Rais Putin aziambia nchi za Magharibi kuwa Urusi ina silaha nyingi za kuwafyeka

Rais Putin aziambia nchi za Magharibi kuwa Urusi ina silaha nyingi za kuwafyeka

Kwa kukusaidia huo mkasa naujua na ulipelekea Viktor yanukovich aliyekua raise wa ukraine kukimbilia Russia

Kataa au ukubali Russia amechanga karata zake vibaya hakukua na haja ya yeye kutumia nguvu angetumia akili Leo unapeleka wanajeshi laki 3 ambao wengi wao hata training za kijeshi hawana na experience hawana unategemea nin

Precisely inaonekana wewe una fuatilia kweli.

Sasa ni kitu gani walikubaliana Belarus kati ya Ukraine na Russia; kumaliza mzozo wa Donbas?

Nani anaezuia kura za maoni?
Nani alieleta new arguments nje na makubaliano yaliyopo?
Nani alieataka mwenzake awekewe mizinga inayofika Moscow kwa muda mfupi?
Nani alieanza mazoezi ya kijeshi na nchi zingine kwenye Black Sea na kutaka kuwapa port ya Crimea; itumike na US/NATO.

Ni hivi hiyo vita EU aikuwa na appetite nayo, US ndio iliyokuwa ikitaka kuona Ukraine na Russia zina ingia kwenye mgogoro since Ukraine declared independence na ndio walikuwa watu wa kwanza kuitambua Ukraine as an independent state kabla ya hata majirani zake wa EU.

Shida kwenye huo mgogoro ni US.
 
Precisely inaonekana wewe una fuatilia kweli.

Sasa ni kitu gani walikubaliana Belarus kati ya Ukraine na Russia; kumaliza mzozo wa Donbas?

Nani anaezuia kura za maoni?
Nani alieleta new arguments nje na makubaliano yaliyopo?
Nani alieataka mwenzake awekewe mizinga inayofika Russia?
Nani alieanza mazoezi ya kijeshi na nchi zingine kwenye Black Sea na kutaka kuwapa port ya crimea ambayo ni military strategic US?

Ni hivi hiyo vita EU aikuwa na appetite nayo, US ndio iliyokuwa ikitaka kuona Ukraine na Russia zina ingia kwenye mgogoro since Ukraine declared independence na ndio walikuwa watu wa kwanza kuitambua Ukraine as an independent state kabla ya hata majirani zake wa EU.

Shida kwenye huo mgogoro ni US.
Russia anaonewa hiyo hiko wazi sababu makubaliano yake na us baada ya kuangushwa kwa Soviet union marekani hajayafuata anakuja kushtuka western Europe yote marekani amejaza military base yake kupitia NATO

Russia Kutumia nguvu sio option nzuri mfano marekani alifail Afghanistan na Vietnam japokua alikua na jeshi kubwa, russia angetakiwa ajizatiti kwenye uchumi sababu marekani silaha anayotumia ni ukubwa wa GDP yake na sio ukubwa wa majeshi yake
 
Russia anaonewa hiyo hiko wazi sababu makubaliano yake na us baada ya kuangushwa kwa Soviet union marekani hajayafuata anakuja kushtuka western Europe yote marekani amejaza military base yake kupitia NATO

Russia Kutumia nguvu sio option nzuri mfano marekani alifail Afghanistan na Vietnam japokua alikua na jeshi kubwa, russia angetakiwa ajizatiti kwenye uchumi sababu marekani silaha anayotumia ni ukubwa wa GDP yake na sio ukubwa wa majeshi yake
Huko unarudi mbali sana mi nipo na sababu za hii vita inayoendelea kuanzia 2014 na makubaliano yaliyopo kuhusu Donbas region na Crimea kuacha uasi wa kujitoa (Minsk agreements 1&2). Nani kavunja hayo makubaliano Russia au Ukraine?
 
Putin kashajibiwa huko na NATO kwamba "hawezi shinda Vita vya nuclear na yeye analijua hilo"

Russia cannot win nuclear conflict – NATO
21 Sep, 2022 15:49 / Updated

The head of the US-led bloc didn’t elaborate on who would emerge victorious
NATO has told Moscow very clearly that Russia cannot win a nuclear war and has been amassing troops on its eastern border to “remove any room for miscalculation or misunderstanding,” the secretary general of the US-led bloc, Jens Stoltenberg, told Reuters on Wednesday.

“This is dangerous and reckless nuclear rhetoric,” he told Reuters editor-in-chief Alessandra Galloni on the sidelines of the UN General Assembly in New York. “He knows very well that a nuclear war should never be fought and cannot be won and it will have unprecedented consequences for Russia,” he added, referring to Russian President Vladimir Putin.

Asked what NATO would do in the event that Russia used atomic weapons, however, Stoltenberg said it “depends” on the circumstances, but that the bloc was very clear in their communications with Moscow that “a nuclear war cannot be won by Russia.”

“So far we are not seeing any changes in the nuclear posture” of Russia, he added, but NATO is “monitoring very closely” if that changes.

RT

https://www.rt.com/news/563266-nato-nuclear-war-russia/amp/
 
Putin kashajibiwa huko na NATO kwamba "hawezi shinda Vita vya nuclear na yeye analijua hilo"

Russia cannot win nuclear conflict – NATO
21 Sep, 2022 15:49 / Updated

The head of the US-led bloc didn’t elaborate on who would emerge victorious
NATO has told Moscow very clearly that Russia cannot win a nuclear war and has been amassing troops on its eastern border to “remove any room for miscalculation or misunderstanding,” the secretary general of the US-led bloc, Jens Stoltenberg, told Reuters on Wednesday.

“This is dangerous and reckless nuclear rhetoric,” he told Reuters editor-in-chief Alessandra Galloni on the sidelines of the UN General Assembly in New York. “He knows very well that a nuclear war should never be fought and cannot be won and it will have unprecedented consequences for Russia,” he added, referring to Russian President Vladimir Putin.

Asked what NATO would do in the event that Russia used atomic weapons, however, Stoltenberg said it “depends” on the circumstances, but that the bloc was very clear in their communications with Moscow that “a nuclear war cannot be won by Russia.”

“So far we are not seeing any changes in the nuclear posture” of Russia, he added, but NATO is “monitoring very closely” if that changes.

RT

https://www.rt.com/news/563266-nato-nuclear-war-russia/amp/
Hata NATO hawatashinda

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom