Raia mdogo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2018
- 1,387
- 1,518
Hakika Gen Z wapewe maua yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ipoHalafu huyu Mama Abduli anasema ameziba masikio.
Nyie tatizo lenu mnaawaza thriiiiisamuuuu tuuuTunaomba Gen Z waje kutusaidia na sisi....
Hayawezi kuisha maana Uchumi una hali mbaya 👇👇
View: https://twitter.com/Kenyans/status/1805988428770640241?t=H_JtGgzK2loCNiOL_m20vA&s=19
atafungwa for crime against humanity.Anawadekeza, alitakiwa awape kichapo cha haja kubwa mpaka washike adabu. Siku nyingine wataandamana kwenda ikulu wahuni hao
Haga zako.Anawadekeza, alitakiwa awape kichapo cha haja kubwa mpaka washike adabu. Siku nyingine wataandamana kwenda ikulu wahuni hao
Wala hajawatega, gen z wamempa suprise of his career, na hawa mdogo hakuna mtu yupo nyuma yao, no chama no affiliation, just common a goalRuto, anaakili sana, ameshawapumbaza Gen Z, who are behind them?, tactical failure!, uharibifu waliofanya bungeni wataufidia kwenye kodi watakazokatwa.
Hayawezi kuisha maana Uchumi una hali mbaya 👇👇
View: https://twitter.com/Kenyans/status/1805988428770640241?t=H_JtGgzK2loCNiOL_m20vA&s=19
Uzuri somo limeeleweka.Ruto, anaakili sana, ameshawapumbaza Gen Z, who are behind them?, tactical failure!, uharibifu waliofanya bungeni wataufidia kwenye kodi watakazokatwa.
Jeshi na mahakama zimemgeuka. Halafu ramani ya Ikulu imezagaa mtaani.Rais Ruto kaamua kukubali yaishe, kakubaliana na shinikizo la kizazi cha maandamano, Rais kasema hawezi kusaini mswaada huo. Sasa tuone nia ya kizazi cha maandamano ilikuwa na kupinga mswaada au wanajambo jingine?
Pongezi kwa Rais Ruto kwa kutuliza mihemko ya kizazi cha maandamano.
Chawa bwana. Mnajifanya kujua . Cha msingi vijana waliingiza bungeni na kuwafurusha wabunge kwenye pavement. Leo Rais kakubali yaishe.Ruto, anaakili sana, ameshawapumbaza Gen Z, who are behind them?, tactical failure!, uharibifu waliofanya bungeni wataufidia kwenye kodi watakazokatwa.
Wewe kama umezoea kipigo Cha mumewe Tulia tuli.Anawadekeza, alitakiwa awape kichapo cha haja kubwa mpaka washike adabu. Siku nyingine wataandamana kwenda ikulu wahuni hao
Una tatizo kubwa la afya ya akili.Rais Ruto kaamua kukubali yaishe, kakubaliana na shinikizo la kizazi cha maandamano, Rais kasema hawezi kusaini mswaada huo. Sasa tuone nia ya kizazi cha maandamano ilikuwa na kupinga mswaada au wanajambo jingine?
Pongezi kwa Rais Ruto kwa kutuliza mihemko ya kizazi cha maandamano.