Rais Putin anaongea sana bila vitendo

Nchi zote za ujamaa ni vilopo sana,matendo sifuri.Unaweza tishika ukiambiwa nguvu zao lakini njoo kwenye utendaji sasa ni bure kabisa,Russia wa kushindwa kuchukua bakhmut karibia mwaka sasa!,aibu hii.
 
Nchi zote za ujamaa ni vilopo sana,matendo sifuri.Unaweza tishika ukiambiwa nguvu zao lakini njoo kwenye utendaji sasa ni bure kabisa,Russia wa kushindwa kuchukua bakhmut karibia mwaka sasa!,aibu hii.
Mm nilijua anachukua Kiev ndani ya saa 24 tu.Sasa ataweza the hague???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…