Rais Ruto aapa kuwachakaza wapinzani wakiendeleza maandamano

Alipe mishahara aache ujinga
 
Amchinje kisa Nini?. Yeye akomae na mishahara ya wafanyakazi. Halafu shughuli za kaunti zimezorota yeye anahanagaika na maandamano.
Amchinje kwa sababu anapoteza aman ya inchi biashara za watu zinaporwa na mali kuhalibiwa. Njia rahisi ya kukomesha hili swala atume tu makachero wamtwange shaba bac
 
  • Mtoto wa mjini Vs Mzee wa mjini.
  • Bila proportional representation kwenye nafasi muhimu kitaifa, hayo ndio matokeo yake.
  • Anayeharibu nchi ni mwananchi
 
RUTO Anapotoshwa na Viongozi wa Muungano wa Kenya kwanza Ruto anatakiwa akumbuke ana FAILI ICC
 
Naomba niwakumbushe wana East Africa kwamba Yanga imeingia nusu fainali
 
Amchinje kwa sababu anapoteza aman ya inchi biashara za watu zinaporwa na mali kuhalibiwa. Njia rahisi ya kukomesha hili swala atume tu makachero wamtwange shaba bac
Acheni kujificha kwa raila. Lipeni watu mishahara na mpunguze gharama za Maisha. Yani mnashindwa kumdhibiti ma Kenzie mnahangaika na Raila.
 
Amemshindwa Mackenzie anaye ua watu ndio aje ahangaike na Raila. Ruto mpuuzi Sana.
 
RUTO Anapotoshwa na Viongozi wa Muungano wa Kenya kwanza Ruto anatakiwa akumbuke ana FAILI ICC
Mjinga tu yule. Baadala ahangaike na mishahara na madeni ya nje, anawatumia polisi kiboya. Ngoja tuone mwisho wake huyo tapeli wa UDA.
 
Ruto anaongea tu kufurahisha makundi yaliyopo upande wake, Raila na wanazimio wanapata nguvu kutoka kwa katiba yao ya mwaka 2010, hivyo raia wakiuawa kwenye maandamano Ruto na Serikali yake watawajibika kulipa gharama.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…