Rais Ruto: Polisi inapaswa kuwalinda watu wote bila kujali vyama vyao

Rais Ruto: Polisi inapaswa kuwalinda watu wote bila kujali vyama vyao

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Huyu atakuwa amelewa. Hajui madaraka yakoje na tayari anaanza kuwa na akili za Kibeberu. Anaongea maneno gani haya?

Utamaduni huu wa kuiga kwa mabeberu. Ni utamaduni wa hovyo. Anataka alete machafuko Kenya na East Africa? Nadhani ameshachoka kuwa Rais. Au ameshiba wenzake wenye uzoefu na Urais hawawezi ongea takataka kama hizi. Huyu Ruto anawezaje ongea maneno haya? Au akili yake imedukuliwa?

Nimemsikiliza mara nyingi. Simwelewi. Sasa anataka Polisi wa Kenya wawe wanafanya nini kama hataki wakamate wapinzani na activitists? Anataka waote vitambi tu? Huyu jamaa amenibore sana. Huu si utamaduni wa marais wa nchi zetu za kiafrika. Nakataa.

 
Huyu atakuwa amelewa. Hajui madaraka yakoje na tayari anaanza kuwa na akili za Kibeberu. Anaongea maneno gani haya?

Utamaduni huu wa kuiga kwa mabeberu. Ni utamaduni wa hovyo. Anataka alete machafuko Kenya na East Africa? Nadhani ameshachoka kuwa Rais. Au ameshiba wenzake wenye uzoefu na Urais hawawezi ongea takataka kama hizi. Huyu Ruto anawezaje ongea maneno haya? Au akili yake imedukuliwa?

Nimemsikiliza mara nyingi. Simwelewi. Sasa anataka Polisi wa Kenya wawe wanafanya nini kama hataki wakamate wapinzani na activitists? Anataka waote vitambi tu? Huyu jamaa amenibore sana. Huu si utamaduni wa marais wa nchi zetu za kiafrika. Nakataa.

View attachment 2421999
Ni wenye AKILI KUBWA tu ndio Watamwelewa sio wenye AKILI NDOGO
 
Amna kitu hapo ni siasa tu kuwa blackmail wajinga wajinga wasioelewa siasa.

Nyuma ya pazia atampigia mkuu wa polisi amwambie finya kunguni wote wanaojaribu kunisumbua.

Hakuna kiongozi wa afrika anaweza kukemea jambo hilo kwa kumaanisha, hakuna!
 
Yaani hii laana imetuvaa na sasa ipo ndani mwetu kiasi kwamba sisi ndio tuivaa na sasa imekua utamaduni[emoji848] yaani mpaka wapinzani wakamatwe wa bambikwe mikesi ndio tunaona demokrasia, pumbavu kabisa
 
Hizo zama zilishapita ndugu pia hazina tija na ni gharama sana. Huwezi ukapambana na watu ukawashinda.
 
KENYA wanaheshimu katiba sio Tanzania ambako polisi CCM wanagombea vyeo
 
Huyu atakuwa amelewa. Hajui madaraka yakoje na tayari anaanza kuwa na akili za Kibeberu. Anaongea maneno gani haya?

Utamaduni huu wa kuiga kwa mabeberu. Ni utamaduni wa hovyo. Anataka alete machafuko Kenya na East Africa? Nadhani ameshachoka kuwa Rais. Au ameshiba wenzake wenye uzoefu na Urais hawawezi ongea takataka kama hizi. Huyu Ruto anawezaje ongea maneno haya? Au akili yake imedukuliwa?

Nimemsikiliza mara nyingi. Simwelewi. Sasa anataka Polisi wa Kenya wawe wanafanya nini kama hataki wakamate wapinzani na activitists? Anataka waote vitambi tu? Huyu jamaa amenibore sana. Huu si utamaduni wa marais wa nchi zetu za kiafrika. Nakataa.

View attachment 2421999
You must be a peasant slave!
 
Huyu atakuwa amelewa. Hajui madaraka yakoje na tayari anaanza kuwa na akili za Kibeberu. Anaongea maneno gani haya?

Utamaduni huu wa kuiga kwa mabeberu. Ni utamaduni wa hovyo. Anataka alete machafuko Kenya na East Africa? Nadhani ameshachoka kuwa Rais. Au ameshiba wenzake wenye uzoefu na Urais hawawezi ongea takataka kama hizi. Huyu Ruto anawezaje ongea maneno haya? Au akili yake imedukuliwa?

Nimemsikiliza mara nyingi. Simwelewi. Sasa anataka Polisi wa Kenya wawe wanafanya nini kama hataki wakamate wapinzani na activitists? Anataka waote vitambi tu? Huyu jamaa amenibore sana. Huu si utamaduni wa marais wa nchi zetu za kiafrika. Nakataa.

View attachment 2421999
Akili za kushikiwa hizi, ndio shida ya CCM
 
Mtutafsirie wakuu. Ili tujue anaongea nini, hiyo lugha kwangu inanipiga chenga. Mi nimesikia POLISI tu
 
Njia pekee ya kuwamaliza wapinzani waache wawe huru akikukera Sana muite ikulu mnywe chai mpe bahasha mambo yataenda smooth kabisa.
 
UPINZANI SIO UHALIFi jeshi la Kenya(polisi) wanamengi yakufanya hasa kudili na uhalifu
 
Amna kitu hapo ni siasa tu kuwa blackmail wajinga wajinga wasioelewa siasa.

Nyuma ya pazia atampigia mkuu wa polisi amwambie finya kunguni wote wanaojaribu kunisumbua.

Hakuna kiongozi wa afrika anaweza kukemea jambo hilo kwa kumaanisha, hakuna!
Kama hawa wenu wanavyo fany
 
Huyu atakuwa amelewa. Hajui madaraka yakoje na tayari anaanza kuwa na akili za Kibeberu. Anaongea maneno gani haya?

Utamaduni huu wa kuiga kwa mabeberu. Ni utamaduni wa hovyo. Anataka alete machafuko Kenya na East Africa? Nadhani ameshachoka kuwa Rais. Au ameshiba wenzake wenye uzoefu na Urais hawawezi ongea takataka kama hizi. Huyu Ruto anawezaje ongea maneno haya? Au akili yake imedukuliwa?

Nimemsikiliza mara nyingi. Simwelewi. Sasa anataka Polisi wa Kenya wawe wanafanya nini kama hataki wakamate wapinzani na activitists? Anataka waote vitambi tu? Huyu jamaa amenibore sana. Huu si utamaduni wa marais wa nchi zetu za kiafrika. Nakataa.

View attachment 2421999
Yaani nimesoma stori yako mara ya pili wala siamini kuna watu hapa duniani au Tanzania wapo kama wewe kiakili la da mtumwa tu, mtumwa ambaye amelemaa ubongo yaani cretin
 
Back
Top Bottom