Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 1,883
- 2,732
AahaaaaRutto kaikana finance bill. Kaomba irudishwe bungeni. Kesho wakenya wanafanya rootmatch ikulu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AahaaaaRutto kaikana finance bill. Kaomba irudishwe bungeni. Kesho wakenya wanafanya rootmatch ikulu
Jana anatishia watu nyau..angesain tu leo jeshi lingeingia ikulu....Aahaaaa
Kwa uke mkwala wa Jana nikajua atakaza fuvu
Let him step down on his own
Kenyatta thumps up
Huo urais ulikuwa wa Odinga
Hamna bwana, ni kawaida, maana yake kughairisha vukao vya bunge baada ya muda wake kuisha. Ole season ya vikao vya bungekwamaana hiyo bunge lina vunjwa wanaingia kwenye uchaguzi tena?
Good thinkingRais Ruto amegoma kusaini Muswada wa Fedha na kuurudisha Bungeni. Hili limetokea baada ya maandamano yalikuwa yakiongozwa na Gen Z kufanyika zaidi ya wiki nchini humo. Ikulu imeripoti kwamba Rais Ruto anatarajia kuurudisha Mswada huo Bungeni kabla ya Bunge kuvunjwa baadaye leo.
Rais Ruto anatarajiwa kulihutubia taifa muda wowote kuanzia sasa.
Wakishinda wakenya Nina wasiwasi na wafanyabiashara wa hapa bongo watakazaNguvu ya uma
Hapana.kwamaana hiyo bunge lina vunjwa wanaingia kwenye uchaguzi tena?
Si kwamba maandamano ya Kenya yataleta matokeo chanya na huku kwetu? Ni kama naona Wakenya wametuandamia na sisi.Wakishinda wakenya Nina wasiwasi na wafanyabiashara wa hapa bongo watakaza
Wewe mbumbumbu tuliakwamaana hiyo bunge lina vunjwa wanaingia kwenye uchaguzi tena?
Tanzania generation Z iko ICU. Hata watiwe madole au chupa kwao ni sawa tu.Nguvu ya umma , hongera sana... tuna la kujifunza humu ndani ndani Tanzania.. generation Z amekeni kama ngengemkeni mito mingi..
Ruto kaamua liwalo na liwe baada ya wabunge wengi kupinga pia huo mswada Koona isiwe kesi kama wao hawana Imani na yeye na yeye anawaridishiakwamaana hiyo bunge lina vunjwa wanaingia kwenye uchaguzi tena?
Tunawashukuru wakenya kwa kutusaidia WatanzaniaSi kwamba maandamano ya Kenya yataleta matokeo chanya na huku kwetu? Ni kama naona Wakenya wametuandamia na sisi.
Sasa hivi viongozi wetu wako vyumbani wanarekebisha mambo. Nadhani msemo wa mwenzako akinyolewa, unafanya kazi sasa hivi.
I said it before and I'm gonna say it again. Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.Tunawashukuru wakenya kwa kutusaidia Watanzania
Hawa vijana ambao unemployment ngoja waendelee kuongezeka serikali itavuna inachopanda muda si mrefu..Si kwamba maandamano ya Kenya yataleta matokeo chanya na huku kwetu? Ni kama naona Wakenya wametuandamia na sisi.
Sasa hivi viongozi wetu wako vyumbani wanarekebisha mambo. Nadhani msemo wa mwenzako akinyolewa, unafanya kazi sasa hivi.
Nawashauri wao wasione aibu wala kukaza shingo. Wawasikilize wananchi na kuwahudumia ipasavyo. Hapo watajitwalia pointi 3 muhimu.