Rais Ruto anajiamini mno, ni miongoni mwa marais wenye nguvu na ushawishi zaidi Afrika Mashariki

Rais Ruto anajiamini mno, ni miongoni mwa marais wenye nguvu na ushawishi zaidi Afrika Mashariki

ec64864bd8157b4f30a50006ed09aa5c.jpg
 
Nadhani huelewi mchezo alioucheza Ruto na Timu yake pale Mombasa 😂
hiyo maana yake Ruto alikua na nguvu na ushawishi ndani ya serikali na nje ya serikali kwa wananchi, kitu ambacho bado anacho mpaka sasa hivi 🐒
 
Shetani Magufuli aliongoza serikali peke kwa mwezi mzima baada ya kuchaguliwa kwa wizi wa kura mwaka 2015!
huu ni uposhaji na usushi wenye mihemko ni wa kupuuzwa vikali 🐒
 
Anaongoza Serikali yenye viongozi wakuu waandamizi watatu tu serikali kuu, yaani Naibu wa Rais RigyG, Musalia Mudavadi Prime Cabinet Secretary ambae pia ni Waziri wa mambo ya nje na kaimu wa waziri wa wizara zote Kenya zilizovunjwa majuzi..

Ni katika harakati za kubana matumizi, lakini pia kuunda serikali mpya yenye sura ya kitaifa kukabaliana na hali halisi ya kisiasa, kijamii na kiuchumi Kenya..

Pamoja na kwamba waandamanaji wa Gen z bado wanaendeleza harakati zao za kudai mageuzi zaidi ya uongozi, baada ya kufanikiwa kuzuia musuada wa Sheria ya fedha kwa mwaka 2024/2025, lakini bado wamekua wakiibua madai mapya, na kwenda mbali zaidi hata kumtaka Rais Ruto aliechaguliwa Kidemokrasia mwaka 2022, kaachia ngazi..

Ni dhahiri,
Ruto na viongozi hao watatu serikali kuu wanaelekea kufanikiwa kudhibiti hasira za gen z. na katika muda usiokua marefu maandamano hayo yatapoa na kwisha kabisa..

ishara za migawanyiko miongoni mwa gen z, na kutokuelewana wao kwa wao juu ya uelekeo wao na malengo yao mapya, kumewafanya baadhi yao kurudi nyuma na kuendelea na shughuli zoa za kujiongezea kipato..

Mbaya zaidi,
Miongoni mwao wamejibadilisha na kua majambazi, wavamizi, waharbifu na waporaji wa mali za watu lakini pia wakabaji na waporaji wa simu za miongoni mwa waandamanaji wenzao..

Ziara za pamoja za Rais Ruto, Naibu wake na Prime Cabinet Secretary zimepunguza manung'uniko ya wananchi dhidi ya serikali, na sasa wananchi wanakuja pamoja taratibu, pole pole...

Ama kwa hakika,
Uongozi ni kipawa kutoka kwa Mungu. Hekima, Busara, Maarifa na Maono aliyonayo Ruto, yanakwenda kurejesha utulivu Kenya katika muda usiokua marefu..

God bless Kenya 🐒
Sio Dr Samia tena?

Chawa manasalitiana hivi.
 
hiyo maana yake Ruto alikua na nguvu na ushawishi ndani ya serikali na nje ya serikali kwa wananchi, kitu ambacho bado anacho mpaka sasa hivi 🐒
Ruto ana ushawishi hiyo ni kweli Kabisa

Ila akili za kiuongozi ziko kwa " wife"

Akili na Ushawishi ni vitu viwili vinavyojitegemea 😄😄
 
Anaongoza Serikali yenye viongozi wakuu waandamizi watatu tu serikali kuu, yaani Naibu wa Rais RigyG, Musalia Mudavadi Prime Cabinet Secretary ambae pia ni Waziri wa mambo ya nje na kaimu wa waziri wa wizara zote Kenya zilizovunjwa majuzi..

Ni katika harakati za kubana matumizi, lakini pia kuunda serikali mpya yenye sura ya kitaifa kukabaliana na hali halisi ya kisiasa, kijamii na kiuchumi Kenya..

