Rais Putin aziambia nchi za Magharibi kuwa Urusi ina silaha nyingi za kuwafyeka

Rais Putin aziambia nchi za Magharibi kuwa Urusi ina silaha nyingi za kuwafyeka

Kwa Russia mpaka sasa aikuwa ‘all out’ war na Ukraine, lengo ni kuchukua maeneo yanayoongea kirusi ndani ya Donbas na walishuvuka hiyo mipaka.

Hayo maeneo waliyoyaachia na kurudi nyuma hawana interest nayo vile lakini awajaachia bado maeneo wanayoyataka.

Escalation ya vita ni Russia akisema full all out war against Ukraine; sidhani Zelensky kama atauweza huo mziki.

Western media wanavyozungumza Russia kutaka kuimega Ukraine, wakati nchi yote hiyo miaka ya 90 ilikuwa Russia.
 
Kwa Russia mpaka sasa aikuwa ‘all out’ war na Ukraine, lengo ni kuchukua maeneo yanayoongea kirusi ndani ya Donbas na walishuvuka hiyo mipaka.

Hayo maeneo waliyoyaachia na kurudi nyuma hawana interest nayo vile lakini awajaachia bado maeneo wanayoyataka.

Escalation ya vita ni Russia akisema full all out war against Ukraine; sidhani Zelensky kama atauweza huo mziki.

Western media wanavyozungumza Russia kutaka kuimega Ukraine, wakati nchi yote hiyo miaka ya 90 ilikuwa Russia.
Nchi yote miaka ya 90 ilikuwa Russia?
USSR sio Russia,
 
Nchi yote miaka ya 90 ilikuwa Russia?
USSR sio Russia,
Common denominator ya USSR ilikuwa culture na language.

After split Russia bado ina hizo values za iliyokuwa USSR na nchi zote zilizojitenga raia wa mipakani na USSR bado wanaendeleza hizo values. Donbas sio tu wanaongea kirusi ila ata culture pia.

Ndio maana kwenye siasa za Ukraine kuna split loyalties kati ya west na Russia.

Ni hivi huyo comedian anaiharibu tu hiyo nchi, NATO wanajua what Russia is capable of ndio maana awataki direct provocation nae.

Angalia media zao leo ukitoa US wote wapo concerned Russia akiamua ku escalate huo mgogoro na kuivamia Ukraine yote. Watu wengi wataumia na ataivuruga hiyo nchi na baada ya vita Russia akitoka si ajabu ikaingia kwenye civil war.

Zelensky hajui anachokifanya anatumika tu kama laboratory experiment kumpima Russia at the cost of unnecessary loss to human life.
 
Common denominator ya USSR ilikuwa culture na language.

After split Russia bado ina hizo values za iliyokuwa USSR na nchi zote zilizojitenga raia wa mipakani na USSR bado wanaendeleza hizo values. Donbas sio tu wanaongea kirusi ila ata culture pia.

Ndio maana kwenye siasa za Ukraine kuna split loyalties kati ya west na Russia.

Ni hivi huyo comedian anaiharibu tu hiyo nchi, NATO wanajua what Russia is capable of ndio maana awataki direct provocation nae.

Angalia media zao leo ukitoa US wote wapo concerned Russia akiamua ku escalate huo mgogoro na kuivamia Ukraine yote. Watu wengi wataumia na ataivuruga hiyo nchi na baada ya vita Russia akitoka si ajabu ikaingia kwenye civil war.

Zelensky hajui anachokifanya anatumika tu kama laboratory experiment kumpima Russia at the cost of unnecessary loss to human life.
mkuu humu mitandaoni siku hizi inabidi tubaki wasomaji tu, kuna kundi kubwa la watu wanaojua mapinduzi ya zanzibar yaliongozwa na ASP ya Karume, watajulia wapi ya ukraine?

hayo uliyoandika hawawezi kuyaelewa, vichwa vyao vimekula sana propaganda
 
Mkuu Una akili kweli? Putin anachezeshwa segere na Ukraine kwa Miezi saba sasa af sasa unakuja kusema Russia Inaweza Kufyeka Nchi 27 za NATO!?? Hivi unavuta hiyo Bhange ukiwa wapi?
Mpaka sasa napigna na NATO na ulaya yote nchi Zaidi ya 31 zinampa misada ya kijeshi Ukrain ..au hujafuatilia vzuri hiyo vita. Kiasi alichopata Ukrain kama msaada ni Zaidi ya mara kumi ya misaada ikiyopewa Africa yote tangu 2020.
 
Hahahaha Putin kawa Mandonga maneno mengi akiingia ulingoni ngumi moja chaliiii
 
Ndio maana Putini inabidi azuiwe katika huu mchezo wake hatari sana, na ndio maan hata majirani zake wengi ukiondoa Belarus hawaungi mkono uvamizi wake kwasababu kuna maeneo yanayoongea Kirusi pia huko Uzbekistan, Kazakhstan, Georgia na Azerbaijan.
Kwa Russia mpaka sasa aikuwa ‘all out’ war na Ukraine, lengo ni kuchukua maeneo yanayoongea kirusi ndani ya Donbas na walishuvuka hiyo mipaka.

Hayo maeneo waliyoyaachia na kurudi nyuma hawana interest nayo vile lakini awajaachia bado maeneo wanayoyataka.

Escalation ya vita ni Russia akisema full all out war against Ukraine; sidhani Zelensky kama atauweza huo mziki.

Western media wanavyozungumza Russia kutaka kuimega Ukraine, wakati nchi yote hiyo miaka ya 90 ilikuwa Russia.
 
Back
Top Bottom