Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Ng'ande tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
People powerNguvu ya uma
Tulia chawa wa mamawale hawajulikani wanataka nini
Ruto kwa Sasa anahangaika.Mind games. Wakenya wanasema wanajua hio trik. Wanataka uftwe kabisa mchakato uanze upya
Kwa bongo bado maandamano.Maandamano ya Luhaga Mpina lini?
Mbona kule jukwaa letu pendwa la Ukraine umepoa sana siku hizi. Au kwa vile mpendwa wako Zeleinsky anakimbizwa kila sikuHuko Kenya Rais Ruto amekubaliana na madai wa Wakenya walio wengi ya kuachana na muswaada mbovu wa fedha, zaidi sana amekubaliana na kuachana na matumizi yasiyo ya lazima na anasa kwa kupunguza bejeti ya kukirimu maofisini, magari, fenicha, safari za nje n.k kwa kuanzaia na Ofisi ya Rais yeneywe. Ameelekeza bajeti iwe ni ya kubana matumizi.
Acha uongo, wabunge was Ruto ambao ndio wengi walioupitisha huo muswada. Na Jana walikimbizwa bungeni wakaingia kwenye basement.Ruto kaamua liwalo na liwe baada ya wabunge wengi kupinga pia huo mswada Koona isiwe kesi kama wao hawana Imani na yeye na yeye anawaridishia
Kuwa wakileta za kuleta watusi kwenye uchaguzi
Hii ndio Nchi ambayo Rais ni kama bendera Sasa hana anachiweza kufanya.
Ona anavyoongea Kwa masikotiko 😁😁😁😁👇👇👇
View: https://twitter.com/EJ_Mwita/status/1805891440452489546?t=md6l5UxOW7Yauscax7OhfA&s=19
Tanzania haiwezi kuwa Nchi ya kipumbavu kama Kenya ndio maana Wananchi waliwadharau na maandamano yenu fake.Kenya sio Tanzagiza ambapo pesa zote ni za Samiah.
Kwa Kenya ni tofauti. Rais kakubali kutii sauti ya Wananchi. Huku CCM hata wakiamua kikotoo kiwe 20 hakuna wa kufanya chochote.Yale Yale Kama CCM. Wana creat tatizo halafu wanali solve.
Angalia kikokotoo Ni tatizo lilikua created na CCM, halafu juzi wamepunguza kiwango Cha tatizo. Mazwazwa wanapiga makofi .
Anajitega mwenyewe. Ni kwamba jeshi limekataa kumuunga mkono ndio maana kapiga u turn, kasahau Jana alitangazwa state of emergency. Pia kuzagaa kwa ramani ya Ikulu kumemtisha.Mind games, why bunge liliupitisha katikati ya machafuko?!
Ruto anawatega wakenya.
Wala hakuna mchezo, ramani ya Ikulu kuzagaa imemwogopesha.Mmh! Mbona kama kuna kamchezo kalichezwa hapa.