Pamoja na kwamba waandamanaji wa Gen z bado wanaendeleza harakati zao za kudai mageuzi zaidi ya uongozi, baada ya kufanikiwa kuzuia musuada wa Sheria ya fedha kwa mwaka 2024/2025, lakini bado wamekua wakiibua madai mapya, na kwenda mbali zaidi hata kumtaka Rais Ruto aliechaguliwa Kidemokrasia mwaka 2022, kaachia ngazi..

Ni dhahiri,
Ruto na viongozi hao watatu serikali kuu wanaelekea kufanikiwa kudhibiti hasira za gen z. na katika muda usiokua marefu maandamano hayo yatapoa na kwisha kabisa..

ishara za migawanyiko miongoni mwa gen z, na kutokuelewana wao kwa wao juu ya uelekeo wao na malengo yao mapya, kumewafanya baadhi yao kurudi nyuma na kuendelea na shughuli zoa za kujiongezea kipato..

Mbaya zaidi,
Miongoni mwao wamejibadilisha na kua majambazi, wavamizi, waharbifu na waporaji wa mali za watu lakini pia wakabaji na waporaji wa simu za miongoni mwa waandamanaji wenzao..

Ziara za pamoja za Rais Ruto, Naibu wake na Prime Cabinet Secretary zimepunguza manung'uniko ya wananchi dhidi ya serikali, na sasa wananchi wanakuja pamoja taratibu, pole pole...

Ama kwa hakika,
Uongozi ni kipawa kutoka kwa Mungu. Hekima, Busara, Maarifa na Maono aliyonayo Ruto, yanakwenda kurejesha utulivu Kenya katika muda usiokua marefu..

God bless Kenya 🐒
Wengine hawajiamini hadi wazimue Kwanza Whiskies za Canada na Ufaransa huku wakimsikilizia Mganga anasemaje.
 
Ruto anapitia wakati mgumi,he might end up as one term president of Kenya, wasema ni mwongo,alitoa ahadi hewa za kutengeza serikali ya hustlers,mama mbogo,mikokoteni na bodaboda
Gen Z wamegeuka mwiba mkali kwenye siasa za Kenya.
I can confirm to you without fear of contradictions kwamba, hata uchaguzi uitishwe leo Kenya atashinda tena kwa kishindo kikuu zaidi ya cha wakoma 🐒

kwasababu sio Raila, kalonzo au naibu wake mwenye ushawishi zaidi ya kwenye kaeneo kakabila lake pekee. Ruto anakushawishi kote Kenya 🐒
 
Anaongoza Serikali yenye viongozi wakuu waandamizi watatu tu serikali kuu, yaani Naibu wa Rais RigyG, Musalia Mudavadi Prime Cabinet Secretary ambae pia ni Waziri wa mambo ya nje na kaimu wa waziri wa wizara zote Kenya zilizovunjwa majuzi..

Ni katika harakati za kubana matumizi, lakini pia kuunda serikali mpya yenye sura ya kitaifa kukabaliana na hali halisi ya kisiasa, kijamii na kiuchumi Kenya..

Pamoja na kwamba waandamanaji wa Gen z bado wanaendeleza harakati zao za kudai mageuzi zaidi ya uongozi, baada ya kufanikiwa kuzuia musuada wa Sheria ya fedha kwa mwaka 2024/2025, lakini bado wamekua wakiibua madai mapya, na kwenda mbali zaidi hata kumtaka Rais Ruto aliechaguliwa Kidemokrasia mwaka 2022, kaachia ngazi..

Ni dhahiri,
Ruto na viongozi hao watatu serikali kuu wanaelekea kufanikiwa kudhibiti hasira za gen z. na katika muda usiokua marefu maandamano hayo yatapoa na kwisha kabisa..

ishara za migawanyiko miongoni mwa gen z, na kutokuelewana wao kwa wao juu ya uelekeo wao na malengo yao mapya, kumewafanya baadhi yao kurudi nyuma na kuendelea na shughuli zoa za kujiongezea kipato..

Mbaya zaidi,
Miongoni mwao wamejibadilisha na kua majambazi, wavamizi, waharbifu na waporaji wa mali za watu lakini pia wakabaji na waporaji wa simu za miongoni mwa waandamanaji wenzao..

