Rais Putin usisikilize wanafiki, kanyaga twende

Huyu atakuwa msabato masalia wale walioweka kambi Airport wakisubiri kwenda kuhubiri Ulaya Injili Mkuu[emoji3][emoji3]
Dah,hongera bado unaiikumbuka hii senema?waliweka kambi nadhani enzi za JK eti wanasubiri ndege sijui .
 
Hizi ni porojo tu dhibitisha.kama huyo Papa angekuwa anaogopeka azingepuuzwa na warusi ni nyie Tu nchi zisizojiweza mnamnyenyekea.Alafu hata kwenye science hakuna kitu mmarekani anampita Mrusi.hizo ni blabla Tu Kwanza huko China unakosemea ukatoliki ni kama haupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…