green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
- Thread starter
- #41
Nipo tunawataka NATO uwanja wa vita mbona wanakwepakwepaUmefufuka[emoji1787]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo tunawataka NATO uwanja wa vita mbona wanakwepakwepaUmefufuka[emoji1787]
Acha uchoko mbona hampendi kuambiwa ukweli sasa utaendelea kugawa kisamvu hadi lini nyumbu weweAisee hilo jinga halina hoja lina panic na matusi mengi tuuu.
Masoja OG wanasubiri vita kamili wale ni Wagner's Group Migambo wa Jiji ndio hao wa Ukraineamemaliza masoja og sasa anaokoteza mgambo wa manispaa ataweza vipi
Kwanini hazikutumika Kharkiv? lakini kwanini operation imemchukua sasa miezi 7 na kutelekeza mitambo yake ya maana na wanajeshi wake kutimua mbio? Kwanini Kyiv aligeuza na kurudi zake Donbas lakini hivi Putini amepewa idadi ya askari wake waliouliwa toka operation ianze?Putin amewaonya West kuwa Russia inayo silaha zakutosha na kuifyeka NATO
View attachment 2363408
========
View attachment 2363531
Russian President Vladimir Putin has announced that 300,000 reservists will be drafted into the army in a partial mobilisation, as he warned West he was not "bluffing" over nuclear weapons.
Defence Miniser Sergei Shoigu has said the reservists will receive training before being sent to the front line, as Russia seeks to bolster its ailing military campaign in Ukraine.
Mr Putin said the decision, which followed the announcement of referendums to pave the way for the formal annexation of swathes of Ukraine, is meant to "protect our Motherland and our territorial integrity."
Claiming the West was threatening Russia with nuclear weapons, Mr Putin said: "We have lots of weapons to reply - it is not a bluff."
Kipaumbele ni Majimbo ya wanaongea lugha ya Kirusia endapo Kiev wakianza kutumia Kirusia inachukuliwa chapSio nchi nzima tena?
Katelekeza mpaka mitambo yake Ukrean wanajipigia picha na kuweka kwenye kumbukumbu za nchi yao dhidi ya adui Putini alivyoshughulikiwaRussia kuchukua Majimbo manne ya Ukronaz ni ushindi tosha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Jeshi la Urusi lilikua halijaingia vitani Sasa kazi inaendakufanyikaKwanini hazikutumika Kharkiv? lakini kwanini operation imemchukua sasa miezi 7 na kutelekeza mitambo yake ya maana na wanajeshi wake kutimua mbio? Kwanini Kyiv aligeuza na kurudi zake Donbas lakini hivi Putini amepewa idadi ya askari wake waliouliwa toka operation ianze?
Hizo silaha kazificha wapi mpaka ameenda kuomba drons Iran lakini na North Korea lakini juzi kwanini aliitaka China impe majeshi yake wakapigane Ukrean?? haya masuali Putin anatakiwa kujibu
Mitambo ya Soviet era Russia wakiingia vitani ndio utajua maana mtu anaenda kutandikwa kama NgomaKatelekeza mpaka mitambo yake Ukrean wanajipigia picha na kuweka kwenye kumbukumbu za nchi yao dhidi ya adui Putini alivyoshughulikiwa
Na hizo drons za mkopo toka Iran zinamaanisha nini kwa super power kama Urusi?Jeshi lilikua halijaingia vitani Sasa kazi inaendakufanyika
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ukraine ni uwanja wa kujaribia silaha kila Taifa linapeleka we umeona dron za Iran tuNa hizo drons za mkopo toka Iran zinamaanisha nini kwa super power kama Urusi?
Leo amesema ana silaha za kuimaliza NATO lakini mbona amenuna Iran walipokataa kumpa silaha? North Korea pia hakupata kitu China juzi pia wamekataa, wanajeshi wametimua mbio Kharkiv na kutelekeza mavifaru na mitambo kibao Ukrean wanachekelea ngawira, lakini mavifaru ya Urusi tokea vita vya pili vya dunai yamejazana Kiyv kwenye sehemu za maonyesho watoto wanapiga navyo picha kwa style mbali mbaliUkraine ni uwanja wa kujaribia silaha kila Taifa linapeleka we umeona dron za Iran tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
We hizo habari Nani kakudanganya?hao wanajitengenezea silaha Wana technologia zote.tatizo unasikiliza Sana propaganda Sana za magharibiLeo amesema ana silaha za kuimaliza NATO lakini mbona amenuna Iran walipokataa kumpa silaha? North Korea pia hakupata kitu China juzi pia wamekataa, wanajeshi wametimua mbio Kharkiv na kutelekeza mavifaru na mitambo kibao Ukrean wanachekelea ngawira, lakini mavifaru ya Urusi tokea vita vya pili vya dunai yamejazana Kiyv kwenye sehemu za maonyesho watoto wanapiga navyo picha kwa style mbali mbali
Chanzo gani kiliripoti biashara ya silaha kati ya Urusi na IranLeo amesema ana silaha za kuimaliza NATO lakini mbona amenuna Iran walipokataa kumpa silaha? North Korea pia hakupata kitu China juzi pia wamekataa, wanajeshi wametimua mbio Kharkiv na kutelekeza mavifaru na mitambo kibao Ukrean wanachekelea ngawira, lakini mavifaru ya Urusi tokea vita vya pili vya dunai yamejazana Kiyv kwenye sehemu za maonyesho watoto wanapiga navyo picha kwa style mbali mbali
Kwaio mwezi wa 2 hadi wa 9 ni miezi 8 au sio mzee...😂😂🤔🤔🤔😂😂😂Vita aliyoahidi kuimaliza kwa muda mfupi katumia miezi minane na hajaimaliza.
Baada ya kuzidiwa aliona atafanikiwa kwa mahasimu wenzake dhid ya mnyama USChanzo gani kiliripoti biashara ya biashara ya silaha kati ya Urusi na Iran
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu kama Russia ana technologia kwann kaipigia magoti US iPhone 14 ziweze kuuzwa Russia?We hizo habari Nani kakudanganya?hao wanajitengenezea silaha Wana technologia zote.tatizo unasikiliza Sana propaganda Sana za magharibi
Haukuwahi kusoma hesabu za kukaribisha namba?Approximatily!Kwaio mwezi wa 2 hadi wa 9 ni miezi 8 au sio mzee...😂😂