Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Kwani nimeandika wapi kuwa wanafaidi?Kama unaona Wake wa Viongozi wanafaidi na wewe kaji position kwa wagombea U Rais ule hizo asilimia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nimeandika wapi kuwa wanafaidi?Kama unaona Wake wa Viongozi wanafaidi na wewe kaji position kwa wagombea U Rais ule hizo asilimia
Politics is the game of Who Gets What, When & HowWakenya hawana siasa za visasi, na kupinga kila jambo, wakiongea huelewana. Wapinzani wa Tanzania hasa chadema wamejaa chuki, fitna na jazba za kipumbavu.
Ma CCM mwendo wa kujitoa kimasomaso hamjambo. Kwani huyu mzee aliitwa na nani kugombea?Mwakani JK ana jambo letu nyumban
hatumtoi hata kwa mkopo, labda kuanzia 2026
Of course Ruto atashinda 2027 nafikiri kwa Raila Kugombea uenyekiti AU ana lay a ground for political exit in Kenyan Politics. Ni kwa wale wenye jicho la mwewe tu wanaweza kuona.Odinga kaishawekwa kibindoni, 2027 Rutto atakomba kura zote za Luo nyanza, Rutto ni political master mind, Doyen. Hatma ya Career ya kisiasa ya ndugu Kalonzo musyoka na Martha karua iko mikononi mwa Ndugu Rutto.
'"Alijichomeka kwenye delegation", aisee haters wa huyu jamaa mna shida sana......mtakufa huku mnatafuna mchana.Nadhani amewatuma chawa wake wapime upepo! Ndio maana alijichomeka kwenye delegation iliyokwenda kwenye mazishi Namibia ili apate wasaa wa kuonana na viongozi wa Sadc!!