Rais Putin aziambia nchi za Magharibi kuwa Urusi ina silaha nyingi za kuwafyeka

Rais Putin aziambia nchi za Magharibi kuwa Urusi ina silaha nyingi za kuwafyeka

Umefufuka[emoji1787]
Nipo tunawataka NATO uwanja wa vita mbona wanakwepakwepa
IMG_20220921_125905_422.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Putin amewaonya West kuwa Russia inayo silaha zakutosha na kuifyeka NATO

View attachment 2363408

========

View attachment 2363531

Russian President Vladimir Putin has announced that 300,000 reservists will be drafted into the army in a partial mobilisation, as he warned West he was not "bluffing" over nuclear weapons.

Defence Miniser Sergei Shoigu has said the reservists will receive training before being sent to the front line, as Russia seeks to bolster its ailing military campaign in Ukraine.

Mr Putin said the decision, which followed the announcement of referendums to pave the way for the formal annexation of swathes of Ukraine, is meant to "protect our Motherland and our territorial integrity."

Claiming the West was threatening Russia with nuclear weapons, Mr Putin said: "We have lots of weapons to reply - it is not a bluff."
Kwanini hazikutumika Kharkiv? lakini kwanini operation imemchukua sasa miezi 7 na kutelekeza mitambo yake ya maana na wanajeshi wake kutimua mbio? Kwanini Kyiv aligeuza na kurudi zake Donbas lakini hivi Putini amepewa idadi ya askari wake waliouliwa toka operation ianze?

Hizo silaha kazificha wapi mpaka ameenda kuomba drons Iran lakini na North Korea lakini juzi kwanini aliitaka China impe majeshi yake wakapigane Ukrean?? haya masuali Putin anatakiwa kujibu
 
Kwanini hazikutumika Kharkiv? lakini kwanini operation imemchukua sasa miezi 7 na kutelekeza mitambo yake ya maana na wanajeshi wake kutimua mbio? Kwanini Kyiv aligeuza na kurudi zake Donbas lakini hivi Putini amepewa idadi ya askari wake waliouliwa toka operation ianze?

Hizo silaha kazificha wapi mpaka ameenda kuomba drons Iran lakini na North Korea lakini juzi kwanini aliitaka China impe majeshi yake wakapigane Ukrean?? haya masuali Putin anatakiwa kujibu
Jeshi la Urusi lilikua halijaingia vitani Sasa kazi inaendakufanyika

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
[emoji779]️NATO says next week’s referendums to join Russia illegitimate - Stoltenberg

German Chancellor Olaf Scholz has also stated Berlin will not recognize any of the outcomes, should they be in favor of joining Russia.

Subscribe to RT

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ukraine ni uwanja wa kujaribia silaha kila Taifa linapeleka we umeona dron za Iran tu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Leo amesema ana silaha za kuimaliza NATO lakini mbona amenuna Iran walipokataa kumpa silaha? North Korea pia hakupata kitu China juzi pia wamekataa, wanajeshi wametimua mbio Kharkiv na kutelekeza mavifaru na mitambo kibao Ukrean wanachekelea ngawira, lakini mavifaru ya Urusi tokea vita vya pili vya dunai yamejazana Kiyv kwenye sehemu za maonyesho watoto wanapiga navyo picha kwa style mbali mbali
 
Leo amesema ana silaha za kuimaliza NATO lakini mbona amenuna Iran walipokataa kumpa silaha? North Korea pia hakupata kitu China juzi pia wamekataa, wanajeshi wametimua mbio Kharkiv na kutelekeza mavifaru na mitambo kibao Ukrean wanachekelea ngawira, lakini mavifaru ya Urusi tokea vita vya pili vya dunai yamejazana Kiyv kwenye sehemu za maonyesho watoto wanapiga navyo picha kwa style mbali mbali
We hizo habari Nani kakudanganya?hao wanajitengenezea silaha Wana technologia zote.tatizo unasikiliza Sana propaganda Sana za magharibi
 
Leo amesema ana silaha za kuimaliza NATO lakini mbona amenuna Iran walipokataa kumpa silaha? North Korea pia hakupata kitu China juzi pia wamekataa, wanajeshi wametimua mbio Kharkiv na kutelekeza mavifaru na mitambo kibao Ukrean wanachekelea ngawira, lakini mavifaru ya Urusi tokea vita vya pili vya dunai yamejazana Kiyv kwenye sehemu za maonyesho watoto wanapiga navyo picha kwa style mbali mbali
Chanzo gani kiliripoti biashara ya silaha kati ya Urusi na Iran

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
We hizo habari Nani kakudanganya?hao wanajitengenezea silaha Wana technologia zote.tatizo unasikiliza Sana propaganda Sana za magharibi
Mkuu kama Russia ana technologia kwann kaipigia magoti US iPhone 14 ziweze kuuzwa Russia?

Kwanini hakutengeneza za kwake akaishawishi dunia tukanunua simu bora kutoka kwa super power Russia?
 
Back
Top Bottom