Rais Ruto anajiamini mno, ni miongoni mwa marais wenye nguvu na ushawishi zaidi Afrika Mashariki

Rais Ruto anajiamini mno, ni miongoni mwa marais wenye nguvu na ushawishi zaidi Afrika Mashariki

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Anaongoza Serikali yenye viongozi wakuu waandamizi watatu tu serikali kuu, yaani Naibu wa Rais RigyG, Musalia Mudavadi Prime Cabinet Secretary ambae pia ni Waziri wa mambo ya nje na kaimu wa waziri wa wizara zote Kenya zilizovunjwa majuzi..

Ni katika harakati za kubana matumizi, lakini pia kuunda serikali mpya yenye sura ya kitaifa kukabaliana na hali halisi ya kisiasa, kijamii na kiuchumi Kenya..

Pamoja na kwamba waandamanaji wa Gen z bado wanaendeleza harakati zao za kudai mageuzi zaidi ya uongozi, baada ya kufanikiwa kuzuia musuada wa Sheria ya fedha kwa mwaka 2024/2025, lakini bado wamekua wakiibua madai mapya, na kwenda mbali zaidi hata kumtaka Rais Ruto aliechaguliwa Kidemokrasia mwaka 2022, kaachia ngazi..

Ni dhahiri,
Ruto na viongozi hao watatu serikali kuu wanaelekea kufanikiwa kudhibiti hasira za gen z. na katika muda usiokua marefu maandamano hayo yatapoa na kwisha kabisa..

ishara za migawanyiko miongoni mwa gen z, na kutokuelewana wao kwa wao juu ya uelekeo wao na malengo yao mapya, kumewafanya baadhi yao kurudi nyuma na kuendelea na shughuli zoa za kujiongezea kipato..

Mbaya zaidi,
Miongoni mwao wamejibadilisha na kua majambazi, wavamizi, waharbifu na waporaji wa mali za watu lakini pia wakabaji na waporaji wa simu za miongoni mwa waandamanaji wenzao..

Ziara za pamoja za Rais Ruto, Naibu wake na Prime Cabinet Secretary zimepunguza manung'uniko ya wananchi dhidi ya serikali, na sasa wananchi wanakuja pamoja taratibu, pole pole...

Ama kwa hakika,
Uongozi ni kipawa kutoka kwa Mungu. Hekima, Busara, Maarifa na Maono aliyonayo Ruto, yanakwenda kurejesha utulivu Kenya katika muda usiokua marefu..

God bless Kenya 🐒
 
Anaongoza Serikali yenye viongozi wakuu waandamizi watatu tu serikali kuu, yaani Naibu wa Rais RigyG, Musalia Mudavadi Prime Cabinet Secretary ambae pia ni Waziri wa mambo ya nje na kaimu wa waziri wa wizara zote Kenya zilizovunjwa majuzi..

ni katika harakati za kubana matumizi, lakini pia kuunda serikali mpya yenye sura ya kitaifa kukabaliana na hali halisi ya kisiasa, kijamii na kiuchumi Kenya..

Pamoja na kwamba waandamanaji wa Gen z bado wanaendeleza harakati zao za kudai mageuzi zaidi ya uongozi, baada ya kufanikiwa kuzuia musuada wa Sheria ya fedha kwa mwaka 2024/2025, lakini bado wamekua wakiibua madai mapya, na kwenda mbali zaidi hata kumtaka Rais Ruto aliechaguliwa Kidemokrasia mwaka 2022, kaachia ngazi..

ni dhahiri,
Ruto na viongozi hao watatu serikali kuu wanaelekea kufanikiwa kudhibiti hasira za gen z. na katika muda usiokua marefu maandamano hayo yatapoa na kwisha kabisa..

ishara za migawanyiko miongoni mwa gen z, na kutokuelewana wao kwa wao juu ya uelekeo wao na malengo yao mapya, kumewafanya baadhi yao kurudi nyuma na kuendelea na shughuli zoa za kujiongezea kipato..

mbaya zaidi,
miongoni mwao wamejibadilisha na kua majambazi, wavamizi, waharbifu na waporaji wa mali za watu lakini pia wakabaji na waporaji wa simu za miongoni mwa waandamanaji wenzao..

ziara za pamoja za Rais Ruto, Naibu wake na Prime Cabinet Secretary zimepunguza manung'uniko ya wananchi dhidi ya serikali, na sasa wananchi wanakuja pamoja taratibu, pole pole...

ama kwa hakika,
uongozi ni kipawa kutoka kwa Mungu. Hekima, Busara, Maarifa na Maono aliyonayo Ruto, yanakwenda kurejesha utulivu Kenya katika muda usiokua marefu..