Ziara za pamoja za Rais Ruto, Naibu wake na Prime Cabinet Secretary zimepunguza manung'uniko ya wananchi dhidi ya serikali, na sasa wananchi wanakuja pamoja taratibu, pole pole...

Ama kwa hakika,
Uongozi ni kipawa kutoka kwa Mungu. Hekima, Busara, Maarifa na Maono aliyonayo Ruto, yanakwenda kurejesha utulivu Kenya katika muda usiokua marefu..

God bless Kenya 🐒
Ama kweli uchawa una ubobezi kutoka kitaifa hadi kimataifa twafwaaa.
 
yaani unaondoa wasaizi wako wote wa karibu, then ndio kujiokoa huko right?🤣

gen z wanagawanyika kila uchwao,
tayari wamepoteza uelekeo na malengo, kundi kubwa hivi sasa lipo nyuma ya Ruto na wanamskiliza Rais Ruto, fuatilia mikutano yake utaliona hilo bayana 🐒
Labda gen z ya tz si ya kenya, hao jamaa bado sana kugawanyika, hakuna kitu kina unite watu kama chuki. Labda anaweza asiondoke leo but uchaguzi unaokuja atapoteza pabaya, last kura zake nyingi zilitoka kwa vijana this time vijana hao hao ndio hawamtaki
 
Ruto anapitia wakati mgumi,he might end up as one term president of Kenya, wasema ni mwongo,alitoa ahadi hewa za kutengeza serikali ya hustlers,mama mbogo,mikokoteni na bodaboda
Gen Z wamegeuka mwiba mkali kwenye siasa za Kenya.
Na hiyo ndio dawa ya siasa,sii hasaaa za kitapeli.
 
Labda gen z ya tz si ya kenya, hao jamaa bado sana kugawanyika, hakuna kitu kina unite watu kama chuki. Labda anaweza asiondoke leo but uchaguzi unaokuja atapoteza pabaya, last kura zake nyingi zilitoka kwa vijana this time vijana hao hao ndio hawamtaki
kwahiyo wanaojazana kwenye mikutano ya Ruto sasa hivi ni wazee?🐒


kama ni hivyo basi wazee wa kenye ni wengi mno na wana nguvu zaidi ya vijanaa..
Maana ziara za Ruto, naibu wake na Cabinet Secretary wake inajaza nyomi halafu ni smooth 🐒


nikuhakikishie,
Ruto anatawala muhula miwili bila mbambamba ya gen z wala nani 🐒
 
Ama kweli uchawa una ubobezi kutoka kitaifa hadi kimataifa twafwaaa.
huna haja ya kua na mihemko unapokuja kuchota ufahamu, uelewa na kuongeza maarifa juu ya siasa za kimataifa mahali hapa, relax tu utafaidika 🐒
 
Labda gen z ya tz si ya kenya, hao jamaa bado sana kugawanyika, hakuna kitu kina unite watu kama chuki. Labda anaweza asiondoke leo but uchaguzi unaokuja atapoteza pabaya, last kura zake nyingi zilitoka kwa vijana this time vijana hao hao ndio hawamtaki
Naatakulaa jeurii yake,hakuna kijana ataamtaka teeena.
 
Nilitaraji umuulize pia Tlaaatlaah kama huku ndio kujiamini.
kujiamini kwa gen z ni kwa kindezi sana,
anajijua kabisa hana uwezo wa kumzuia polisi halafu eti anajipiga kifua nipige uone, niguse kama una uewezo 🤣

anapigwa ngumi moja hadi anapoteza fahamu wenzie wanatimua mbio kuongopa ngumi kali 🤣
 
Naatakulaa jeurii yake,hakuna kijana ataamtaka teeena.
unadhani vijanaa wa Kenya wana tofauti na wabongo basi, siku ya Uchaguzi huwaoni ng'oo 🐒

ruto atawashinda hata wafanyaje 🐒
 
Baada ya kutangazwa mshindi na kuapishwa alikaa muda gani kabla hajatangaza baraza la mawaziri?
Tz hatuna muda maalumu wa kikatiba kwa Rais kuunda baraza la mawaziri, na kwahivyo hiyo sio issue kabisa Tz,

check Kenya na kwingineko na katika hali ya taharuki na fujo 🐒
 
Back
Top Bottom