Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Dini ya pili ya mdangabyika ni ubinafsi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye mwenyewe alisema miaka 10 ya kikatiba inamtosha.Mzee Magufuli ndiye Rais bora kabisa kwa sasa Africa
Kwa nini tuache kilicho bora twende kwa kitu kisicho na uhakika
Kuna haja ya Bunge lijalo ambalo nina uhakika 98% litakuwa la wanaCCM wafanye marekekebisho ya kikatiba yatakayobarikiwa na wananchi kumruhusu mheshimiwa atawale mpaka 2035
Si kweli,Jiwe limeshachokwa!Watanzania wanafurahia
Mfanyeni mfalme kabisa, atawale maisha, akifa mtoto wake amrithi.Mzee Magufuli ndiye Rais bora kabisa kwa sasa Africa
Kwa nini tuache kilicho bora twende kwa kitu kisicho na uhakika
Kuna haja ya Bunge lijalo ambalo nina uhakika 98% litakuwa la wanaCCM wafanye marekekebisho ya kikatiba yatakayobarikiwa na wananchi kumruhusu mheshimiwa atawale mpaka 2035
Mruhusu aje aoe kwenu, awe baba wako wa kufikia itakuwa umekaa naye karibu na mapenzi yako kwake yametimiaMzee Magufuli ndiye Rais bora kabisa kwa sasa Africa
Kwa nini tuache kilicho bora twende kwa kitu kisicho na uhakika
Kuna haja ya Bunge lijalo ambalo nina uhakika 98% litakuwa la wanaCCM wafanye marekekebisho ya kikatiba yatakayobarikiwa na wananchi kumruhusu mheshimiwa atawale mpaka 2035
Watanzania wataishi kama wanavyotaka na si kama warusi watakavyo.Mzee Magufuli ndiye Rais bora kabisa kwa sasa Africa
Kwa nini tuache kilicho bora twende kwa kitu kisicho na uhakika
Kuna haja ya Bunge lijalo ambalo nina uhakika 98% litakuwa la wanaCCM wafanye marekekebisho ya kikatiba yatakayobarikiwa na wananchi kumruhusu mheshimiwa atawale mpaka 2035
Watanzania wanafurahia
Mwenyewe jiwe, kila siku wenye akili kama hizi za kwako anawaita wa PUMBAVUMzee Magufuli ndiye Rais bora kabisa kwa sasa Africa
Kwa nini tuache kilicho bora twende kwa kitu kisicho na uhakika
Kuna haja ya Bunge lijalo ambalo nina uhakika 98% litakuwa la wanaCCM wafanye marekekebisho ya kikatiba yatakayobarikiwa na wananchi kumruhusu mheshimiwa atawale mpaka 2035
Usimfananishe Putin na taka taka.Mzee Magufuli ndiye Rais bora kabisa kwa sasa Africa
Kwa nini tuache kilicho bora twende kwa kitu kisicho na uhakika
Kuna haja ya Bunge lijalo ambalo nina uhakika 98% litakuwa la wanaCCM wafanye marekekebisho ya kikatiba yatakayobarikiwa na wananchi kumruhusu mheshimiwa atawale mpaka 2035