Rais Putin kutangaza usiku huu Russia kutambua rasmi majimbo huru yaliyojitenga ya Donetski na Luhansk

Rais Putin kutangaza usiku huu Russia kutambua rasmi majimbo huru yaliyojitenga ya Donetski na Luhansk

Inaonekana uielewi hii dunia. Usione tu mataifa yanawatetea UKRAINE na kupambana na Urusi kuna jambo nyuma ya pazia ambalo akili zetu sisi mashabiki maandazi hatuwezi kulijua

Unadhani kwa nini Russia ni taifa kubwa lakini liko kimya sana kwenye mambo yake? Jiulize. Russia ilitokana na kuvunjwa kwa USSR ambao ulikuwa ni muungano wa majimbo kama ilivyo USA na ndipo anguko hilo likasababisha kutokea mataifa haya na dunia (USA na wenzake) kwa sababu za kiuchumi na kibiashara haitaki kuona muunganiko ule wa USSR unarudi kwani ulikuwa tishio kubwa sana. Russia kuchukua hayo majimbo ni kurudisha nguvu ya USSR ya zamani ambapo dunia haitaki kusikia

Usimchukie Puttin ule ni mpango mkakati wa muda mrefu wa Russia na Marais wote wa Russia wanapigania kurudisha umoja wa USSR kimyakimya
Tulioenda kombe la Dunia Russia tulikuwa tunachunguzwa balaa wanajua kila mtu amekuja pale kwa kisingizio cha World Cup kumbe ni jasusi
Majimbo wapi wakati ni nchi ziliungana 1922 na wakatengana rasmi 1991 kama sikosei.USSR is dead and burren.Haiwezi rudi tena
 
Aliongea Russia kujiunga NATO kwa namna ya kudhihaki,sasa wewe ndugu anavyoelezea ni kana kwamba kweli Russia alitaka kujiunga NATO.

Sasa Russia atajiungaje kwenye muungano ulioindwa na Nchi 28+ kwa lengo la kumdhibiti yeye mwenyewe(Russia)-kutakuwa na umuhimu gani wa huo muungano kama hiyo adaui wenu naye anajiunga?.
Pia hapo chini. angalau uta pata maelezo kamili
Screenshot_2022-02-23-15-47-12-311_com.google.android.youtube.jpg
 
Inaonekana uielewi hii dunia. Usione tu mataifa yanawatetea UKRAINE na kupambana na Urusi kuna jambo nyuma ya pazia ambalo akili zetu sisi mashabiki maandazi hatuwezi kulijua

Unadhani kwa nini Russia ni taifa kubwa lakini liko kimya sana kwenye mambo yake? Jiulize. Russia ilitokana na kuvunjwa kwa USSR ambao ulikuwa ni muungano wa majimbo kama ilivyo USA na ndipo anguko hilo likasababisha kutokea mataifa haya na dunia (USA na wenzake) kwa sababu za kiuchumi na kibiashara haitaki kuona muunganiko ule wa USSR unarudi kwani ulikuwa tishio kubwa sana. Russia kuchukua hayo majimbo ni kurudisha nguvu ya USSR ya zamani ambapo dunia haitaki kusikia

Usimchukie Puttin ule ni mpango mkakati wa muda mrefu wa Russia na Marais wote wa Russia wanapigania kurudisha umoja wa USSR kimyakimya
Tulioenda kombe la Dunia Russia tulikuwa tunachunguzwa balaa wanajua kila mtu amekuja pale kwa kisingizio cha World Cup kumbe ni jasusi

Nyoka mkubwa ni Huyu Muingereza , hapa kwetu ndiye aliwasaidia Nyerere kijeshi kuivamia Zanzibar.

Amewahamisha watu wote visiwa vya Chago vilivyo Mali ya Mauritius Na hataki kuvirudisha ,anasema atavirudisha ikiwa usalama wa UK hautoathirika.

Visiwa vya Falklands mpaka Leo viko chini yake kavichukua kutoka Argentina.
Iraq, Palestina, Afghanistan kote alikuwepo
 
Russia soon atakuwa kama Iran,ngoja akutane na Rungu la US.

Yaani nimecheka Sana,Nchi imejaa umaskini ila jeshi imara sasa wajiandae

Screenshot_20220223-173713.png
 
Inaonekana uielewi hii dunia. Usione tu mataifa yanawatetea UKRAINE na kupambana na Urusi kuna jambo nyuma ya pazia ambalo akili zetu sisi mashabiki maandazi hatuwezi kulijua

Unadhani kwa nini Russia ni taifa kubwa lakini liko kimya sana kwenye mambo yake? Jiulize. Russia ilitokana na kuvunjwa kwa USSR ambao ulikuwa ni muungano wa majimbo kama ilivyo USA na ndipo anguko hilo likasababisha kutokea mataifa haya na dunia (USA na wenzake) kwa sababu za kiuchumi na kibiashara haitaki kuona muunganiko ule wa USSR unarudi kwani ulikuwa tishio kubwa sana. Russia kuchukua hayo majimbo ni kurudisha nguvu ya USSR ya zamani ambapo dunia haitaki kusikia

Usimchukie Puttin ule ni mpango mkakati wa muda mrefu wa Russia na Marais wote wa Russia wanapigania kurudisha umoja wa USSR kimyakimya
Tulioenda kombe la Dunia Russia tulikuwa tunachunguzwa balaa wanajua kila mtu amekuja pale kwa kisingizio cha World Cup kumbe ni jasusi
Kufikiria kuirudisha USSR karne hii ni wishful thinking!
 
Putin anatumia mbinu zile zile za mmarekani kuvamia mashariki ya Kati kwa kisingizio Cha kutunza amani[emoji2]
 
Oyaaaa Belarus kashakiwasha huku

Belarus launches 4 ballistic missiles targeting western #Ukraine - KI
 
RUSSIAN FOREIGN MINISTRY SAYS RUSSIA WILL RESPOND TO EUROPEAN AND U.S. SANCTIONS IN TIT-FOR-TAT MANNER - RIA
 
[emoji599] Ukraine’s Zelensky: “Today I asked the 27 leaders of Europe whether Ukraine will be in NATO, I asked directly. Everyone is afraid, does not answer. And we are not afraid, we are not afraid of anything.”
 
Back
Top Bottom