mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Atatoka tu ,nature itaamuakisiki cha mpingo kile, kwa pupa hang'oleki inahitajika mipango kabambe yenye nidhamu na umakini wa kipekee sana 🐒
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atatoka tu ,nature itaamuakisiki cha mpingo kile, kwa pupa hang'oleki inahitajika mipango kabambe yenye nidhamu na umakini wa kipekee sana 🐒
Ukitaka jambo likae sawa lazima damu imwagike mzeeLakn Damu zimemwagika kule
si mwanae anaingia,ambae pia ni kijana 🐒Atatoka tu ,nature itaamua
Ova
Sema waganda hawapendi purukushani,kdg wanafanana tabia na wabongosi mwanae anaingia,ambae pia ni kijana 🐒
kwamba wabongo mko tuli hamna purukishani yoyote 🐒Sema waganda hawapendi purukushani,kdg wanafanana tabia na wabongo
Ova
Mkuu haaa ni wajinga na wako adicted na kulama watawala miguusi ungeweka mihemko pembeni na ufocus kwenye hoja huru ilowekwa mezani gentleman? 🐒
Watz wa kuchukua hatua wapo wachache sana.. Tena unaweza kuwataja kwa majina, waliobaki wamejaa usengerema mtupuuWewe umechukua hatua gani, kiongozi?
Wataendelea hivyo mpaka wawekwe sekesekekabisa mkuu hawa wetu wamejaa dharaua kejeli
Ukimwaga damu ya Raia wako Ww sio mnyenyekevu.Ukitaka jambo likae sawa lazima damu imwagike mzee
Ova
Pamoja na changamoto zote, Ruto anajitahidi sana kutufundisha maana halisi ya utawala wa kisheria katika nchi zetu za kiafrika
Hio gen Z Wamekuja kasi sio kidogooooo
Hao wapenda starehe na vurugu wapi na wapi bruhSema waganda hawapendi purukushani,kdg wanafanana tabia na wabongo
Ova
Huyu ana kiburi haswaHuku kwetu tuna chura kiziwi
It doesn’t matter…Rutto dederve the credit…. He is doing whatever it takes…to listen and understand the Youth….! Rutto is the best president so far…… isn’t easy to have dealogue with Gang of criminals whose their intentions to burn the parliament,rooting and destroy economy…….Anajua joto ICC huyo lazima awe muungwana. Machafuko 2007 yalishawapa funzo kubwa sana wakenya ndio maana hata kwenye katiba yao na IEBC yao wana mambo mazuri ya kujifunza.
Bongo gurunedi moja tu sido wadai haki wote makwao in a second.
Well done wakati hujawasikiliza? Walifikaje hapo? Ruto kuongea tu hajambo. GenZ wanataka vitendo (action).huyu ni miongoni mwa viongozi wenye utashi wa kisiasa wa kiwango cha juu sana, kujishusha mpaka chini kiasia hicho kuwaskiza wanaokukataa?🐒
najaribu kutafakari kama kagame au museven kama wangeweza kumudu hali hii 🐒
well done President William Samoe Ruto 💪