Rais Ruto kushiriki mjadala na Wakenya kwenye X Space, Julai 5 kwa saa tatu

Rais Ruto kushiriki mjadala na Wakenya kwenye X Space, Julai 5 kwa saa tatu

Aisee, hatimaye kesho ndio kesho, Ruto atakutana na na jamaa wa Gen Z kule space. Make mwnzo alikuwa akutane nai ikulu ila ikaonekana jamaa hawana offisi wala kiongozi so kama anataka kukutana nao ni kule Space.

Huku ni vitisho vya kufungia Space na tunanywea.

Tusipo chukua notce kutoka Gen Z hatutakuja kuweza kitu.

Na balaza la Mawaziri pia na wao watakuwa space kujibu maswali.

Pia soma
Sisi tunaomba X ifungwe! Watanzania sisi sijui nani aliwaloga viongozi wetu !
 
Well done wakati hujawasikiliza? Walifikaje hapo? Ruto kuongea Tu Jambo. GenZ wanataka vitendo (action).
mpaka kuondoa muswada wa sheria ya fedha bungeni sio kuskiza watu kweli ndrugo zango?

msikizwaje tena?
mishahara na posho vimepungzwa matumizi ya serikalini yamepunguzwa, mpaka mtolewe meno na damu ndio muone kwamba mmeskizwa jamani 🐒
 
It doesn’t matter…Rutto dederve the credit…. He is doing whatever it takes…to listen and understand the Youth….! Rutto is the best president so far…… isn’t easy to have dealogue with Gang of criminals whose their intentions to burn the parliament,rooting and destroy economy…….
Very few people can fit to his shoe….it is not easy….
Rutto is very humble…..
So called Genz can beat Rutto in dealogue….and they wont….
Yet his being taken to ICC plays a significant role to his current behaviour and way of administration what makes him seem as a humble ever leader. He is very aware of what is likely to face him if mass killings happens there under his presidency.

On the other hand, Gen Z aint afraid of anything even death so Ruto must be humble enough to listen to them just to avoid further blood shading in the country.
 
Back
Top Bottom