Morogoro kaskazini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2020
- 2,392
- 9,187
hizo hizo mzee baba kumbukuka bomber inategemea flares so haina manuvaS-200 hizi hizi zinazoshindwa na F-16 pale Syria? Humu mmejaa mahaba na kukataa uhalisia. B-2 ni stealth, B-52 haji kwenye range ya air defence system bali inatuma Tomahawk inaweza beba 20, B1B nayo haiji kwenye range inatuma precision guided missiles. Hizo S-200 zitafanya nini, tangu mashambulizi ya Israel nchini Syria yaanze ulishawahi ona ndege yoyote ya Israel imedondoshwa?
Ungesema S-400 ningekuelewa ila nazo bado hatujui effectiveness yake, hajizawahi shuhududia vita
Siyo guarantee ya amani.Kuwepo na Amani.
Atakufa bidenPutin ni hatari kwa hii dunia. Yaani natamani afe tu. Dictator mkubwa huyu.
JINGA WEWEPutin ni hatari kwa hii dunia. Yaani natamani afe tu. Dictator mkubwa huyu.
Nimesema mkataba uwekwe hadharani ili dunia iuone. Dunia ikishauona, humu JF utafika pia!Wewe kweli kiboko unataka Putin aweke huku JF? kweli hukosema warsaw pact? Jana Putin kaongelea hilo walipewa ahadi kibao hilo halitatokea lakini wakati fulani Russia walikuwa dhaifu sana NATO wakaenda kuchukuwa Poland, Bulgaria sijui Romania jamaa wakawaambia mbona tena mnavunja wakasema sisi hatuna nia mbaya na Russia ndio Putin akamwambia na sisi tukitaka kujiunga na NATO unasemaje? Clinton kimyaa. NATO ni sababu tu ya kuhalalisha majeshi ya USA kuwa europe hakuna lingine zaidi ya hilo. Kuhusu Ukraine wamemwambia kujiunga sio hata kesho usiwe na wasiwasi kawajibu na kesho baada ya kesho yake....
Ni nani amesema USA kuvamia Afghanistani alikuwa sahihi??...Hakuwa sahihi na dunia ilipinga.Kwani U.S.A alivamia Afghanistan kwa sababu ipi?
Mkuu siuende kwenye jukwaa la mapishi na mapenzi la wanawake wenzako na makoloKuhusu Nato nilimponda USA.Leo nimemponda Putin kwa kutambua sehemu ya Ukraine ambao ni pro Russia kama sehemu huru.Mimi sina upande. Ukitaka ujadili vizuri hawa mataifa wawili ni vyema kutokuwa na upande maana wote ni wapumbavu.
Unaongelea raia wa Urusi ukiwa Yombo kwa Limboa wabongo muache unafkiUrusi wananchi hawaishi kwa taabu hata.
Raia wa Urusi wanakula Bata kama raia wa USA ama France.etc
Putin anajua kucheza na maneno kuhalalisha misimamo yake,watu humu wanamuona kama Mungu mtu,kwamba kila anachokisema kuhusu west ni sahihi,...Nimesema mkataba uwekwe hadharani ili dunia iuone. Dunia ikishauona, humu JF utafika pia!
Walipewa ahadi bila mkataba?!
Makubaliano katika masuala mbalimbali na muhimu ya kimataifa kama suala hilo huwa hayaishii kwenye mazungumzo bila ya mkataba.
Putin anajaribu kushawishi watu hasa umma wa Warusi kuwa kulikuwa na makubaliano hayo, lakini anazungumza maneno matupu. Kama huo mkataba ungekuwepo, unafikiri kungekuwa na haja ya kushawishi watu kwa maneno tu?
Tunawezaje kuamini maneno matupu tu kwamba kulikuwa na makubaliano, kwamba Urusi iliomba [rasmi] kujiunga NATO mwaka 2000? Haya ni masuala ya kuzungumza tu kwenye media bila ya backup ya uthibitisho?
Hilo suala la Urusi kujiunga NATO liliwahi kuibuliwa miaka ya nyuma na huyuhuyu Vladimir Putin kwenye interview na vyombo vya habari, ni vile tu watu huwa hamfuatilii taarifa vizuri.
Kwa maneno yake mwenyewe, aliwahi kusema kuwa Clinton alikubali hilo pendekezo la Urusi kujiunga na NATO ingawa halikuwa ombi rasmi kwa sababu suala la kujiunga NATO lina mchakato mrefu sana. Leo akisema kuwa hakujibiwa, tuamini lipi? Na tumuamini Putin yupi? Huyu wa jana ama wa hapo kabla?!
