Umbali wa Posta hadi Chanika kazi wanayo Ukraine but Putin will not launch heavy weapons anatoa vitisho kwa sababu hana resources za kupambana na nchi nyingi ikiwa USA na washirika wake NATO wakiamua kumlinda Ukraine na hilo hata Putin anajua vizuriWar -update
Mji wa Hostomel umeangukia kwenye mikono ya Warusi.upo umbali wa km 36 kutoka mji mkuu wa ukraine
Hahahaha mkuu mueleza huyo kangamoko haelewi hivi vituHivi wakati Georgia inavamiwa bush alikua diwani?
Heavy weapons kawawekea watakaoshoboka kuingilia..............kitu cha hypersonic huitaji kupeleka manowari,ndege wala wanajeshi unamaliza kazi yako fastaUmbali wa Posta hadi Chanika kazi wanayo Ukraine but Putin will not launch heavy weapons anatoa vitisho kwa sababu hana resources za kupambana na nchi nyingi ikiwa USA na washirika wake NATO wakiamua kumlinda Ukraine na hilo hata Putin anajua vizuri
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Ukraine anataka kuwalazimisha wainhie vitani lakini wako makini sana NATO kutoingia mtego huu. Mfano leo asubuhi, askari wa Ukraine kapeleka Sukhoi huko Romania (NATO Member) bahati nzuri Romania wakamuwahi na mkulazimisha aishushe...bado wamemshikilia askari huyo. Sukhoi ilikuwa inaelekea kwenye base kubwa ya Kijeshi ya NATO nchi Romania.NATO ikiamua kujibu mapigo na URUSI hakajibu mapigo kwa NATO DIRECT katika
Najua sehemu kubwa ya Ulimwengu wa Kiislamu hawaipendi Marekani.Wamerekani wana hamu tena? Kipigo walichochezea kwa Taliban mpaka wakaikimbia nchi bado wanaugulia majeraha. Watabaki kelele za mbali tu.
Du! Kumbe wewe jamaa ni mweupe kiasi hiki. Russia ni mkibwa mwenzako na ni lazima kuwepo na kuheshimiana. Wamarekani msihishi kwa mazoea dunia imebadilika sanaKatika maisha ya kawaida, ukiona mtu anatoa vitisho vingi, basi ujue mtu huyo hana au ana uwezo mdogo wa kumkabili adui au mpinzani wake na hii hutokea mitaani na hata mashuleni katika ngumi za kawaida.
Vitisho mara nyingi hutumika kwa lengo la kumuogopesha mpinzani au adui asianzishe mapambano kwasababu mtoa vitisho anajua mpambano ukianza, hatoweza kumshinda adui au mpinzani wake, hivyo ni bora kujihami kwa kuhakikisha mapambano hayayokei na hiki ndio anachokifanya Puttin.
Ukitokea, mpambano utachukua muda mrefu tofauti na tulivyoona kwa kina Saddam na wengine, ila mwisho wa siku Russia atashindwa bila kujadili Marekani ataingia pekee yake au na washirika wake wa NATO.
Mbali na teknolojia, uwezo wa kiuchumi katika vita ni moja ya factor muhimu katika kuamua mshindi wa vita, na uchumi wa Russia sio wa kuulinganisha na ule wa Marekani na washirika wake wa Ulaya wa Magharibi.
Vile vile, Marekani na Ulaya, wataanza kuiwekea vikwazo Russia kama njia ya awali ya kuidhooifisha kiuchumi kabla ya kuingia katika vita halisi iwapo watafika huko.
Puttin anawaza makombora na zana zake zingine za kijeshi, ila wenzake wana-consider all other factors na kujipanga vilivyo kabila hawajaingia katika uwanja wa vita.
Hata kama vita isipotokea, wamerekani kwa kushirikisha na mataifa ya Ulaya, watafanya kila njama kumuondoa Puttin kwani kwa ssaa ni tishio kwao na hawatakubali aendelee kubaki madarakani.
Time will tell.
Mi naona waiingize tu ili ccm waachie taifa tuTuombe wamuache tu puttin aue ndugu zake. Wasiingize dunia kwenye vita ya tatu.
Nimefuatilia, ninavyoona Marekani hana nia ya dhati kupigana na russia. Inamchochea apigane na jirani yake halafu inapiga kelele iwekewe vikwazo huku ikitoa silaha.Mi naona waiingize tu ili ccm waachie taifa tu
vita sio mpira haya ni maisha ya watuHizo ni ngonjera za Boris Johnson, waziri mkuu wa Uingereza, usizizingatie sana, hawana cha kufanya zaidi ya kukimbilia vikwazo.
Waingie mzigoni wao kama NATO (nchi zaidi ya 20)
Ushaanza udini.Najua sehemu kubwa ya Ulimwengu wa Kiislamu hawaipendi Marekani.
Un wako kwenye kikao kesho wanakuja na maamuzo magumuNdoto Imeisha Au Bado
futa hiiHivi kwa akili ya kawaida tu unadhani Russia ana silaha kali na za kisasa kuwazidi wengine hasa Marekani na Israel?
Sema tu dunia ya leo vita iliyobaki ni ya maneno zaidi na sio vita ya kuiingiza nchi katika hasara ya matrilioni ya fedha.
Hivi Marekani naye akisema aingize silaha zake na makombora ya kisasa pale Ukraine unadhani Russia atabaki salama?
Maana Marekani siku zote hapiganii vita nchini mwake bali nchini mwako ama jirani ili madhara ya vita uyapate wewe.
Siku mkijua kwamba NATO 28+ USA countries iliundwa kwa lengo la kupambana na Urusi ndipo mtajua uwezo wa mrusi.
USA mwenyewe anajua uwezo wake ndio maana akaunda umoja huo umusaidie kupambana na Urusi,halafu anatokea Mmatumbi mmoja anakuambia Russia sio kitu.