Iyo gesi Kwan ina uzwa na nchi Moja?Ujeruman ni nchi tajili mkuu pia bei za he's duniani ni Moja.Unavyodhani ni nani anayeumia hapo? Hao wanaoweka vikwazo yatawarudia wenyewe wananchi wao watakapoanza kuona uchungu wa kununua gesi kwa bei ghali.
China ni urusiVita nyingine ya dunia hii hapa maana naiona china ikienda kutoa msaada Ukraine
Bora wasaidie maskiniChina ni urusi
Hivi unahakika kweli kama hapa tulipo ndo duniani..!?kama kufa ni wote basi naona ni poa tu kuliko wabaki wengine wale bata. HIVI NYIE HAMJACHOKA TU NA HII DUNIA ILIYOJAA UBATILI
Haaahaaaa!!!!Hivi unahakika kweli kama hapa tulipo ndo duniani..!?
Anaitwa RichardSijakuelewa
Targeting which western?Oyaaaa Belarus kashakiwasha huku
Belarus launches 4 ballistic missiles targeting western #Ukraine - KI
Kuna watu wanapiga kelele Rwanda kuingiza majeshi yake DRC halafu wanamuunga mkono Putin!Hapana, hayo majimbo yanashikiliwa na warusi (raia wa Russia ambao ni waasi na wataka kujitenga)
Russia imekuwa ikiwasaidia waasi hao na sasa yataka kuwatambua rasmi.
Ndo maana baada ya leo usishangae kusikia Russia imeingiza majeshi Ukraine (upande huo wa mashariki) na kulinda