Rais Ruto azitaka nchi za Afrika kuacha kutumia sarafu ya dola kwenye biashara zao za kimataifa

Rais Ruto azitaka nchi za Afrika kuacha kutumia sarafu ya dola kwenye biashara zao za kimataifa

Ukiangalia hii ishu ya upungufu wa US dollar kwenye mzunguko duniani utagundua inachangiwa na china ambaye si mmiliki wa dollar ila ndo muuzaji mkuu. Hivyo its possible china anamiliki asilimia kubwa ya dollar kuliko mmarekani mwenyewe.

Ni changamoto kwelikweli kwa sisi watumiaji tusiokua na export za kutosha na kwa mmiliki asiemiliki dollar zake. Akiwaza kuprint more anajikuta kwenye hali ya dollar yake kushuka thamani dhidi ya pound na euro.
Ndio maana china hata kusikia hiyo habari ya dellarization ya bwana Putin.
 
Back
Top Bottom