Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hovyoo.Tutafanyaje sasa ndo starehe ya maskini...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hovyoo.Tutafanyaje sasa ndo starehe ya maskini...!
wewe ndo hujui na akili zako fupi , unahisi ni maumivu ya wafanya biashara kumbe hadi wew mteja utaumiawale hawajulikani wanataka nini
wanacheza singeliNguvu ya umma , hongera sana... tuna la kujifunza humu ndani ndani Tanzania.. generation Z amekeni kama ngengemkeni mito mingi..
Mazungumzo kati ya mwanajeshi alie kambini na rafiki yake wa karibu(civilian), wanajeshi kambini walikua wanaambiwana wakuu wao wajitolee (volunteer) kuunda vikosi vya kupambana na waandamanaji, na wanajeshi walikua wanakataa ku-volunteer hadi wachaguliwe Kwa lazima, na kuna wengine tayari walikua wamekataa hata baada ya kupewa order ya kujiunga na kikosi manake walikua wanajua ni kinyume na sheria kutuma jeshi kuzima maandamano bila idhini ya bunge.Alitishia kutumia jeshi halafu jeshi halimtii
Toka Mkuu wao wa majeshi afe Kwa ajali ya helicopter
Morali na utii Kwa Raisi Ruto uko chini sana sijui Kwa nini
Ukiwaona wanavyowakabili waandamanaji ni kama hawataki na wanajeshi wakikataa Raisi Hana uwezo wa kuwafanya chochote Hana huo ubavu
Mazungumzo kati ya mwanajeshi alie kambini na rafiki yake wa karibu(civilian), wanajeshi kambini walikua wanaagizwa na wakuu wao wajitolee (volunteer) kuunda vikosi vya kupambana na waandamanaji, na wanajeshi wenyewe walikua wanakataa ku-volunteer hadi wachaguliwe kwa lazima, na kuna wengine tayari walikua wamekataa hata baada ya kupewa direct order ya kujiunga na kikosi manake walikua wanajua ni kinyume na sheria kutuma jeshi kuzima maandamano bila idhini ya bunge.Alitishia kutumia jeshi halafu jeshi halimtii
Toka Mkuu wao wa majeshi afe Kwa ajali ya helicopter
Morali na utii Kwa Raisi Ruto uko chini sana sijui Kwa nini
Ukiwaona wanavyowakabili waandamanaji ni kama hawataki na wanajeshi wakikataa Raisi Hana uwezo wa kuwafanya chochote Hana huo ubavu
Wanajua 💯, tatizo ni watu kama wewe mnaoongea uwongo na kufikiri hayakuhusuwale hawajulikani wanataka nini
Hawa Vijana wanaokesha PORNHUB ambao hata hawajui Raisi wao kaongea nini wao ni kufikiria jinsi kula Tunda kimasihara?!Kwenye hiyo kauli yake kama tungekuwa na vijana wanaojitambua wangeanzia hapo hapo!
Elimu ndogo huwezi elewa hapo MkuuHujajibu swali. Au Inglishi inakupiga chenga?