Aigle
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 1,540
- 7,973
Naskia kasalimu amri..anachotakiwa kufanya ni kusikiliza na kufanyia kazi hoja za wanaopinga Finance Bill ili kuiokoa Kenya na machafuko.
..Jeshi linalojielewa haliwezi kuua raia wake ili kumlinda mtawala asiyetaka kusikiliza matatizo na kilio cha wananchi wake.