Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona HARM imetumwa Belgrod kuharibu defense system zao. Ndo maana kwa sasa panawaka sana, na ni ndani ya UrusiAnawaponza hao Belarus maana majibu watayapokea...
Ukraine wasiingie huu mkenge, vita vilianzia Crimea inapaswa viishie Crimea.... Mrusi kwa sasa ameachwa bila kete, amejaribisha mabomu yake yakapanguliwa, akabaki kupiga maeneo ya raia, madubwana yanaendelea kushushwa Ukraine ya kukinga dhidi ya hayo mabomu.
Amekusanya wanywa gongo wenyewe wamejichokea, kuna taarifa za aibu zinajitokeza namna hao vijana wanateseka, wengi wanalala nje au sakafuni.
Sasa ameanza kuachia vitaarifa kwamba yuko radhi kuachia baadhi ya maeneo almradi Ukraine waache kushambulia, na kwamba kwenye mazungumzo Crimea isitajwe.....
Ikumbukwe daraja alilokua anategemea kusafirisha silaha lilipigwa, sasa yuko hoi.
Ndoto za alinacha.., vumilieni tu safari hii Putin kayakanyagaSaivi anachukua na sehemu ya Kyiv ndio maana wachina wameambiwa wasepe Ukraine. Keep dreaming kwamba kuna ardhi ataachia
Mnaanzisha vithread vya kujifariji KILA siku vitano
Ana moyo sana, hakati tamaa - Zelensky akishindwa vita kuna watu watakufa kwa ugonjwa wa MOYO.
Umesikia rais wa China amewaambia raia wake waondoke Ukraine? Sasa jiulize nini kinafuata😅😅😅😅Vilianzia Crimea vinaishia Crimea, hatuna muda na distractions.
Endelea kujifarijiNiliawaambia mpaka mtaita maji ma...mlimpa Zele masaa 24 aihame Ukraine, ikashindikana, mkajaribu kuparamia Ukraine ikashindikana mkaondoshwa na wabeba javelin, mkashambulia kwa mabomu yakapanguliwa japo mengine yakapiga bembea za watoto....
Mbele kwa mbele yaani...
Putin anatukera sana anashindwaje kumaliza hii vita tulishakubaliana urusi ni supa pawa sa inakuwaje kijivita kidogo tu tena anapambana na taifa ambalo linajilinda tu maskini hata halirudishi mashambulizi urusi yaan unapigana ngumi na mtu ambaye kalinda tu uso na bado anakusumbua ngumi haziishi. Urusi anatuaibisha sana mashabiki wake. yaani kumbe hata drone mpaka apate za kupewa na kubembeleza kulialia mpaka kazifuata toka iran dah .Dah hao askari wake anaomobilize nusu hawajimudu sijui kayakuta madume michicha yaani huu mwaka hatari.Putin tafadhali usifanye hivyo kuachia maeneo kizembe, sisi washabiki wako tunataka tuone kile kifurushi Cha Nato kimechoanza kushushwa Kiev juzi kianze kufanya kazi, au hautaki washabiki wako tufurahi.
Walikuwa wakifanya nini kwenye mazingira ya Vita?Umesikia rais wa China amewaambia raia wake waondoke Ukraine? Sasa jiulize nini kinafuata😅😅😅😅
Karibuni sana ila kumbuka mlivyogusa daraja tu nini kimewakuta, sembuse mtie unyayo hapo?? 😀😀😀😀China haihusiani, tunakwenda Crimea....