Rais Ruto asitisha kusaini Muswada wa Sheria ya Fedha 2024, aurejesha Bungeni

Rais Ruto asitisha kusaini Muswada wa Sheria ya Fedha 2024, aurejesha Bungeni

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Rais Ruto amegoma kusaini Muswada wa Fedha na kuurudisha Bungeni. Hili limetokea baada ya maandamano yalikuwa yakiongozwa na Gen Z kufanyika zaidi ya wiki nchini humo. Ikulu imeripoti kwamba Rais Ruto anatarajia kuurudisha Mswada huo Bungeni kabla ya Bunge kuvunjwa baadaye leo.

Rais Ruto anatarajiwa kulihutubia taifa muda wowote kuanzia sasa.

1719407662830.png


=====
Rais William Ruto amesitisha kusaini Mswada wa Fedha, 2024 na muswada huo utarejeshwa bungeni leo tarehe Juni 26, 2024. Amependekeza marekebisho kadhaa kwenye Mswada huo kabla ya wabunge kwenda mapumziko.

Aidha ikiwa Wabunge watafanyia kazi marekebisho hayo, Spika atalazimika kuurudisha kwa rais lakini pia wanaweza kuupitisha tena bila marekebisho. Na upitishwaji wa Muswada huu unapaswa kuungwa mkono na theluthi mbili ya wabunge nchini humo.

=====

Pia soma: LIVE - Yanayojiri Maandamano Kenya: Waandamanaji wafika Bungeni, wawili wauawa kwa risasi
 
Rais William Ruto amesitisha kusaini Mswada wa Fedha, 2024 na muswada huo utarejeshwa bungeni leo tarehe Juni 26, 2024. Amependekeza marekebisho kadhaa kwenye Mswada huo kabla ya wabunge kwenda mapumziko.

Aidha ikiwa Wabunge watafanyia kazi marekebisho hayo, Spika atalazimika kuurudisha kwa rais lakini pia wanaweza kuupitisha tena bila marekebisho. Na upitishwaji wa Muswada huu unapaswa kuungwa mkono na theluthi mbili ya wabunge nchini humo.
 
Rais Ruto amegoma kusaini Muswada wa Fedha na kuurudisha Bungeni. Hili limetokea baada ya maandamano yalikuwa yakiongozwa na Gen Z kufanyika zaidi ya wiki nchini humo. Ikulu imeripoti kwamba Rais Ruto anatarajia kuurudisha Mswada huo Bungeni kabla ya Bunge kuvunjwa baadaye leo.

Rais Ruto anatarajiwa kulihutubia taifa muda wowote kuanzia sasa.

Aahaaaa

Kwa uke mkwala wa Jana nikajua atakaza fuvu


Let him step down on his own

Kenyatta thumps up

Huo urais ulikuwa wa Odinga
 
Back
Top Bottom