Rais Putin usisikilize wanafiki, kanyaga twende

Rais Putin usisikilize wanafiki, kanyaga twende

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Wazungu wana msemo wanasema they don't give a damn or (don't give a f.uck) kwa maana kwamba they don't care about anything or anyone. Hali hii imejitokeza kwa Rais Putin dhidi ya Papa wa Kanisa katoliki.

Papa anasema alimtuma mwanadiplomasia mkuu wa Kanisa aombe mkutano wa Papa na Putin lakini siku nyingi zimepita hawajapata jibu lolote, ni kama vile Putin don't give a damn about anyone except the so called military operations in Ukraine.

Papa anasema amejitolea kukutana na Putin wazungumze lakini Putin hajatoa majibu na jibu la moja kwa moja ni kwamba Putin hataki kukutana na aina yoyote ya waluga luga na hakuna cha kumfanya.

Putin, usisikilize wanafiki, kanyaga twende.

 
Putin wanatafta mbinu za kummaliza ama Kwa kugusana ili AFE Kwa ile sumu ilomuua Ruge Mutahaba
Mkuu, ebu liweke hili neno sawa. Ama lete dodoso ili tupate kuyajua yalojiri kwa marehem Ruge Mutahaba
 
Ni sawa na Umtume Askofu kwa waislam....
Sio mtu muhimu kwao hawajali kuhusu yeye.
Au umlete Mufti kwangu, ntamuona kama wazee wengine tu.
Russians wengi ni Orthodox.....asa katoliki wapi na wapi. Japo sijui Putin dini gani.
Kuna wapumbavu hua wanaamini kwamba kanisa katoliki lina nguvu na ushawishi mkubwa Duniani. Putin amawaonyesha wazi kua wao si lolote si chochote.

Hata rais wa Ufilipino alishasema 90% ya mapadri na maaskofu katoliki ni mashoga na hakuna kitu wamemfanya hadi sasa.
 
Ni sawa na Umtume Askofu kwa waislam....
Sio mtu muhimu kwao hawajali kuhusu yeye.
Au umlete Mufti kwangu, ntamuona kama wazee wengine tu.
Russians wengi ni Orthodox.....asa katoliki wapi na wapi. Japo sijui Putin dini gani.
Hujui chochote kuhusu uhusiano wa kanisa katoliki na orthodox church, ama eastern church. Kaa utulie
 
Kwa akili yako Orthodox ni tofauti na katoliki, Uliza Eastern Catholic Church utaelewa
 
Papa nae NI sawa na makamu wa rais wa marekani(Joe Biden[emoji23] kwa mujibu wa Obama[emoji23]). anazingua,atulie watu wasafishe uchafu kwa nyumba!!
 
Wazungu wana msemo wanasema they don't give a damn or (don't give a f.uck) kwa maana kwamba they don't care about anything or anyone. Hali hii imejitokeza kwa Rais Putin dhidi ya Papa wa Kanisa katoliki.

Papa anasema alimtuma mwanadiplomasia mkuu wa Kanisa aombe mkutano wa Papa na Putin lakini siku nyingi zimepita hawajapata jibu lolote, ni kama vile Putin don't give a damn about anyone except the so called military operations in Ukraine.

Papa anasema amejitolea kukutana na Putin wazungumze lakini Putin hajatoa majibu na jibu la moja kwa moja ni kwamba Putin hataki na hakuna cha kumfanya.

Putin, usisikilize wanafiki, kanyaga twende.
Maswali ni meeeengi kama mchanga !!!
 
Kuna wapumbavu hua wanaamini kwamba kanisa katoliki lina nguvu na ushawishi mkubwa Duniani. Putin amawaonyesha wazi kua wao si lolote si chochote.

Hata rais wa Ufilipino alishasema 90% ya mapadri na maaskofu katoliki ni mashoga na hakuna kitu wamemfanya hadi sasa.
Hii tunaita panic at your own peril[emoji846]
 
Badala akaongee na Biden ndo mchochezi wa hii vita, yeye anaenda kwa Putin
Hata ningekuwa mim ningekataa
 
Back
Top Bottom