God bless Kenya 🐒
kashawishi kipi
 
Anaongoza Serikali yenye viongozi wakuu waandamizi watatu tu serikali kuu, yaani Naibu wa Rais RigyG, Musalia Mudavadi Prime Cabinet Secretary ambae pia ni Waziri wa mambo ya nje na kaimu wa waziri wa wizara zote Kenya zilizovunjwa majuzi..

ni katika harakati za kubana matumizi, lakini pia kuunda serikali mpya yenye sura ya kitaifa kukabaliana na hali halisi ya kisiasa, kijamii na kiuchumi Kenya..

Pamoja na kwamba waandamanaji wa Gen z bado wanaendeleza harakati zao za kudai mageuzi zaidi ya uongozi, baada ya kufanikiwa kuzuia musuada wa Sheria ya fedha kwa mwaka 2024/2025, lakini bado wamekua wakiibua madai mapya, na kwenda mbali zaidi hata kumtaka Rais Ruto aliechaguliwa Kidemokrasia mwaka 2022, kaachia ngazi..

ni dhahiri,
Ruto na viongozi hao watatu serikali kuu wanaelekea kufanikiwa kudhibiti hasira za gen z. na katika muda usiokua marefu maandamano hayo yatapoa na kwisha kabisa..

ishara za migawanyiko miongoni mwa gen z, na kutokuelewana wao kwa wao juu ya uelekeo wao na malengo yao mapya, kumewafanya baadhi yao kurudi nyuma na kuendelea na shughuli zoa za kujiongezea kipato..

mbaya zaidi,
miongoni mwao wamejibadilisha na kua majambazi, wavamizi, waharbifu na waporaji wa mali za watu lakini pia wakabaji na waporaji wa simu za miongoni mwa waandamanaji wenzao..

ziara za pamoja za Rais Ruto, Naibu wake na Prime Cabinet Secretary zimepunguza manung'uniko ya wananchi dhidi ya serikali, na sasa wananchi wanakuja pamoja taratibu, pole pole...

ama kwa hakika,
uongozi ni kipawa kutoka kwa Mungu. Hekima, Busara, Maarifa na Maono aliyonayo Ruto, yanakwenda kurejesha utulivu Kenya katika muda usiokua marefu..

God bless Kenya 🐒
Ukipenda jambo hadi unakuwa punguani.Mswada wa tozo aliukubali uendelee?Hilo moja.Maana yake nini?
 
Aliiba kura Mombasa 🐼
kwahiyo gavana wa wakati huo Ali Hassan Joho alikua anakodoa mimacho na kubwekabweka licha ya kwamba hadi kimada wake alikua Makamu mwenyekiti wa tume lakini akaibiwa kura, dah 🤣

mazuzu ya kuibiwa kura basi yako mengi Africa Mashariki 🐒
 
Anaongoza Serikali yenye viongozi wakuu waandamizi watatu tu serikali kuu, yaani Naibu wa Rais RigyG, Musalia Mudavadi Prime Cabinet Secretary ambae pia ni Waziri wa mambo ya nje na kaimu wa waziri wa wizara zote Kenya zilizovunjwa majuzi..

ni katika harakati za kubana matumizi, lakini pia kuunda serikali mpya yenye sura ya kitaifa kukabaliana na hali halisi ya kisiasa, kijamii na kiuchumi Kenya..

Pamoja na kwamba waandamanaji wa Gen z bado wanaendeleza harakati zao za kudai mageuzi zaidi ya uongozi, baada ya kufanikiwa kuzuia musuada wa Sheria ya fedha kwa mwaka 2024/2025, lakini bado wamekua wakiibua madai mapya, na kwenda mbali zaidi hata kumtaka Rais Ruto aliechaguliwa Kidemokrasia mwaka 2022, kaachia ngazi..

ni dhahiri,
Ruto na viongozi hao watatu serikali kuu wanaelekea kufanikiwa kudhibiti hasira za gen z. na katika muda usiokua marefu maandamano hayo yatapoa na kwisha kabisa..

ishara za migawanyiko miongoni mwa gen z, na kutokuelewana wao kwa wao juu ya uelekeo wao na malengo yao mapya, kumewafanya baadhi yao kurudi nyuma na kuendelea na shughuli zoa za kujiongezea kipato..

