia zao vizuri, BTW USA na washirika wenzake wa NATO wasijaribu kuzuia mipango ya mrusi, wakae kimya kama njia pekee ya kutatua tatizo , la sivyo sote tutaomboleza amini nakuambia.
Tusubiri, ngoja nifukue handaki aliloacha babuUshauri potofu, dunia ya waliostaarabika haiwezi kukaa kimya ikiangalia uonevu wa wazi ukiendelea. Nato na us tayari wako mpakani mwa Ukraine...tusubiri majibu ya vipimo
ukumbuke hata huyo ADOLPH HITLER aloweza kumkabili vilivyo na kumkalisha ni mrusiTeam Putin wanavyovimba sasa! Hata Adolf Hitler wangemvimbisha kichwa hivi hivi. Kama walifanya hivyo kwa Saddam unadhani kuvimba kwao leo ni ajabu sana?
2020 Mchina alituchagulia maisha ya dunia kujifungia na kunawa mikono hadi leo.ukumbuke hata huyo ADOLPH HITLER aloweza kumkabili vilivyo na kumkalisha ni mrusi
tuombe tu hii vita isiindelee kumbuka km NATO ikiamua kujibu mapigo na URUSI hakajibu mapigo kwa NATO DIRECT katika NCHI zake hata wewe huku utaathilika KIUCHUMI na mausha yako yatayumba ingawa hutaweza kuona kwa sasa ila utakuja kutambua tu baada muda fulani
DUNIA siyo uwanja wa VITA ni sehemu ya kuishi kwa USALAMA
Sasa mpigaji wa hitler ndo anapiga Ukraine kasema popoteKwani Adolf Hitler alianza kupigwa siku hiyo hiyo aliyoingia Poland?
Hiyo mbuzi haiwezi mpiga mmarekani, hata marekani akipigania vita kitandaniKatika maisha ya kawaida, ukiona mtu anatoa vitisho vingi, bai ujue mtu huyo hana au ana uwezo mdogo wa kumkabili adui au mpinzani wake na hii ni katika hata ngumi za mitaani au mashuleni.
Vitisho mara nyingi hutumika kwa lengo la kumuogopesha mpinzani au adui asianzishe mapambano kwasababu mtoa vitisho anajua mpambano ukianza hatoweza kumshinda adui au mpinzani wake hivyo ni bora kujihami kwa kuhakikisha mapambano hayayokei na hiki ndio anachokifanya Puttin.
Mpambano utachukua muda tofauti na tulivyoona kwa kina Saddam na wengine ila mwisho wa siku Russia atashindwa bila kujadili Marekani ataingia pekee yake au na washirika wake wa NATO.
Mbali na teknolojia, uwezo wa kiuchumi katika vita ni moja ya factor muhimu katika kuamua mshindi wa vita na uchumi wa Russia sio wa kuulinganisha na ule wa Marekani na washirika wake wa Ulaya.
Vile vile Marekani na Ulaya wataanza kuiwekea vikwazo Russia kama njia ya awali ya kuidhooifisha kiuchumi kabla ya kuingia katika vita halisi iwapo watafika huko.
Puttin anawaza makombora na zana zake za kijeshi wenzake wana-consider all factors na kujipanga kabila hawajaingia katika uwanja wa vita.
Hata kama vita isipotokea, wamerekani kwa kushirikisha na mataifa ya Ulaya, watafanya lila njema kumuondoa Puttin kwani kwa ssaa ni tishio kwao na hawatakubali aendelee kubaki madarakani.
Time will tell.
Hivi kwa akili ya kawaida tu unadhani Russia ana silaha kali na za kisasa kuwazidi wengine hasa Marekani na Israel?Hizo ni ngonjera za Boris Johnson, waziri mkuu wa Uingereza, usizizingatie sana, hawana cha kufanya zaidi ya kukimbilia vikwazo.
Waingie mzigoni wao kama NATO (nchi zaidi ya 20)
Lakini lengo la Adolf Hitler halikutimia? 6 million Jews, a total of more than 11 million people perished!Kwani Adolf Hitler alianza kupigwa siku hiyo hiyo aliyoingia Poland?
Kwani hauwezi kuchangia bila kumuattack mleta maada ?Kwa nini umuambie mleta maada hana akili ?
Kwamba hizo zana anazo Russia pekee?Hiyo haina haja ya kuomba, wao wenyewe NATO wanajua kuwa Putin ni maji marefu. Hafikirii mara mbili mbili kutumia mijizana yake ya vita kwa yeyote atakayeingiza pua yake Ukraine
Size ya NATO ni Libya na Venezuela, labda. Not RussiaHizo ni ngonjera za Boris Johnson, waziri mkuu wa Uingereza, usizizingatie sana, hawana cha kufanya zaidi ya kukimbilia vikwazo.
Waingie mzigoni wao kama NATO (nchi zaidi ya 20)
Marekani hawezi kujaribu Ukraine kwa sababu anajua 100% kwamba Putin ana haki zote kufanya hivyo. Stop being ignorant and wake up!Kwamba hizo zana anazo Russia pekee?
Kuna nchi zina zana na makombora ya kisasa sema hawaoni umuhimu wa kuingia gharama za billion of dollars kwenye vita visivyo na faida kwao.
Kama Marekani angekuwa na maslahi ya kudumu hapo Ukraine amini Urusi asingeingia kichwa kichwa kihivyo lazima angeufyata.
Kwamba ama haki ya uvamizi wa nchi nyingine iliyo huru?Marekani hawezi kujaribu Ukraine kwa sababu anajua 100% kwamba Putin ana haki zote kufanya hivyo. Stop being ignorant and wake up!
Hitler hakuwa na nuclear,,Kwani Adolf Hitler alianza kupigwa siku hiyo hiyo aliyoingia Poland?
Duh!Hivi kwa akili ya kawaida tu unadhani Russia ana silaha kali na za kisasa kuwazidi wengine hasa Marekani na Israel?
Warusi wanajulikana ni wapiganaji vita wazuri,, na hii ni pamoja na wa ukraine, masna walikuaga nchi moja ,ukumbuke hata huyo ADOLPH HITLER aloweza kumkabili vilivyo na kumkalisha ni mrusi
tuombe tu hii vita isiindelee kumbuka km NATO ikiamua kujibu mapigo na URUSI hakajibu mapigo kwa NATO DIRECT katika NCHI zake hata wewe huku utaathirika pakubwa KIUCHUMI na maisha yako yatayumba ingawa hutaweza kuona kwa sasa ila utakuja kutambua tu baada muda fulani
DUNIA siyo uwanja wa VITA ni sehemu ya kuishi kwa USALAMA