Rais Ruto aapa kuwachakaza wapinzani wakiendeleza maandamano

Rais Ruto aapa kuwachakaza wapinzani wakiendeleza maandamano

Ruto anamtisha nani? Odinga? Huyo anacheza na moto. Odinga Hana Cha kupoteza pia hao waandamanaji hawana Cha kupoteza maana hawana ajira Wala mitaji ya biashara huku gharama za maisha zipo juu. So akitumia mabavu ajue atasababisha Nairobi iwake moto na kutapakaa nchi nzima.
Acheni kudanganyana. Ruto akiamua hao ndezi na raila wao wataokota mizoga na itakuwa ndio mwisho wa ujinga wao wa kufanya vurugu.
 
Acheni kudanganyana. Ruto akiamua hao ndezi na raila wao wataokota mizoga na itakuwa ndio mwisho wa ujinga wao wa kufanya vurugu.
Pengine huzijui siasa za Kenya wewe,hakuna mtu alikuwa jeuri na aliuwa watu kama Rais Daniel Arap Moi,lakini kwa Raila alitulia na hakuthubutu.
 
Ruto akijaribu huo ujinga ndo mwishi wa Taifa la Kenya, Kenya sio kama TZ, Kenya nikama ka-single room.

.
Acheni kutishia dola nyie akiwa panga askari polisi hamna pa kupita shenzi sana yani wavuruge amani ya nchi kwa upumbavu hili haiwezekani naunga mkono serikali piga virungu hao mbwa.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Hivi umoja wa mataifa hawana kazi za kumpa mzee wa kitendawili aache kuleta vurugu kenya?
 
Acheni kudanganyana. Ruto akiamua hao ndezi na raila wao wataokota mizoga na itakuwa ndio mwisho wa ujinga wao wa kufanya vurugu.
Akiamua mara ngapi? Kwani Moi hakujua akimuua Raila kazi imeisha? Unadhani Kenyatta alikua mjinga kuomba handshake au Moi kumpa ukatibu mkuu?

Siku akimuua ndio Kenya itaacha kutawaliwa kumbuka Raila ana support kuanzia Coast, North Eastern, Ukambani, Western na Nyanza bila kusahau Nairobi. Hayo maeneo ni 60% ya population ya Kenya!!

Sasa ajaribu hiyo kesho ndio ataelewa kilichotokea 2008 Hadi akapelekwa the Hague!!
 
Amchinje kwa sababu anapoteza aman ya inchi biashara za watu zinaporwa na mali kuhalibiwa. Njia rahisi ya kukomesha hili swala atume tu makachero wamtwange shaba bac
Hilo sio Suluhisho. Kumbuka mtu pekee wa kuwakontroo wafuasi wa upinzani ni Raila. Sasa ukimuua unafikili hao kama hawatajiongoza na kukosa control.

Kumbuka kilichotokea Rwanda baada ya RPF kumuua Habyalimana.
 
Hilo sio Suluhisho. Kumbuka mtu pekee wa kuwakontroo wafuasi wa upinzani ni Raila. Sasa ukimuua unafikili hao kama hawatajiongoza na kukosa control.

Kumbuka kilichotokea Rwanda baada ya RPF kumuua Habyalimana.
Kwaiyo wafanye nin mana maongezi hataki. Ngoja pakuche tuangalie itakuwaje
 
Pengine huzijui siasa za Kenya wewe,hakuna mtu alikuwa jeuri na aliuwa watu kama Rais Daniel Arap Moi,lakini kwa Raila alitulia na hakuthubutu.
Ruto labda kama hataki kelele tu maana kitachofata ni kelele hakuna kipya. Hakuna mpinzani Africa wa kuikosesha usingizi serikali siku Ruto akiamua kuchora mstari ndio mtaelewa.
 
Akiamua mara ngapi? Kwani Moi hakujua akimuua Raila kazi imeisha? Unadhani Kenyatta alikua mjinga kuomba handshake au Moi kumpa ukatibu mkuu?

Siku akimuua ndio Kenya itaacha kutawaliwa kumbuka Raila ana support kuanzia Coast, North Eastern, Ukambani, Western na Nyanza bila kusahau Nairobi. Hayo maeneo ni 60% ya population ya Kenya!!

Sasa ajaribu hiyo kesho ndio ataelewa kilichotokea 2008 Hadi akapelekwa the Hague!!
Labda sio Africa. Nyinyi hata hapa bongo kuna kipindi mlikuwa mnadanganyana amani ya hii nchi kaishikilia Mbowe na Lissu hawezi fanywa lolote. Wote tulishuudia uhalisia ukoje wakati wa Chuma.
 
Acheni kutishia dola nyie akiwa panga askari polisi hamna pa kupita shenzi sana yani wavuruge amani ya nchi kwa upumbavu hili haiwezekani naunga mkono serikali piga virungu hao mbwa.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hahahah siasa za kule ni za kikabila yaani ukimgusa Odinga umegusa kabila Zima la wajaluo pamoja na waluhya so kinachofuata ni vita ya kikabila kama Ile 2008.
 
Labda sio Africa. Nyinyi hata hapa bongo kuna kipindi mlikuwa mnadanganyana amani ya hii nchi kaishikilia Mbowe na Lissu hawezi fanywa lolote. Wote tulishuudia uhalisia ukoje wakati wa Chuma.
Nimeshasema hapa raia wa Kenya sio mazuzu kama wa huku so huwezi kukuta waoga kiasi Lissu akiwaita Barabarani eti waogope kutoka. Kingine kule mfano upo tayari wa 2008 kwamba moto uliwaka na watu walikufa kwa maelfu kisa kupora ushindi wa Odinga so ukimgusa ndio utaona moto wake.

Kule Kila chama kina Kanda yake sio kama huku CCM ipo Kila mkoa. Kule Ili ushinde ni lazima usuke alliance Sasa ukimuua Odinga then ujue umepoteza kura ukambani, Pwani, Luhyaland, Umasaini, Nyanza na Nairobi. Nani yupo tayari kurisk kura zote hizo??
 
Labda sio Africa. Nyinyi hata hapa bongo kuna kipindi mlikuwa mnadanganyana amani ya hii nchi kaishikilia Mbowe na Lissu hawezi fanywa lolote. Wote tulishuudia uhalisia ukoje wakati wa Chuma.
Mzee Magu alitufundisha mengi sana, Hakuna Mtu africa hii wa Kuinyima serikali usingizi, Ruto ameamua tu kuwa soft ili akikaza hao wote wanakimbia
 
Back
Top Bottom