Rais Putin anaposema yuko tayari kuachia baadhi ya maeneo, kwani kura alikuwa anapiga ya nini?

Rais Putin anaposema yuko tayari kuachia baadhi ya maeneo, kwani kura alikuwa anapiga ya nini?

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Ukraine wasiingie huu mkenge, vita vilianzia Crimea inapaswa viishie Crimea.

Mrusi kwa sasa ameachwa bila kete, amejaribisha mabomu yake yakapanguliwa, akabaki kupiga maeneo ya raia, madubwana yanaendelea kushushwa Ukraine ya kukinga dhidi ya hayo mabomu.

Amekusanya wanywa gongo wenyewe wamejichokea, kuna taarifa za aibu zinajitokeza namna hao vijana wanateseka, wengi wanalala nje au sakafuni.

Sasa ameanza kuachia vitaarifa kwamba yuko radhi kuachia baadhi ya maeneo almradi Ukraine waache kushambulia, na kwamba kwenye mazungumzo Crimea isitajwe.

Ikumbukwe daraja alilokua anategemea kusafirisha silaha lilipigwa, sasa yuko hoi.

 
Asiwe na haraka ivyo kuna mizigo toka West toka juzi inashushwa Kyiv wacha ifanye kazi yake kidogo tumuone super power, Zelensky alishakifunga kitabu cha mazungumzo sasa ni kaz tu mpaka Crimea ieleweke
 
Inasemekana anataka ajipange hivyo inabidi aombe pause.

Ila tusisahau anataka anza operation kutokea mpaka wa belarus
Kama Special forces wake wanapokea kichapo kule Kherson mpaka wanakimbia na kuacha vifaru ndo itakua hao wanywa gongo wa Lukashenko. Acha waingie ulingoni wakaangwe na HIMARS kama broilers wa Shekilango
 
Ukraine wasiingie huu mkenge, vita vilianzia Crimea inapaswa viishie Crimea.... Mrusi kwa sasa ameachwa bila kete, amejaribisha mabomu yake yakapanguliwa, akabaki kupiga maeneo ya raia, madubwana yanaendelea kushushwa Ukraine ya kukinga dhidi ya hayo mabomu.
Amekusanya wanywa gongo wenyewe wamejichokea, kuna taarifa za aibu zinajitokeza namna hao vijana wanateseka, wengi wanalala nje au sakafuni.
Sasa ameanza kuachia vitaarifa kwamba yuko radhi kuachia baadhi ya maeneo almradi Ukraine waache kushambulia, na kwamba kwenye mazungumzo Crimea isitajwe.....
Ikumbukwe daraja alilokua anategemea kusafirisha silaha lilipigwa, sasa yuko hoi.

Chuki kwa Putin
 
Asiwe na haraka ivyo kuna mizigo toka West toka juzi inashushwa Kyiv wacha ifanye kazi yake kidogo tumuone super power, Zelensky alishakifunga kitabu cha mazungumzo sasa ni kaz tu mpaka Crimea ieleweke
HAKUNA lolote tofauti
 
Back
Top Bottom