econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Hujitambui. Hapa tunaongelea Kenya wewe unaongelea Tanzagiza ambao raia asilimia 99 hawajui kilichoandkwa kwenye bajeti. Kenya walitafisiri Bajeti yao kwa Lugha 20 za makabila mbalimbali ndani ya Kenya, ndio maana muamko ulikuwa mkubwa Hadi vijijini. Sio huku hata utangulizi wa bajeti hatujui.Tanzania haiwezi kuwa Nchi ya kipumbavu kama Kenya ndio maana Wananchi waliwadharau na maandamano yenu fake.
Wapi mgao wa umeme na maisha magumu yaliyonadiwa na Machadema? š¤£š¤£