BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Huku ni vitisho vya kufungia Space na tunanywea.
Tusipo chukua notce kutoka Gen Z hatutakuja kuweza kitu.
Pia soma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuanze na wewe kwanza, hatua haziwezi chukuliwa na mtu mmoja, kule Kenya anaye andamana ni mtu mmoja?Wewe umechukua hatua gani, kiongozi?
huyu ni miongoni mwa viongozi wenye utashi wa kisiasa wa kiwango cha juu sana, kujishusha mpaka chini kiasia hicho kuwaskiza wanaokukataa?🐒Aisee, hatimaye kesho ndio kesho, Ruto atakutana na na jamaa wa Gen Z kule space. Make mwnzo alikuwa akutane nai ikulu ila ikaonekana jamaa hawana offisi wala kiongozi so kama anataka kukutana nao ni kule Space.
Huku ni vitisho vya kufungia Space na tunanywea.
Tusipo chukua notce kutoka Gen Z hatutakuja kuweza kitu.
View attachment 3033593
'Let's engage," read the poster shared on all of the president's social media platforms.
Pamoja na changamoto zote, Ruto anajitahidi sana kutufundisha maana halisi ya utawala wa kisheria katika nchi zetu za kiafrikaAisee, hatimaye kesho ndio kesho, Ruto atakutana na na jamaa wa Gen Z kule space. Make mwnzo alikuwa akutane nai ikulu ila ikaonekana jamaa hawana offisi wala kiongozi so kama anataka kukutana nao ni kule Space.
Huku ni vitisho vya kufungia Space na tunanywea.
Tusipo chukua notce kutoka Gen Z hatutakuja kuweza kitu.
View attachment 3033593
Tuanze na wewe kwanza, hatua haziwezi chukuliwa na mtu mmoja, kule Kenya anaye andamana ni mtu mmoja?
Alafu kuna majinga yanasema kenya ni wajinga..President William Ruto has announced an interactive session with Kenyans on the popular X platform.
In a statement on Thursday, July 4, the head of state revealed the session would run for three hours on X space.
Ruto urged Kenyans to join in the conversation that will be held on Friday, July 5 from 2pm to 5pm.
View attachment 3033613
kabisa mkuu hawa wetu wamejaa dharaua kejelihuyu ni miongoni mwa viongozi wenye utashi wa kisiasa wa kiwango cha juu sana, kujishusha mpaka chini kiasia hicho kuwaskiza wanaokukataa?🐒
najaribu kutafakari kama kagame au museven kama wangeweza kumudu hali hii 🐒
well done President William Samoe Ruto 💪
SanaRuto ni binadamu sana aisee! Mbali na kuwa na mamlaka ya juu, lakini anajishusha na kuwa sawa na watu wote
Heko kwake
for sure,Pamoja na changamoto zote, Ruto anajitahidi sana kutufundisha maana halisi ya utawala wa kisheria katika nchi zetu za kiafrika
Harakati za wakenya huwa haziishi,ukitaka ziishe mfikie makubaliano na muelewanehuyu ni miongoni mwa viongozi wenye utashi wa kisiasa wa kiwango cha juu sana, kujishusha mpaka chini kiasia hicho kuwaskiza wanaokukataa?🐒
najaribu kutafakari kama kagame au museven kama wangeweza kumudu hali hii 🐒
well done President William Samoe Ruto 💪
Sasa unapongeza Marais wa Jirani zetu, unaacha kumshauri wa kwetu anayejiita chura kiziwi!!huyu ni miongoni mwa viongozi wenye utashi wa kisiasa wa kiwango cha juu sana, kujishusha mpaka chini kiasia hicho kuwaskiza wanaokukataa?🐒
najaribu kutafakari kama kagame au museven kama wangeweza kumudu hali hii 🐒
well done President William Samoe Ruto 💪
Mimi nafanya harakati sana na sana ni za kugeuza fikra za raia, mfano leo nilipita kwenye kijiwe fulani kama kawa nikakuta wako busy na mada za yanga ba Simba, nimewapa elimu ya Uraia ya kutosha na nimebadilisha fikra za miongoni mwao.Jibu swali ndo uliza swali.
Kachukua hatua ya kututaarifuWewe umechukua hatua gani, kiongozi?
Tunapaswa kumshauri collectively, nyie mnataka jukumu libebwe na mtu mmoja nyie mkiwa kwenye keybord?Sasa unapongeza Marais wa Jirani zetu, unaacha kumshauri wa kwetu anayejiita chura kiziwi!!
Kama Si nongwa hiyo ni nini!!