mbaya zaidi,
miongoni mwao wamejibadilisha na kua majambazi, wavamizi, waharbifu na waporaji wa mali za watu lakini pia wakabaji na waporaji wa simu za miongoni mwa waandamanaji wenzao..

ziara za pamoja za Rais Ruto, Naibu wake na Prime Cabinet Secretary zimepunguza manung'uniko ya wananchi dhidi ya serikali, na sasa wananchi wanakuja pamoja taratibu, pole pole...

ama kwa hakika,
uongozi ni kipawa kutoka kwa Mungu. Hekima, Busara, Maarifa na Maono aliyonayo Ruto, yanakwenda kurejesha utulivu Kenya katika muda usiokua marefu..

God bless Kenya 🐒
Hapo kujiamini na Ushawishi viko wapi?

Mimi naona ni kutapata kujiokoa ila hamna kitu humo
 
Ila wewe naye sasa umekuwa boga sana.Kwani hakuna wafanyakazi wengine serikalini?Uwe unatulia kabla ya kujibu.Wameibeba Kenya mabegani mwao?
Jamaa wanafanya kazi ya waandamizi zaidi ya 20, halafu katika hali ya shinikizo dah! 🐒

hayupo mfanyakazi popote anaweza kutekeleza majukumu ya kikatiba ya waziri wa wizara husika popote duniani, wizara zote sasa hivi zinaongozwa na Musalia Mudavadi Prime Cabinet Secretary 🐒
 
Ruto anapitia wakati mgumi,he might end up as one term president of Kenya, wasema ni mwongo,alitoa ahadi hewa za kutengeza serikali ya hustlers,mama mbogo,mikokoteni na bodaboda
Gen Z wamegeuka mwiba mkali kwenye siasa za Kenya.
 
kwahiyo gavana wa wakati huo Ali Hassan Joho alikua anakodoa mimacho na kubwekabweka licha ya kwamba hadi kimada wake alikua Makamu mwenyekiti wa tume lakini akaibiwa kura, dah 🤣

mazuzu ya kuibiwa kura basi yako mengi Africa Mashariki 🐒
Nadhani huelewi mchezo alioucheza Ruto na Timu yake pale Mombasa 😂
 
Jamaa wanafanya kazi ya waandamizi zaidi ya 20, halafu katika hali ya shinikizo dah! 🐒

hayupo mfanyakazi popote anaweza kutekeleza majukumu ya kikatiba ya waziri wa wizara husika popote duniani, wizara zote sasa hivi zinaongozwa na Musalia Mudavadi Prime Cabinet Secretary 🐒
Hebu tulia wewe.Kwamba bila waziri hakuna litakalofanyika siyo?Huyo waziri huwa anatekelezaje hayo majukumu bila wasaidizi wake?Huwa anaelea na kujitungia utekelezaji?Inaonesha wewe ni mmoja wa wale wanaokariri na kupayuka rais kaleta hela,rais vile,rais hivi kama mazuzu na kusahau kodi zenu.
 
Hapo kujiamini na Ushawishi viko wapi?

Mimi naona ni kutapata kujiokoa ila hamna kitu humo
yaani unaondoa wasaizi wako wote wa karibu, then ndio kujiokoa huko right?🤣

gen z wanagawanyika kila uchwao,
tayari wamepoteza uelekeo na malengo, kundi kubwa hivi sasa lipo nyuma ya Ruto na wanamskiliza Rais Ruto, fuatilia mikutano yake utaliona hilo bayana 🐒
 
Hebu tulia wewe.Kwamba bila waziri hakuna litakalofanyika siyo?Huyo waziri huwa anatekelezaje hayo majukumu bila wasaidizi wake?Huwa anaelea na kujitungia utekelezaji?Inaonesha wewe ni mmoja wa wale wanaokariri na kupayuka rais kaleta hela,rais vile,rais hivi kama mazuzu na kusahau kodi zenu.
hakuna gentleman,
waziri atakaekuja atakutana na mzigo wa files za kufa mtu za mambo ambayo yamekwama kuendelea bila idhini ya waziri mwenye dhamana husika kikatiba 🐒

jukumu la wasadizi ni kufanya yote yaliyoko kwenye job descriptions zao..

au na hao wasaidizi wameteuliwa kufanya majukumu ya waziri, right? 🐒
 
Back
Top Bottom