lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Haelewi chochote huyo,wee mwache TU.tulia ww urusi alikuwa na nato yake kama unafuatilia historia waliasini Warsaw pact ambayo ilivunjika 1991 na walisaini mkataba na nato asijitanue east Europe sasa nato wanakiuka makubaliano unataka Putin awachekee
Dada nenda kajadili siasa za CCM huko.Nasema hivi Putin atakufa kabla hajaivamia Ukraine. Anajiona yeye ni nani?Nimemsikiliza hotuba yake inaonekana kabisa adui yake ni USA. Si akavamie Alaska huko ?Stupid.
Ni kuwasamehe tu yani umruhusu mgoni wako ajenge kwenye uwanja wako ambapo mke wako anapita na kanga moko daily...Haelewi chochote huyo,wee mwache TU.
Mtu anasema eti Ukraine iachwe ijiunge NATO..kweli?
Yaani NATO iwe dirishani mwa Urusi,kweli?
Watu wengine hawajui hata masuala ya usalama.
Pamoja sana mwanaharakatiAhhh kaka sikuhizi nachezea kipindo sana nikirudi geto ni kuoga kulala alfajiri tena X5 days ila tuko pamoja nitakuja na nyuzi matata soon nije niwakere[emoji1787][emoji16] wapuuzi humu
Anawasema Lenin na Gorbachev lakn Boris Yeltsin ameingia madarakan USSR ilikuwa imeisha sambaratika na waziri mkuu wake alikuwa Putin.Putin analaumu viongozi wa kikomunisti ambao waliiuza USSR.
Hapo anawasema Lenin, Gorbachev na Boris Yetsin.
meza wembeSsseeeenge kabisa hili zee. Silipendi kama nini
Ukweli Mkuu Dada yetu victorie anaoneka haelewi chochote.Mkuu, Putin ni level ingine.
Kile kichwa bana.Mkuu, Putin ni level ingine.
urusi ina haki 100% kurudisha ardhi yake kutoka kwa wahuniUS na Russia wote walewale. Wapigane wao na waiache Ukraine ijitawale.
Ha ha haa.
Mmmm safi sana.tunataka madini kama haya.Putin alikuwa KGB kabla hajawa FSB na kituo chake cha kazi ilikuwa ujerumani wakati wa boris yeltsin putin alikuwa katika top rank ya intelligence house ya russia sasa hakuna asichokijua everything is well calculated
nenda kamuue[emoji23][emoji23][emoji13]Putin ni hatari kwa hii dunia. Yaani natamani afe tu. Dictator mkubwa huyu.
Kabisa Icebreaker kumbe na wewe umemuona eeeh?Hii mada ipo nje ya uwezo wako wa uelewa,ungetulia tu.
hapana kama ya US yaloifanya LIBYA kua GHOST CITY(COUNTRY)Maamuzi magumu "kwa maslahi ya taifa" kama yale ya Hitler yaliyochochea Vita ya Pili ya Dunia?!
Inasikitisha Ila labda ndio mwisho wake huo maana njia za Mungu ni za ajabu, anaweza kuruhusu ujiinue kumbe ndiko kuanguka Kwako. Japo binafi napenda dunia iwe balanced, vinginevyo akibaki Mbabe Mmoja anaweza kuamuru chochote hata KUOGA HADHARANIYaani covid imesimamisha michakato for almost two years. Halafu huyu msengerema Putin analeta ununda wa kifala hapa
Wasituletee vita ya 3 ya dunia kwa sababu ya upumbavu wao. Maana vita ya 3 kwa technolojia iliyopo wote tutakwisha including wao. Washenzi hawa wananibore sana.