Marekani alishaanza uvamizi miaka mingi, kusema Putin katengeneza precedence ni uongo.Putin anajua kucheza na maneno kuhalalisha misimamo yake,watu humu wanamuona kama Mungu mtu,kwamba kila anachokisema kuhusu west ni sahihi,...
Ila wajue tu Putin amesha set precedence,kesho tusishangae kusikia China ameivamia Taiwan kimabavu au marekani imeivamia Cuba far same same reason,....security concern...
[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]Nafurahi kuona timu Russia tupo wengi.
Kwasababu alipinga ushoga?Putin ni hatari kwa hii dunia. Yaani natamani afe tu. Dictator mkubwa huyu.
Inaelekea bado upo usingiziniMbona ameogopa na USA amemwambia achague kupigwa au aache mpango wake ovu
On 27 May 1997, at the NATO Summit in Paris, France, NATO and Russia signed the Founding Act on Mutual Relations, Cooperation and Security, a road map for would-be NATO-Russia cooperation. ... NATO said it had no plans to station nuclear weapons in the new member states or send in new permanent military forces.Nimesema mkataba uwekwe hadharani ili dunia iuone. Dunia ikishauona, humu JF utafika pia!
Walipewa ahadi bila mkataba?!
Makubaliano katika masuala mbalimbali na muhimu ya kimataifa kama suala hilo huwa hayaishii kwenye mazungumzo bila ya mkataba.
Putin anajaribu kushawishi watu hasa umma wa Warusi kuwa kulikuwa na makubaliano hayo, lakini anazungumza maneno matupu. Kama huo mkataba ungekuwepo, unafikiri kungekuwa na haja ya kushawishi watu kwa maneno tu?
Tunawezaje kuamini maneno matupu tu kwamba kulikuwa na makubaliano, kwamba Urusi iliomba [rasmi] kujiunga NATO mwaka 2000? Haya ni masuala ya kuzungumza tu kwenye media bila ya backup ya uthibitisho?
Hilo suala la Urusi kujiunga NATO liliwahi kuibuliwa miaka ya nyuma na huyuhuyu Vladimir Putin kwenye interview na vyombo vya habari, ni vile tu watu huwa hamfuatilii taarifa vizuri.
Kwa maneno yake mwenyewe, aliwahi kusema kuwa Clinton alikubali hilo pendekezo la Urusi kujiunga na NATO ingawa halikuwa ombi rasmi kwa sababu suala la kujiunga NATO lina mchakato mrefu sana. Leo akisema kuwa hakujibiwa, tuamini lipi? Na tumuamini Putin yupi? Huyu wa jana ama wa hapo kabla?!
Hamna raia anaweza kukaa kwenye maeneo ya mapambano ya kivita. Tutengeneze kuona wakimbizi wakielekea nchi nyingine tena zile zilizokuwa kwenye USSR.Ukraine ethnicity hawataki kuwa upande wa Russia sababu hawaoni faida yake,inekuwa wanataka kuwa upande wa Russia kama watu humu wanavyotaka kutuaminisha,ile Kyiv ingeshachafuka siku nyingi,Russia wanajua weak point ya Ukraine ni ule upande wa East penye Russian ethnicity wengi na ndio wanaoi support Urusi,Siku Russia akirogwa akaivamia Kyiv ndio vita pale itakuwa mbaya sana maana hadi sasa kila raia wa Ukraine amepewa bunduki na kuwa trained kuilinda nchi yao,hiyo vita itakuwa mbaya sana na watu watakufa wengi mno kitu ambacho hata Putin mwenyewe nina uhakika hatotaka kitokee maana hata raia wake wengi hawaungi mkono kuivamia kijeshi Ukraine...
Ukraine kama nchi na raia wake wanataka kuwa upande wa magharibi hao wengine wanaojitenga ni ethnicity inawasumbua to nothing else...
Watabweka wanyonge wa Urusi kwani shares zinaanguka vibaya juzi Tu paketi ya maziwa ilikuwa rubel 50 ,Jana 60 sijui leo itafika ngapi.Putin ni mbabe wa dunia, Wamagharibi watabaki wanabwekabweka tu.
Tulia wewe mwanamke haya mambo ya waume zenu hamyawezi.Putin ni hatari kwa hii dunia. Yaani natamani afe tu. Dictator mkubwa huyu.
Unaishi urusi au umeangalia kwa glogloo.Watabweka wanyonge wa Urusi kwani shares zinaanguka vibaya juzi Tu paketi ya maziwa ilikuwa rubel 50 ,Jana 60 sijui leo itafika ngapi.
Wazee wenye nchi hawajali