Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
Rais Ruto wa Kenya amezitaka nchi za Africa kuacha kutumia sarafu ya US Dollar đź’µ đź’µ đź’µ kwenye biashara zao za kimataifa.
Ruto anashangaa kwa nini Africa tumekuwa watumwa wa sarafu ya dola ya kimarekani kwenye biashara zetu kiasi kwamba inafikia nchi za Afrika zashindwa kuuziana bidhaa zao mfano kahawa, chai, sukari kwa sababu tu ya ukosefu wa US dollar!
Anasema ni muda sasa wa kuachana na utumwa wa USD na kutumia sarafu zetu wenyewe kwani tayari Afrika tumeshatengeneza mfumo wetu mpya wa malipo..
Hayo yamejiri siku chache baada ya Waziri wa mambo ya nje wa Urusi kutembelea Kenya ktk ziara maalumu ya kikazi.
MK254 msikilize Rais wako mtukufu Ruto kuanzia dkk 0.40 - 2.00, 3.00 - 5.30
===================
KENYA: RUTO ATOA WITO AFRIKA KUTOTUMIA DOLA KATIKA MIKATABA YA KIBIASHARA
Rais wa #Kenya, #WilliamRuto ametoa ushauri huo kwa viongozi wa Afrika akisema ni muda wa kuanza kuchukua hatua ya kuachana na malipo ya fedha kwa kutumia Dola ya Marekani badala yake kuwepo na mfumo wa malipo wa Pan-African Payments System (PAPSS)
Amesema mfumo wa #PAPSS uruhusu kufanyika malipo kwenda nje kwa kutumia fedha za ndani ya Nchi lakini thamani ya kile kinacholipiwa kinabadilika kulingana na thamani ya fedha ya sehemu husika badala ya wote kulazimika kutumia Dola
Ruto amesema “Tunapata tabu kufanya malipo ya huduma na bidhaa kwa kuwa kila nchi ina fedha zake, hatuna haja ya kuwa na Dola wala kuhamia kutumia fedha nyingine kama ya China, tukitumia PAPSS itasaidia biashara kufanyika kwa urahisi.”
===================================
Kenya calls on Africa to use PAPSS to ditch US dollar in trade deals
Kenya’s President William Ruto has called on African leaders to take first steps towards ditching the US dollar as the world’s reserve currency by adopting a pan-African payments system to facilitate trade within the continent.
Ruto has urged his African counterparts to mobilize central and commercial banks to join the Pan-African Payments and Settlement System (PAPSS) which was launched in January last year. Backed by the African Union and African central banks, the system for intra-African trade was developed by African Export-Import Bank (Afreximbank) and African Continental Free Trade Area (AfCFTA) Secretariat.
“We are all struggling to make payments for goods and services from one country to another because of differences in currencies. And in the middle of all these, we are all subjected to a dollar environment,” Kenya’s president said during a forum on AfCFTA in Nairobi earlier this week. “We do not have to look for dollars; our businessmen will concentrate on moving goods and services, and leave the arduous task of currencies to Afreximbank.”
This comes as many experts have increasingly raised the prospect of whether the BRICS grouping — Brazil, Russia, India, China and South Africa — could break the grip of the globally-bullish greenback.
Africa, and South Africa in particular, could be critical to any efforts to dislodge the US dollar from its place at the foundation of the world’s financial systems.
Behind the intensifying geopolitical rivalry between the United States and China are quieter initiatives that could have much greater impact in the long run: a series of moves by the BRICS bloc of countries to challenge the dominance of the greenback. The BRICS leaders would prefer the upcoming summit in South Africa to be known as a key milestone in their efforts to move away from the Western-dominated world order that has reigned since the end of the WWII – and to embrace a more diverse and representative global economic system, which would move away from a US-dollar dominance.
Source: northafricapost
Ruto anashangaa kwa nini Africa tumekuwa watumwa wa sarafu ya dola ya kimarekani kwenye biashara zetu kiasi kwamba inafikia nchi za Afrika zashindwa kuuziana bidhaa zao mfano kahawa, chai, sukari kwa sababu tu ya ukosefu wa US dollar!
Anasema ni muda sasa wa kuachana na utumwa wa USD na kutumia sarafu zetu wenyewe kwani tayari Afrika tumeshatengeneza mfumo wetu mpya wa malipo..
Hayo yamejiri siku chache baada ya Waziri wa mambo ya nje wa Urusi kutembelea Kenya ktk ziara maalumu ya kikazi.
MK254 msikilize Rais wako mtukufu Ruto kuanzia dkk 0.40 - 2.00, 3.00 - 5.30
===================
KENYA: RUTO ATOA WITO AFRIKA KUTOTUMIA DOLA KATIKA MIKATABA YA KIBIASHARA
Rais wa #Kenya, #WilliamRuto ametoa ushauri huo kwa viongozi wa Afrika akisema ni muda wa kuanza kuchukua hatua ya kuachana na malipo ya fedha kwa kutumia Dola ya Marekani badala yake kuwepo na mfumo wa malipo wa Pan-African Payments System (PAPSS)
Amesema mfumo wa #PAPSS uruhusu kufanyika malipo kwenda nje kwa kutumia fedha za ndani ya Nchi lakini thamani ya kile kinacholipiwa kinabadilika kulingana na thamani ya fedha ya sehemu husika badala ya wote kulazimika kutumia Dola
Ruto amesema “Tunapata tabu kufanya malipo ya huduma na bidhaa kwa kuwa kila nchi ina fedha zake, hatuna haja ya kuwa na Dola wala kuhamia kutumia fedha nyingine kama ya China, tukitumia PAPSS itasaidia biashara kufanyika kwa urahisi.”
===================================
Kenya calls on Africa to use PAPSS to ditch US dollar in trade deals
Kenya’s President William Ruto has called on African leaders to take first steps towards ditching the US dollar as the world’s reserve currency by adopting a pan-African payments system to facilitate trade within the continent.
Ruto has urged his African counterparts to mobilize central and commercial banks to join the Pan-African Payments and Settlement System (PAPSS) which was launched in January last year. Backed by the African Union and African central banks, the system for intra-African trade was developed by African Export-Import Bank (Afreximbank) and African Continental Free Trade Area (AfCFTA) Secretariat.
“We are all struggling to make payments for goods and services from one country to another because of differences in currencies. And in the middle of all these, we are all subjected to a dollar environment,” Kenya’s president said during a forum on AfCFTA in Nairobi earlier this week. “We do not have to look for dollars; our businessmen will concentrate on moving goods and services, and leave the arduous task of currencies to Afreximbank.”
This comes as many experts have increasingly raised the prospect of whether the BRICS grouping — Brazil, Russia, India, China and South Africa — could break the grip of the globally-bullish greenback.
Africa, and South Africa in particular, could be critical to any efforts to dislodge the US dollar from its place at the foundation of the world’s financial systems.
Behind the intensifying geopolitical rivalry between the United States and China are quieter initiatives that could have much greater impact in the long run: a series of moves by the BRICS bloc of countries to challenge the dominance of the greenback. The BRICS leaders would prefer the upcoming summit in South Africa to be known as a key milestone in their efforts to move away from the Western-dominated world order that has reigned since the end of the WWII – and to embrace a more diverse and representative global economic system, which would move away from a US-dollar dominance.
Source: northafricapost